

Anderlecht wamekiri kuwa watamuuza Romelu Lukaku kipindi hiki cha kiangazi.
Anderlecht’s general manager Herman van Holsbeeck anaamini kuwa Lukaku atauzwa.
"Hakika ataondoka na kuondoka kwake ni muhimu sana kwetu hasa kwenye uhamisho," Van Holsbeeck aliliambia Gazet van Antwerpen.
“Sijui kama atananuliwa na Chelsea, kuna timu kubwa nyingi wanavutiwa nae na tunaongea nao, ila kitu kimoja ambacho najua ni kwamba hatakuwepo hapa msimu ujao."
Manchester United boss Sir Alex Ferguson ameingilia kati suala uhamisho wa Udinese superstar Alexis Sanchez.
Gazeti la Uingereza la Daily Mail linasema kuwa United Boss alichukua maamuzi ya kumpigia simu binafsi Alexis Sanchez na kumwambia ajiunge na Manchester United.
The Chile forward anapenda kwenda kucheza Spain lakini Barca wanaonekana kutokuwa na bajeti ya kutosha kumsaini winga huyo ingawa kuna taarifa kuwa miamba hiyo ya soka ya ulaya wanatarajia kutoa kiasi cha pesa pamoja na kumtoa Bojan Krkic ili kuweza kuwalainisha Udinese ambao wanataka paundi millioni 30 kwa ajili ya Sanchez.Kwa sasa inaaminikia Ferguson yupo karibu sana na agent wa Sanchez kitu ambacho kinaleta matumaini kuwa atafanikiwa kumshawishi Sanchez ahamie Theatre Of Dreams.
Inaaminika kuwa Arsene Wenger anakaribia kumnasa kwa £ 12 million Alex Oxlade Chamberlain kutoka Southamton .
Winga huyo mwenye kipaji anatarajia kutimiza umri wa miaka 18 mwezi wa nane mwaka huuyupo kwenye mapumziko akiwa anafahamu fika kuwa atathibitishwa kuwa mchezaji wa Arsenal Julai 1.
The deal for the Southampton academy graduate - ambaye anaonekana kama Theo Walcott mpya amekuwa akifuatilia na timu za Liverpool na Manchester United lakini Wenger anaonekana kuwa na nafasi kubwa ya kumsaini kinda huyo wa kiingereza.
Wakati huo huo DailyMail wanaripoti kuwa Manchester United wanapanga kuwasilisha ofa ya paundi millioni 10 kwa ajili ya kumsajili Arsenal's midfielder Samir Nasri.
Wakala wa Nasri Jean Pierre Bernes bado hajahusishwa na jambo lolote kuhusu dili mpaka United watakapowasilisha ofa yao rasmi .
Familia ya mwanasoka na mchezaji wa Man United Ryan Giggs imesema inahofia kuwa winga huyo wa United anaweza akatundiga daluga mufuatia skendo yake ya kumsaliti mkewe na kaka yake.
Rafiki wa karibu wa familia hiyo anasema. "Tunahofia kuwa Ryan ataamua kuacha soka ili kuepuka kuzungumzia na vyombo vya habari.Kuendelea kucheza soka kutamleletea usumbufu mkubwa, watu wengi waliokuwa wanamsapoti wamepoteza imani nae na Ryan hawezi kuvumilia kupambana na maneno kutoka kwa fans.”
A club source saidXhanzo cha habri kutoka United kinasema: “Hili jambo linakuwa na linatia watu wasiwasi ndio maana Ferguson yupo tayari kumpa mapumziko marefu ili Giggs atumie muda kuweka mambo vizuri.”
Kwa zaidi ya wiki mbili sasa Giggs amekuwa akiandamwa na skendo ya kumsaliti mkewe baada ya kuwa na mahusiano na mke wa kaka yake.Tomasz Kuszczak ametishia kuhama Manchester United ikiwa hatakuwa golikipa namba moja Old Trafford.
The 29-year old Polish goalkeeper amekuwa akikaa benchi kwa zaidi ya miaka minne na sasa Van Der Sar amestaafu Kuszczack anaona ndio muda muafaka wa kupata nafasi.
Lakini kutokana na taarifa za ujio wa kipa David De Gea kutoka Atletico Madrid, Kuszczack amesema wazi kuwa anataka kucheza au aondoke.
"Kwangu mimi ipo wazi kabisa nicheze kwenye goli la United au niondoke hapa", aliiambia France Football.
“Sir Alex Ferguson hajaniambia chochote kuhusu mkataba mpya.Hajaniambia chochote ,sijui nifikirie nini.Nina mawazo fulani hivyo nitajua cha kufanya.Nafikiri nitaendelea kubaki England nimekuwa pale kwa miaka saba, na uwezo wangu unafahamika pale.".
Mpango wa Barcelona kumchukua Cesc Fabregas kutoka Arsenal unaonekana upo mashakani baada ya Catalunya club kutangaza bujeti yao ya uhamisho kuwa ni £40, kiasi ambacho ni pungufu ya £10 ya gharama ya kumsajili kiungo huyo kutoka Emirates.
Barca wamechukua hatua isiyo ya kawaida kutangaza bajeti ya uhamisho baada kuthibitisha kuwa wanachukua hatua za kupunguza deni la klabu.
Makamu wa Raisi wa kitengo cha masuala ya pesa wa mabingwa hao wa ulaya Javier Faus alisema, "Pep Guardiola atapata £40million kwa ajili ya kusajili kwa pamoja na pesa itakayopatikana kupitia mauzo ya wachezaji
Kiasi hiki ni kidogo tofauti na Arsenal wanavyotaka kwa ajili ya Fabregas ingawa kinaweza kupanda ikiwa Barca watawauza Bojan Krkic, Jeffren na Maxwell.
Shirikisho la soka la Uturuki limewaonyaChelsea kuwa watatshatakiwa kwa FIFA ikiwa watajaribu kumshawishi isivyo halali Guus Hiddink kujiunga nao.
Inaeleweka kuwa mmiliki wa Chelsea Roman Abramovich anajiandaa kumrudisha kocha huyo wa kiholanzi Stamford Bridge sehemu ambayo Hiddink alifanya kazi kama kocha wa muda wa klabu hiyo mwaka 2009.
Lakini kocha huyo mwenye umri wa miaka 64 ana mkataba wa kuifundisha timu ya taifa ya Uturuki mpaka mwakani na sasa shirikisho la soka la Uturuki limeionya klabu hiyo kuwa litawashtaki kwa FIFA ikiwa watajaribu kupitia mlango wa nyuma na kumshawishi Guus kujiunga nao akiwa bado na mkataba na TFF.
"Chelsea wana tabia ya kuwasajili wachezaji walio ndani ya mikataba, kama kitu kama hichi kikitokea kwa Hiddink tutawashtaki kwa FIFA.Waheshimu mkataba ambao Guus na FA." alisema Raisi wa TFF Mahmut Ozgener alipoongea na gazeti la Uturuki la HURRIYET..
Goalkeeper
Gianluigi Buffon
Kipa bora mwenye matukio ya kusisimua.Nilimfunga penati kwenye Champions League final mwaka 2003 lakini Buffon ameokoa michomo yangu mingi kuliko niliyomfunga.
Right-back
Cafu
Mpambanaji kiwanjani, yupo madhubuti na nguvu.Krosi zako kutokea nyuma ziliniletea magoli mengi nikiwa nae AC Milan na utani ulinisaidia kupunguza pressure ya mchezo kwenye mazoezi na mechi.
Centre-back
John Terry
Mlinzi imara na kiongozi asilia, anaweza kutuliza tabia za wachezaji kupaniki.Ana maamuzi mazuri na pia ni hatari sana katika mashambulizi ya kona..
Centre-back
Alessandro Nesta
Sijawahi kuona mtu anayeweza kusoma mchezo, mwenye akili na mzuiaji imara kama Nesta.Alitoa mchango mkubwa sana katika kuisadia AC Milan kuwatuliza Juventus in 2003 Champions League.
Left-back
Paolo Maldini
Mchezaji aliyebarikiwa na mwenye kujituma.Kiongozi mzuri mwenye kipaji cha kuzuia na anajua kubuni mashambulizi .Kwa kifupi ni moja ya mabeki bora niliowahi kuwashuhudia maishani mwangu.
Right midfield
Kaka
Mwalimu mbunifu anayelazimisha kasi ya mchezo.Nilikuwa nafuraha sana kuwa ndani ya timu na yeye, alikuwa ananipa pasi nzuri za mwisho na nilifunga magoli mengi shukrani kwa pasi zake za akili.
Centre-midfield
Steven Gerrard
Kiungo wa daraja juu, Gerrard anapenda kuongoza kwa mfano, ni maarufu kwa tabia yake ya kutokukata tamaa.Amebarikiwa nguvu, na uwezo kupiga pasi na mashuti yenye macho.
Centre-midfield
Zinedine Zidane
Alikuwa anafanya maajabu na miujiza kupitia kipaji chake.Kwenye mechi ulikuwa unashindwa kutabiri ataufanyia nini mpira, nje ya uwanja ni mtu alikuwa ni mtu mwema sana.Mwana miujiza Zidane.
Left-midfield
Lionel Messi
Ni vigumu kumpata mchezaji ambaye anaweza ku-dribble na kufunga kama Messi, ndio mshambuliaji wa karne 21.Sina maneno mazuri ya kuzungumzia zaidi, lakini Lionel yupo kila sehemu uwanja akiwafanya mabeki kuonekana wajinga.
Centre-forward
Ronaldo
Mwenye ujuzi, nguvu yupo kama mashine.Uwezo wake alionyesha katika kila timu aliyochezea unazungumza kila kitu.Nawaza angefanya mambo makubwa kiasi gani kama asingekumbwa na balaa la majeruhi.
Centre-forward
Wayne Rooney
Hakuna mchezaji katika soka la kisasa anayeweza kufikia ufanisi na kazi yake uwanjani, na tabia yake kama walivyo watu wengi wa aina yake.Ni mchezaji aliyekamilika ambaye kila kocha angependa kuwa nae katika kikosi chake cha kwanza.
Substitutes:
Petr Cech
Nina heshima kubwa sana kwa Cech, ameweza kuendelea kucheza soka kwenye kiwango kikubwa hata baada ya kupata majeraha makubwa.
Carles Puyol
Ni beki mzuri ambaye yuko tayari kujitolea kila kitu kwaajili ya timu yake.
Michael Ballack
Ana kipaji kikubwa na mtu uwezo wa kulitawala dimba.
Frank Lampard
Mchezai mwenzangu wa kipindi nipo Chelsea anaweza kuanzisha na kumaliza mashambulizi ya timu.
Andrea Pirlo
Kiungo mwenye akili na uwezo wa kutoa pasi mahali popote uwanjani.
Ryan Giggs
Mr Gentleman of modern football: ana hekima na mbunifu pamoja ujuzi mzuri wa kucheza soka.
Cristiano Ronaldo
Ujanja wake wa kuchezea mpira, anaweza kuutawala mpira na kazi zake anayoifanya uwanjani inaongea kila kitu.
Former England captain Bryan Robson ameachia ngazi kama kocha wa timu ya taifa ya Thailand.
The 54-year-old aliambia FA ya Thailand kuwa angependa kuondoka na mabosi wake wakubali kumwachia.
"Bryan aliomba kujiuzulu na mkataba wake umekatishwa lakini siwezi kuzungumzia zaidi ili swala." alisema Raisi wa Thailand FA Worawi Makudi.
Robson ameendelea kuwa balozi rasmi wa timu yake ya zamani ya Manchester United na amesema ataendelea na jukumu hilo.
United leo wamesema katika mtandao wao kuwa maamuzi ya Robson hayahusiani kabisa na tishio la kuugua ugonjwa wa kansa.
The former United captain alifanyiwa upasuaji wa koo kwa ajili ya kansa mwezi 3 mwaka huu na madaktari walimwambia atapona kabisa.
Goalkeeper
Gianluigi Buffon
Kipa bora mwenye matukio ya kusisimua.Nilimfunga penati kwenye Champions League final mwaka 2003 lakini Buffon ameokoa michomo yangu mingi kuliko niliyomfunga.
Right-back
Cafu
Mpambanaji kiwanjani, yupo madhubuti na nguvu.Krosi zako kutokea nyuma ziliniletea magoli mengi nikiwa nae AC Milan na utani ulinisaidia kupunguza pressure ya mchezo kwenye mazoezi na mechi.
Centre-back
John Terry
Mlinzi imara na kiongozi asilia, anaweza kutuliza tabia za wachezaji kupaniki.Ana maamuzi mazuri na pia ni hatari sana katika mashambulizi ya kona..
Centre-back
Alessandro Nesta
Sijawahi kuona mtu anayeweza kusoma mchezo, mwenye akili na mzuiaji imara kama Nesta.Alitoa mchango mkubwa sana katika kuisadia AC Milan kuwatuliza Juventus in 2003 Champions League.
Left-back
Paolo Maldini
Mchezaji aliyebarikiwa na mwenye kujituma.Kiongozi mzuri mwenye kipaji cha kuzuia na anajua kubuni mashambulizi .Kwa kifupi ni moja ya mabeki bora niliowahi kuwashuhudia maishani mwangu.
Right midfield
Kaka
Mwalimu mbunifu anayelazimisha kasi ya mchezo.Nilikuwa nafuraha sana kuwa ndani ya timu na yeye, alikuwa ananipa pasi nzuri za mwisho na nilifunga magoli mengi shukrani kwa pasi zake za akili.
Centre-midfield
Steven Gerrard
Kiungo wa daraja juu, Gerrard anapenda kuongoza kwa mfano, ni maarufu kwa tabia yake ya kutokukata tamaa.Amebarikiwa nguvu, na uwezo kupiga pasi na mashuti yenye macho.
Centre-midfield
Zinedine Zidane
Alikuwa anafanya maajabu na miujiza kupitia kipaji chake.Kwenye mechi ulikuwa unashindwa kutabiri ataufanyia nini mpira, nje ya uwanja ni mtu alikuwa ni mtu mwema sana.Mwana miujiza Zidane.
Left-midfield
Lionel Messi
Ni vigumu kumpata mchezaji ambaye anaweza ku-dribble na kufunga kama Messi, ndio mshambuliaji wa karne 21.Sina maneno mazuri ya kuzungumzia zaidi, lakini Lionel yupo kila sehemu uwanja akiwafanya mabeki kuonekana wajinga.
Centre-forward
Ronaldo
Mwenye ujuzi, nguvu yupo kama mashine.Uwezo wake alionyesha katika kila timu aliyochezea unazungumza kila kitu.Nawaza angefanya mambo makubwa kiasi gani kama asingekumbwa na balaa la majeruhi.
Centre-forward
Wayne Rooney
Hakuna mchezaji katika soka la kisasa anayeweza kufikia ufanisi na kazi yake uwanjani, na tabia yake kama walivyo watu wengi wa aina yake.Ni mchezaji aliyekamilika ambaye kila kocha angependa kuwa nae katika kikosi chake cha kwanza.
Substitutes:
Petr Cech
Nina heshima kubwa sana kwa Cech, ameweza kuendelea kucheza soka kwenye kiwango kikubwa hata baada ya kupata majeraha makubwa.
Carles Puyol
Ni beki mzuri ambaye yuko tayari kujitolea kila kitu kwaajili ya timu yake.
Michael Ballack
Ana kipaji kikubwa na mtu uwezo wa kulitawala dimba.
Frank Lampard
Mchezai mwenzangu wa kipindi nipo Chelsea anaweza kuanzisha na kumaliza mashambulizi ya timu.
Andrea Pirlo
Kiungo mwenye akili na uwezo wa kutoa pasi mahali popote uwanjani.
Ryan Giggs
Mr Gentleman of modern football: ana hekima na mbunifu pamoja ujuzi mzuri wa kucheza soka.
Cristiano Ronaldo
Ujanja wake wa kuchezea mpira, anaweza kuutawala mpira na kazi zake anayoifanya uwanjani inaongea kila kitu.
Blackburn Rovers defender Phil Jones ameonekana jijini Manchester na kwa mujibu wa Skysports leo baadae atafanyiwa vipimo vya afya na Manchester United.
Inaaminika Man United wamemchukua Jones kwa paundi millioni 16 na wameshakubaliana na Rovers.
Jones ambaye amepewa na United mkataba wa miaka 5 alitakiwa kuondoka na timu ya vijana ya England U21 kuelekea Denmark jana lakini aliharisha ili aweze kukamilisha uhamisho na United na anategemewa kuondoka leo usiku kuelekea Denmark kujiunga na wanzake.