Search This Blog

Saturday, July 23, 2011

NILIPOPATA FURSA YA KUTEMBELEA OFISI ZINAZOZIENDESHA TIMU ZA SEATTLE SEAHAWKS NA SOUNDERS.

Hapa nikikabidhiwa jezi ya SEATTLE SOUNDERS na makamu wa raisi wa timu za SEAHAWKS na SOUNDERS Mr Lance Lopes kwenye ofisi za timu hizo.

Mrisho Ngassa amefanya vizuri sana kuanzia kwenye mazoezi na kwenye mechi dhidi ya Manchester UTD- LANCE LOPES

Hapa Lance Lopes akinieza namna ambavyo sekta ya michezo inavyotengeneza pesa hapa Nchini Marekani.





hapa ilikuwa ni baada ya Lance Lopes kumaliza kunifanyia Tour ya ofisi yao.







TIMU YA TAIFA IKIFANYA VIZURI PIA WACHEZAJI WA TANZANIA WATAPATA SOKO-NTEZE JOHN

Nteze John akikabidhiwa jarida la NUMBER10,atakuwa akitumiwa copy kila likitoka ili apate kufahamu habari za soka za nyumbani Tanzania.


Hapa ilikuwa ni baada ya kumaliza mahojiano maalum ambayo pia utayasikia kupitia Clouds Fm na Clouds TV kwenye vipindi vyake vya michezo,kulia kabisa ni 'kamanda' Abdulamin Dola huyu ni Mtanzania anayeishi hapa Seattle amenipa sana tough kwenye kushika kamera...



Mpira hauwezi kuendelea kama hawatapatikana viongozi wenye utaalamu wa kutosha wa mambo ya utawala wa soka....




Mpira niliupenda sana nikiwa kama mchezaji na ntaendelea kuupenda nikiwa kama shabiki wa kawaida ila sitegemei kurejea kwenye mpira nikiwa kama kocha
....





NASRI AKATAA MSHAHARA WA £115,000 ATISHIA KUONDOKA BURE


Samir Nasri yupo radhi kubaki Arsenal msimu huu na kuondoka bure msimu ujao.
Kiungo huyo wa kifaransa amewaambia wachezaji wenzie kuwa hatosaini mkataba mpya na Gunners, atakataa dili la mshahara wa £115,000 kwa wiki huku akiwa matumaini ya kulazimisha uhamisho wa kwenda Manchester City.
Nasri, ambaye aliondoka na kikosi cha Arsenal kwenda Ujrumani kucheza mechi ya kirafiki na FC Cologne, amewaambia wachezaji wenzie kuwa anaweza kubaki Emirates msimu huu na kuondoka bure next summer.
Jana, Arsena Wenger alipoulizwa kuhusu hatma ya Nasri alisema: "Makubaliano bado hajakamilika, lakini nataka abaki na yeye anajua.Naamini suala hili litamalizika ndani wiki chache zijazo."
Wakiwa kwenye ziara nchini Malaysia Wenger alipoulizwa alisema anataka Nasri na Fabregas waendelee kubaki lakini mara tu Gunners walipompa mkataba wa £115,000 Nasri alikataa kwa haraka sana.

ADEBAYOR NA THAMANI YA £25m AFANYA MAZOEZI NA TIMU YA WATOTO



Aibu imeendelea kumkumba Emmanuel Adebayor baada ya jana kulazimishwa kufanya mazoezi na timu ya wadogo wa klabu ya Manchester City.
Mchezaji huyo wa zamani Arsenal ambaye aliachwa kwenye tour ya City nchini Marekani, kwa sasa yupo katika harakati za kutafuta timu ya kuhamia baada ya kusema wazi hataki kuendelea kubaki Eastlands.

Adebayor mwenye thamani ya £25million bado anataka kujiunga na Real Madrid kwa ujumla baada ya kuitumikia klabu hiyo katika nusu ya msimu uliopita, lakini kocha wa Tottenham Hospurs Harry Redknapp nae ameonyesha nia ya kumtaka mwafrika huyo.

OFFICIAL: HEINZE ATUA AS ROMA


Masaa machache baada ya kukamilisha usajili wa Bojan Krkic klabu ya AS Roma ya Italia leo imetangaza usajili wa beki wa zamani wa Man United na Real Madrid Gabriel Heinze kutoka Marsaille kwa uhamisho huru.
Klabu hiyo ya Italia haijatoa taarifa zaidi za usajili huo lakini tetesi zinasema Heinze mwenye umri wa miaka 33 amesaini mkataba wa mwaka wa mmoja wa kuitumikia klabu hiyo.

OFFICIAL: ARTURO VIDAL AJIUNGA NA JUVENTUS


Juventus wametangaza rasmi kumsajili Artulo Vidal kutoka Bayern Leverkusen kwa ada ya uhamisho wa £9.24m.
Vidal amesaini mkataba wa miaka 5 mara tu baada ya kufaulu vipimo vya afya leo Ijumaa.

Friday, July 22, 2011

JEZI YA ROONEY YAONGOZA KWA MAUZO


Jezi ya mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney imeongoza kwa mauzo katika msimu wa 2010 - 2011.
Top 10 ya mauzo ya jezi yame-base katika mauzo ya dunia kupitia majina na namba, huku Rooney akiwa mchezaji wa pili wa United tangu Ronaldo aliposhika nafasi ya kwanza msimu wa 2007/08.
list kamili ya Jezi za wachezaji zilizouza
1: Wayne Rooney
2: Fernando Torres
3: Steven Gerrard
4: Javier Hernandez Chicharito
5: Van Persie
6: Lampard
7: Didier Drogba
8: Luis Suarez
9: Andrey Arshavin
10: Ryan Giggs

MAMBO 5 ALIYOJIFUNZA MRISHO NGASSA AKIWA NA SEATTLE SOUNDERS.

1. KUHESHIMU MUDA.

Moja kati ya vitu muhimu nilivyojifunza hapa ni kuheshimu muda

hapa, jamaa wanafuata sana ratiba iliyowekwa kabla na baada ya mazoezi,

mfano saa moja kabla ya muda wa mazoezi kila mchezaji anatakiwa kuwa ameshafika uwanjani, nusu saa kabla umeshavaa vifaa vya mazoezi,dakika 20 kabla upo uwanjani unafanya mazoezi binafsi.

2. KULA KABLA YA KUANZA MAZOEZI NI KITU MUHIMU MNO.

Aisee unaweza ukaona ni kitu cha kawaida lakini nimegundua kwanini makocha wa kigeni wanasisitiza kula kabla ya mazoezi kuanza, siyo ukisikia kula ni kwenda tu kunywa kikombe kimoja cha chai na andazi moja,hapana unakula msosi wa haja maana mazoezi yanakua magumu sana na yanahitaji uwe umeshiba kweli.

3. UKISIKIA BENCHI LA UFUNDI NI LA UFUNDI KWELI.

Hawa jamaa hawana utani hata kidogo,kwanza kwenye utawala wa timu kuna watu wengi kushinda hata idadi ya wachezaji wakati wa mazoezi,

kuna watu maalum kwa ajili ya kufundisha mfumo wa namna gani timu inatakiwa kucheza kwa njakati tofauti tofauti,mfano timu inatakiwa ichezeje ikiwa inataka iwe ya kwanza kufunga bao,na hata ikitokea timu imeanza kufungwa kitu gani kinatakiwa kufanyika ndani ya muda mfupi cha kubadilisha mfumo wa uchezaji.

kuna watu kazi yao ni kudili na majukumu mbali mbali mfano, magolikipa,washambuliaji,mabeki,viungo, nk

yaani benchi la ufundi lina watu wengi sana kushinda unavyoweza kuzania.

4.HAKUNA MAMBO YA KAMBI HUKU

mimi tangia nimefika huku hakuna mtu wa kunifuatilia eti nafanya nini,nilipofika hapa nikapewa nyumba ya kuishi,baada ya hapo nikapewa ratiba ya mazoezi,kilichobaki jamaa walikua wananiletea usafiri wa kunipeleka na kunirudisha nyumbani,

huku siyo kama nyumbani eti kambi kwanza hata mimi sioni ulazima wa mambo ya kambi hayamfanyi mchezaji kuwa katika hali ya kujipangilia mambo yake ya kimaisha na kazi.

huwezi amini hata siku ya mchezo wetu dhidi ya Man utd kila mchezaji alifika uwanjani na usafiri wake,cha muhim kilikuwa ni kufika uwanjani lisaa limoja kabla ya mchezo kuanza.

5. MUDA WA MAZOEZI SI CHINI YA MASAA 4 KWA SIKU.

huku hakuna cha kufanya mazoezi ya Asubuhi na Jioni, mazoezi yanafanyika asubuhi tu na baada ya hapo kila mchezaji anaenda zake nyumbani,lakini ukifika nyumbani siyo unalala,unatakiwa ufanye gym,upumzike na ule kweli kweli.












MODRIC ANA THAMANI ZAIDI YA £35MILLION


Kocha wa Tottenham Harry Redknapp amesisitiza kuwa mchezaji wake Luka Modric ana gharama ya zaidi ya £35million.
Modric ambaye amesema wazi kuwa anahitaji kuondoka White Hart Lane amekuwa akisakwa kwa udi na uvumba na matajiri wa London, Chelsea ambao tayari walishatuma ofa ya £22million na baadae wakaongeza mpaka £27m.
Akizungumza na Press Redknapp alisema: "Kama tungekuwa tumeamua kumuuza basi hata £35m haitokuwa sahihi kwa Luka, ana thamani ya pesa nyingi zaidi.
Kiukweli hatutaki kumuuza Modric, tunahitaji kuendelea kuwa na wachezaji wetu bora.Uamuzi wa kuuza mchezaji wa mwenyekiti Levy, lakini mimi kama kocha nisingependa kuondokewa na mchezaji kama Luka."

OFFICIAL: BARCA YATHIBITISHA BOJAN KUJIUNGA NA ROMA


Barcelona leo wamethibitisha kukubaliana na AS Roma kumuuza winga wake Bojan Krkic kwa dili lenye thamani euro million 12.
Bojan ambaye ataichezea klabu hiyo ya Italia hadi mwishoni mwa msimu wa 2012-13, na atarudi Barca kwa gharama ya euro million 13, na kama Roma watapenda kuendelea kuwa nae basi itawabidi walipe kwa jumla euro million 40.


OFFICIAL: SANCHEZ AJIUNGA NA BARCELONA


Hatimaye klabu ya Barcelona imefanikiwa kuzishinda klabu za Man UTD, City, na Chelsea baada ya leo kufanikiwa kumsajili winga wa kimataifa wa Chile Alexis Sanchez kwa gharama ya £22million (Add ons £11m).
Sanchez ambaye amekuwa moja ya wachezaji waliokuwa wakihusishwa kwa kiasi kikubwa na mabingwa wa ulaya anatarajiwa kwenda nchini Spain Jumatatu ijayo kufanyiwa vipimo na baadae majibu ya vipimo yakiwa postive mchezaji huyo atasaini mkataba wa miaka 5 wa kuitumikia klabu hiyo.
Kupitia mtandao rasmi wa klabu hiyo walitoa taarifa isemayo: "Udinese and F.C Barcelona wamekubaliana juu ya uhamisho wa Alexis Sanchez.Vipimo, kusaini mkataba wa miaka 5 na kutambulishwa kutafanyika Jumatatu."

DC MOTEMA PEMBE MBIONI KUMSAJILI MGOSI


Daring Club Motema Pembe (DCMP) ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo kupitia Shirikisho la vyama vya mpira wa miguu vya nchi hiyo (FECOFA) limetuma TFF maombi ya Hati ya Uhamisho wa Kimataifa (ITC) kwa ajili ya mshambuliaji wa Simba, Musa Hassan Mgosi. Klabu hiyo imemuombea Mgosi hati hiyo ya uhamisho kama mchezaji wa ridhaa kwa maelezo kuwa imeshakubaliana na wenzao wa Simba katika suala hilo. Hivyo hivi sasa TFF inafanya mawasiliano na Simba kabla ya kufikia uamuzi wa kutoa ITC kwa DCMP.

Thursday, July 21, 2011

DAKIKA 14 ZA NGASSA DHIDI YA MAN UTD.

Mpambano uliokuwa unasubiliwa kwa hamu na mashabiki wengi wa soka ulimwenguni kati ya Seattle Sounders na Manchester Utd umemalizika kwa Man Utd kufanikiwa kuichapa Sounders Mabao 7-0.
Man Utd wapo kwenye Tour ya Marekani kujiandaa na msimu mpya wa 2011/12 huku Sounders wakiwa na msimu mzuri sana wa MLS kwani ni moja kati ya timu zinazofanya vizuri kwenye ligi hiyo.
Kabla ya mchezo baina ya hizi timu mbili mashabiki wa Sounders walikuwa na matumaini ya kuifunga Man utd lakini walisahau ya kwamba pamoja na timu yao kuwa na matokeo mazuri kwenye MLS bado walikuwa na rekodi mbaya kwenye safu yao ya ulinzi.
Kabla ya mchezo dhidi ya Man utd, Sounders ilikuwa imecheza jumla ya michezo 24 na kati ya michezo yote hiyo ni michezo mitano waliyomaliza pasipo kuruhusu wavu wao kuguswa, na cha kustaajabisha wamefungwa jumla ya mabao 25 ,wastani wa bao moja kwa kila mchezo,safu yake ya ushambuliaji ikiongozwa na Fredy Montero pamoja na Mauro Rosales ndiyo imekuwa ikiibeba timu hiyo, kwa aina ya mchezo wanaocheza wa kushambulia tu haishangazi kutandikwa 7-0 na Man utd,
Man utd walianza na Luis Nani na Ashley Young kwenye wingi zote mbili,huku Anderson na Ryan Giggs wakiificha mipira yote katikati na matokeo yake Sounders wakalazimika kuingia msituni kuutafuta mpira kitu ambacho lilikua ni kosa la jinai, Ashley Young na EVRA walikua wanampiga ‘mande ‘ beki wa kulia wa Sounders , ‘the Douglas Maicon’ wa MLS James Riley. Upande wake wa kulia ndo ulikua chimbuko la bao la kwanza lilifungwa na Michael Owen kwa kichwa huru,
Pia tusisahau kuwa level ya man utd huwezi kuilinganisha na Seattle Sounders kutokana na utofauti wa ligi wanazocheza.
Nimesoma comments kadhaa za mashabiki wa soka nchini Tanzania Wengi wanadhani Mrisho Ngassa alikuwa muoga kwa mabeki wa Man utd,kitu ambacho binafsi nakipinga tena kwa nguvu zote,
Kiukweli timu nzima ya Seattle ilikuwa inaihofia Man Utd na kama wangekuwa makini kuzitumia nafasi kadhaa walizozipata sidhani kama ubao wa matokeo ungesomeka vile, takwimu tu zinaweza kukupa jibu,.kwenye mchezo huo Sounders walipiga jumla ya mashuti 18 golini mwa Man Utd huku mshambuliaji wao nyota Fredy Montero akipiga mashuti 5 peke yake pasipokufunga walau goli moja,
Wakati Man Utd walipiga jumla ya mashuti 20 golini wakapata mabao 7 huku Wayne Rooney akipiga jumla ya mashuti 4 na mashuti matatu akaweka mpira kambani.
Kipindi cha pili Man utd walimwingiza Wayne Rooney ambaye hakuchelewa kutumia mianya mingi iliyokua inajitokeza kwenye lango la Sounders na kufunga jumla ya mabao matatu.
Usitegemee unapocheza na timu imara kama Man Utd na ukaipa uhuru wa kutengeneza nafasi nyingi itakuacha.

Dakika 14 za MRISHO NGASSA
Binafsi nimefurahishwa na namna Ngassa alivyocheza, Sounders wanamtafuta mbadala wa winga wao Steve Zakuani aliyepata majeraha ya muda mrefu,
Moja kati ya sifa za mchezaji wa kuziba nafasi ya Zikuani anatakiwa awe na spidi, awe na movements nzuri akiwa au hana mpira, moja kati ya vitu vilivyonifurahisha kwa Ngassa ni hali ya kujiamini aliyokua nayo,tukumbuke kwanza Ngassa hakuwa mchezaji wa Sounders bali alipewa nafasi ili wampime uwezo wake kwenye mechi kubwa kama dhidi ya Man Utd,
Nilipata wasaha wa kufanya mahojiano na mkurugenzi wa ufundi wa SONDERS bwana Chris Henderson binafsi alivutiwa sana kipaji cha Ngassa.

Ngassa Kukosa nafasi ya wazi....
Narudia tena tusiangalie tu kupoteza nafasi ya kufunga,ni muhim pia kuangalia namna hiyo nafasi ilivyotengenezwapia ,tuangalie mazingira ya namna alivyoipata ile nafasi ya kufunga lile bao,mi nadhani cha msingi tuangalie alikimbia umbali kiasi gani kuufikia ule mpira na Rio Ferdinand alikuwa umbali kiasi gani na ule mpira, tukiangalia hivyo vitu nadhani tutapata picha kabla ya kulaumu.


ULIKUWA NI UAMUZI RAHISI KUICHAGUA UNITED - ASHLEY YOUNG


Ashley Young alikuwa tayari ameshaichagua Man United mara tu baada ya kujua wanamuhitaji.

Huku mkataba wake na Aston Villa ukiwa unakaribia kuisha mwishoni mwa msimu uliopita, ni wazi ilijulikana kuwa ataondoka Villa Park.

Young, 26, anasema alikuwa ameshafanya maamuzi kuhusu future yake, na ilikuwa ni suala la kuthibitisha tu uhamisho wake kuelekea Old Trafford kwa paundi million 17..

"Sikuwahi kuwa na mashaka pindi tu nilipojua United walikuwa wakinitaka, pindi moja ya klabu kubwa duniani inapokufuata si rahisi kukataa.Nilikuwa na furaha kusikia kuhusu wao kuvutiwa na mimi, na nilikuwa nasubiri kuweka saini yangu kwenye vitabu."

Mchezaji huyu wa kimataifa wa England pia anasema ana uhakika atafanikiwa akiwa na jezi ya United: "Ninajiamini kutokana na uwezo wangu, siku zote nimekuwa nikitaka kucheza katika level ya juu, na Mancheter United ni mahali sahihi.Uhamisho huu umenipa nafasi ya kucheza katika ligi ya mabingwa na pia kuisadia timu yangu kushinda ubingwa wa 20 wa ligi.Nataka kuwa moja ya sehemu ya timu ya ushindi.Kutokea siku ya kwanza nilipowasili, kocha amekuwa akiongea kuhusu kuwa na mentality ya ushindi.Unaweza ukaona matamanio ya ushindi hata ukiwa mazoezini, hii klabu ni kila kitu kuhusu ushindi." -YOUNG


OFA YA PAUNDI MILLLION 10 YA ARSENAL KWA JAGIELKA YAKATALIWA

Everton wameonekana kuendelea kumng'aninia beki wao kati Phil Jagielka anayetakiwa na Arsena Wenger.


The Gunners walituma ofa ya paundi million 10 ili kuweza kumvuta Jagielka ndani ya Emirates lakini ilikataliwa na The Toffes.

Kwa mujibu wa Press Association ofa hiyo iilikuwa pungufu ya paundi million 2 kwa kiasi walichohitaji Everton.

Everton ambao mpaka sasa hawajafanya usajili wa mchezaji yoyote wanasemekana sasa wanampa thamani ya paundi millioni 20 Jagielka ili kuweka ugumu wa usajili kwa timu zinazomtaka beki huyo.





mrisho ngassa almanusura afunge bao,sounders wapewa wiki moja na Man utd ya kufanya maandalizi vyema


seattle Sounders wamekubali kichapo cha mabao 7-0 toka kwa Manchester Utd,
wayne rooney akifunga mabao 3,michael Owen,Biram Mame Diouf,Park Ji Sung,Gabriel Obertan wakifunga bao moja moja,
Mrisho Ngassa aliingia dakika 12 za mwisho na almanusura aifungie Sounders bao la kufutia machozi lakini mpira wake ulitoka juu ya lango.












STUDIUM GUIDE! DUUUH KAZI KWELI KWELI !!


This Sounders FC Fan Guide is designed to ensure that your experience at Qwest Field is enjoyable and convenient. It contains a display of stadium maps of the various levels of the facility, including restrooms, first aid stations, elevator access, stairs and more.

In addition to Sounders FC, Qwest Field hosts other exciting events year round including Seattle Seahawks football, music concerts, trade shows and collegiate football. Contact the “Events Hotline” at (206) 381-7500 for details on upcoming attractions or visit www.Qwestfield.com.

GUEST SERVICESAssistive Listening Devices
Baby Changing Stations
Closed Captioning Services
Customer Service
Credit Cards
Designated Driver Program
Disabled Seating
First Aid Stations
Guest Services
Lost and Found
Lost Children/Parents
Paging
Police
Public Telephones
Safe Ride Home Program
Will Call STADIUM POLICIES
Animals
Bag Search
Banners & Signs
Bottles & Cans
Cameras, Audio & Video Recorders
Ejection
Fan Code of Conduct
Food & Beverages
Pitch Access
Prohibited & Restricted Items
Re-Entry Policy
Smoking
Solicitation/Literature
Tailgating
Umbrellas STADIUM INFO
ATM’s
Box Office
Concessions
Covered Seating
Drinking Fountains
Elevators
Emergency Evacuation
Gate Opening Times
National Anthem
Halftime
Playing Surface
Restrooms
Video Boards


ANIMALS
Service animals or those in training, for guests with disabilities are allowed in Qwest Field and Qwest Field Event Center. All other animals are prohibited.

Back to Top
ASSISTIVE LISTENING DEVICES
Qwest Field has been equipped with a highly advanced assistive listening system (ALS). Headsets and receivers are available for no charge at any Guest Services booth. A driver’s license, credit card or some form of identification will be required as a deposit.

Closed Captioning is available for guests via mobile phones. Most mobile phones are compatible with the system. In the event a personal phone is not compatible, a limited number of mobile phones are available for check out with a valid driver’s license at any Guests Services booth. The mobile phones will transmit communications made through the stadium's public address system. Please stop by a Guest Services booth for more details. This system may not be available for all stadium events.

Back to Top
ATMS
There are ATMs in various locations throughout Qwest Field and Event Center.

Back to Top
BABY CHANGING STATIONS
For your convenience, baby-changing stations are located in all family restrooms throughout Qwest Field and Event Center. Family restrooms are located on all levels of Qwest Field.

Back to Top
BAG SEARCH
No soft-sided cooling containers, coolers or large bags (bigger than 12” x 12” x 12”) are permitted into Qwest Field and Event Center on Sounders FC match days. Event security is required to open all bags at the gates for a visual inspection before allowing guests’ entry. Security measures may be increased based on direction from the MLS, orders from the Seattle Police or government as well as the current terror threat level. These procedures will include but are not limited to a more thorough search of persons and property as well as a pat down. Due to these safety procedures, we strongly recommend early arrival to all major Qwest Field events.

Large bags are permitted at other Qwest Field and Event Center events, and are subject to search. For specific event information, please call Qwest Field at (206) 381-7555.

Back to Top
BANNERS AND SIGNS
Banners and signs are permitted during Sounders FC matches as long as they do not obstruct the view of guests or block stadium signage and must meet the following requirements:

Item may not be constructed of wood, metal or any other material that may cause harm to others as determined by stadium management.
If a holding device is desired, poles MUST be made out of a hollow ½ inch PVC Pipe and no longer than 3½ feet long. Any pole longer than this must be pre-approved by stadium management.
Banners and signs must be event-related, in good taste and not commercial, political or offensive in nature. All signs must be hand-held; signs on sticks are not permitted. Qwest Field reserves the right to remove any banner or sign.

Back to Top
BEVERAGES
See Food and Beverage Policy

Back to Top
BOTTLES AND CANS
No bottles, cans or outside beverages are permitted in Qwest Field and Event Center for Sounders FC matches. Non-metal water bottles are allowed, however. The water bottle must be full and factory-sealed. It cannot be a container from home, and it must be filled with water (non-enhanced, flavored or carbonated). Exceptions are made for empty personal plastic sports bottles (non-metallic), baby bottles, health-related materials and unopened, soft-sided, single serve containers (such as small milk cartons, juice boxes, etc.).

Back to Top
BOX OFFICE
The Qwest Field Box Office is located in the northwest corner of the stadium. Ticket sellers are available six days a week to assist you with all Qwest Field events. For Sounders FC event information, please call (206) 682-2800. For all other Qwest Field events, please contact (206) 381-8057.

Hours of Operation:
Monday – Friday 10:00am-5:00pm, Saturday 10:00am-2:00pm
The Box Office is closed on Sundays, except for Sounders FC match days.

Back to Top
CAMERA, AUDIO AND VIDEO RECORDERS
Personal photography is permitted at Qwest Field provided the images are for personal use only; however, any audio or video recording is in violation of Major League Soccer. Photographic support tools that may interfere with others' enjoyment of the match (tripods, professional lenses - larger than 200 mm, etc.) are not permitted in the stadium.

Back to Top
CLOSED CAPTIONING SERVICES

Closed Captioning is available for guests via mobile phones. Most mobile phones are compatible with the system. In the event a personal phone is not compatible, a limited number of mobile phones are available for check out with a valid driver’s license at any Guests Services booth. The mobile phones will transmit communications made through the stadium's public address system. Please stop by a Guest Services booth for more details. This system may not be available for all stadium events.

Back to Top
CUSTOMER SERVICE
During a Qwest Field event, please direct any comments and concerns to the nearest Guest Services booth or Concierge Desk. Questions or comments may also be directed to the Sounders FC Customer Relationship Department by calling (877) MLS-GOAL, Monday through Friday 9:00am-5:00pm, or emailing customerservice@soundersfc.com.

Qwest Spirit of Service Line
We are committed to improving your game day experience and providing a safe, family environment. To report any inappropriate activity that is disrupting your enjoyment of the match or for housekeeping needs text-message 429512.

Back to Top
CONCESSION STANDS
For a list of Stadium concession stands with their locations visit www.QwestField.com.

Qwest Field and Event Center proudly offers catering and concessions from nationally recognized food service provider, Levy Restaurants. Whether hosting an intimate luncheon or serving thousands of Sounders FC supporters on match day, Levy provides outstanding food and beverage service. For more information, please call (206) 808-8351 or visit their web site at www.Levyrestaurants.com.

Back to Top
COVERED SEATING
The majority of the seats in Qwest Field are protected from the elements. The following general outline will serve to assist guests in determining whether or not their seats are covered. This information is weather and wind speed/direction contingent. Generally, the east side is known as the “sunny side” and in addition, will be more exposed to the elements.

Field/Main Level

Cover begins at Rows Z-AA of the 100 level sideline seats

North End Zone and Hawks Nest

No covered seating

South End Zone

Cover only in last two rows, PP and QQ

Club Level

All seating covered

Suite Level

All seating covered

Back to Top
CREDIT CARDS
The Qwest Field Box Office, Pro Shop at Qwest Field and permanent novelty stands prefer MasterCard, but also accept VISA, American Express and Discover. All stadium concession stands accept VISA, MasterCard and American Express. Credit card acceptance varies by event for all other Qwest Field events.

Back to Top
DESIGNATED DRIVER PROGRAM
The “Good Sport” program, sponsored by Anheuser-Busch and Levy Restaurants, is part of Qwest Field’s commitment to public and fan safety. Under the Designated Driver program, one person from a group attending the game volunteers to refrain from drinking alcohol and is responsible for providing transportation for the rest of the group. Designated drivers can register by signing a pledge card at any Guest Services booth until kick off.

To ensure that everyone has a safe ride home, in those isolated instances when alternative transportation is necessary, staff will encourage guests to use a taxi. Information about taxi service is available at any Guest Services booth. (See Safe Ride Home)

Back to Top
DISABLED SEATING INFORMATION
There are disabled seats (wheelchair convertible) dispersed throughout all areas and price levels of Qwest Field. Disabled seating and access are fully compliant with the Americans with Disabilities Act (ADA). For further location of access appropriate options, please contact the Qwest Field Box Office at Voice: (206) 682-2800 or TDD/TTY: (206) 381-7833.

Back to Top
DRINKING FOUNTAINS
Drinking fountains are located near the restrooms on all levels of Qwest Field and Event Center. On the Club Wells Fargo Level there are 4 double fountains, on the Main Concourse there are 16, and on the Field Level there are 6.

Back to Top
EJECTION
Qwest Field and the Seattle Sounders FC reserve the right to eject anyone who violates the Fan Code of Conduct. Tickets will be revoked without a refund and the individual(s) will be escorted from the grounds.

Sounders FC season ticket members are responsible for the behavior of persons using their seats. If those persons are ejected, the Seattle Sounders FC may take appropriate action against the season ticket holder, up to and including season ticket revocation.

Back to Top
ELEVATORS
The stadium is equipped with two elevators in each of the northeast, northwest, and southwest corners of the stadium, providing service to the main level of the facility. Elevators are also located at the north and south ends of the parking garage, as well as the southeast corners of the Qwest Field Event Center.

Elevator service priority is given to guests with disabilities, followed by Club Level and suite ticket holders. Please be mindful of elevator line procedures in the lobbies.


Back to Top
EMERGENCIES AND EVACUATION
In the event of a serious Qwest Field and Event Center emergency, all event staff, law enforcement and fire personnel are available to assist guests, including those with disabilities. Information will also be provided over the public address system and on stadium televisions and scoreboards.

Back to Top
FAN CODE OF CONDUCT
Qwest Field management is committed to creating a safe, comfortable and enjoyable experience for its guests at Qwest Field and Event Center. The facility’s staff will proactively intervene to support an environment where event patrons, their guests and other fans can enjoy the event experience free from the following behaviors:

Use of ALL tobacco products prohibited on Qwest Field and Qwest Field Event Center premises
Foul or abusive language or obscene gestures
Intoxication or other signs of impairment related to alcohol consumption
Fighting, taunting, or threatening remarks or gestures
Sitting in a location other than the guest’s ticketed seat
Displays of affection not appropriate in a public setting
Obscene or indecent clothing
Any disruption to the progress of the event by guests’ actions
Throwing objects of any kind*
Any other conduct that is beyond the bounds of reasonable behavior for spectators attending a professional sporting event
Each guest should hold his or her ticket stub and be ready to display it to stadium officials to verify their seat location. All Season Ticket Members are responsible for their conduct as well as the conduct of their Guests and/or persons occupying their seats.

*The use of streamers and confetti as an expression of fan enthusiasm is not prohibited, but will be kept under review. Streamers are not to be used to impact the competition and/or thrown at or toward a player, referee or stadium staff member.

Back to Top
FIRST AID STATIONS
For guest safety and convenience there are several first aid stations located throughout Qwest Field and Event Center. In an emergency, please notify the nearest Guest Services representative for assistance and directions to these first aid stations. First aid stations can be found in the following locations:

Main Concourse: Sections 103, 119 & 141
Club Level: SW Concourse across from Suite 26
Suite Level: SW Concourse across from Suite 36
Upper Concourse: Sections 300 & 326
Automatic External Defibrillators (AED’s) are located throughout the facility.

Back to Top
FOOD OF BEVERAGE POLICY
Sounders FC fans may bring food into Qwest Field and Event Center on match days in clear plastic bags only, but no beverages will be allowed (see Bottles and Cans). Coolers and backpacks are also prohibited on Sounders match days (see Bag Search).

For all other events in Qwest Field and Event Center, outside food and beverages are not permitted. Exceptions are made for factory sealed bottled water, baby bottles, food or beverages related to medical needs, and unopened, soft-sided single-serve containers.

Alcohol Policy

Qwest Field and Levy Restaurants work hard to promote responsible consumption of alcoholic beverages. Our alcohol policies are listed below and are also posted at every concession stand.

All Guests purchasing alcohol, who appear to be less than 30 years old, must present a valid ID
No alcohol will be sold to Guests who appear intoxicated
There will be a two (2) beer limit, per transaction, at concession stands and portable concessions
There will be a one (1) beer limit, per person, by a roving vendor
Beer sales will terminate at the 60th game clock minute of the match
Management reserves the right to cut off alcohol sales at its discretion
Guests passing alcohol to minors will be ejected and subject to arrest
Guests possessing alcohol, who do not have proof of being at least 21 years of age, may be ejected
We reserve the right to refuse the sale of alcohol to any Guest
Alcoholic beverages may not be brought onto the grounds. Any attempt to bring alcohol into the stadium will be considered a violation of the Code of Conduct and may result in the Guest being ejected, arrested, or tickets being revoked
Back to Top
GATE OPENING TIMES
For Sounders FC matches, all gates will open 90 minutes prior to kickoff. Gate opening times for other events in Qwest Field and Event Center will vary by event. For specific event information, please call the Event Hotline at (206) 381-7500.

Back to Top
GUEST SERVICES BOOTHS
Got a question? Guest Services booths are provided to help with questions or concerns, to check strollers, and assist in finding lost guests or items. Any stadium staff member can offer assistance, or you can visit one of our Guest Services booths in the following locations:

Field level: Across from Section 130 & 140
Main Concourse: Across for Sections 100 & 127
Club Wells Fargo Level: Concierge desk located at FSN Lounge in south end of Club Level
Back to Top
LOST AND FOUND
If you have misplaced an item at an event, please proceed to the nearest Guest Services booth. After the conclusion of the event you may contact the Qwest Field Lost and Found at (206) 381-7510. Lost items will be kept for one month; those unclaimed after that time will be donated to charity.

Back to Top
LOST CHILDREN/PARENTS
Guests are encouraged to instruct children in their group to find a Qwest Field Staff Member if they become lost or separated from their group. Lost children will be taken to the nearest Guest Services booth. Parents looking for a lost child should follow the same procedure.

As a preventive measure, all Spectator Services Centers and Spectator Services Representatives offer the “Family Finder” program as a free service. Parents can also have their seat location printed on a fun wristband for their children to wear while at Qwest Field.

Back to Top
NATIONAL ANTHEM / HALFTIME
Please submit a 90-second or under DVD or CD recording of your vocal acapella version of the National Anthem. Three letters of recommendations from entertainment managers, music instructors, or past clients you have entertained. Your contact information and a one page summary of your vocal background and musical experience.

Please send National Anthem material to:
Seattle Sounders FC
National Anthem Tryout Package
12 Seahawks Way
Renton, WA 98056

Due to the high volume of requests application material will not be returned. Only selected candidates will be contacted.

Halftime Requirements:
Please submit a DVD of a past performance.
- All halftime performances must be four minutes or less.
- Three letters of recommendations from entertainment managers, music instructors, or past clients you have entertained.
- Your contact information and a one-page summary of your entertainment background and experience.

Please send Halftime Material to:
Seattle Sounders FC
Halftime Tryout Package
12 Seahawks Way
Renton, WA 98056

Due to the high volume of requests application material will not be returned. Only selected candidates will be contacted.

Back to Top
PAGING
Paging is permitted in the case of medical emergencies only. If there is a medical emergency and paging is necessary, please contact any Qwest Field Staff Member or go directly to a Guest Services booth.

Those who wish to leave an emergency number with relatives or sitters can refer them to the Qwest Field office at (206) 381-7555. Please remember to leave an exact seat location (section, row, seat number) at home with the emergency number. If Qwest Field is contacted in the event of an emergency, a Stadium Staff Member will deliver the message to a patron’s seat.

Back to Top
PITCH ACCESS
Only authorized personnel with proper credentials will be permitted on the pitch before, during or after a Sounders FC match. Any unauthorized person going onto the pitch will be removed and subject to arrest and loss of Sounders FC tickets.

Back to Top
PLAYING SURFACE
The stadium pitch surface is called FieldTurf™— a new generation of artificial turf that is gaining in popularity with both football and soccer clubs throughout the world. The surface includes sand and ground rubber as the base of the artificial grass, providing a flexible playing surface for both football and soccer. The field’s durability in all types of weather will ensure that a wide range of events can be successfully held at the stadium.

Back to Top
POLICE
For your safety and convenience, Seattle Police Department and King County officers are stationed throughout Qwest Field and Event Center. If you have an emergency, please notify the nearest Guest Services representative immediately.

Back to Top
PROHIBITED AND RESTRICTED ITEMS
The main goal of Qwest Field Management Team is to take reasonable steps to protect the safety and security of Qwest Field guests, employees, and other assets with respect towards everyone’s dignity and legal rights.

Qwest Field and Qwest Field Event Center does not allow the following items:

Animals (Service animals ok)
Beach Balls/Frisbee
Bottles (Glass)
Cans
Coolers/Ice Chests
Drugs/Illegal Substances
Fireworks/Flares/Smoke Bombs
Flammable Liquids
Flasks
Glass Containers
Laser Pens/Pointers
Pepper Spray
Weapons
Whistles
Any items deemed by management to be inappropriate that may disrupt other fan’s enjoyment of the game.
* The use of streamers and confetti as an expression of fan enthusiasm is not prohibited, but will be kept under review. Streamers are not to be used to impact the competition and/or thrown at or toward a player, referee or stadium staff member.

* Items may not be constructed or displayed in a manner that may obstruct the view of other guests or in any way create a safety hazard for others as determined by stadium management staff.

* While horns and drums are not prohibited, we ask that guests be courteous to nearby guests. Inappropriate or disrespectful use of these noisemakers will result in forfeiture of the item.

* All guests must maintain reasonable and appropriate behavior at all times. Guests using offensive language or engaging in disorderly conduct may be ejected from the stadium and may be subject to arrest.

Back to Top
PUBLIC TELEPHONES
Public telephones are located at all Guest Services Booths. TDD/TTY phones are available at the Qwest Field Box Office.

Back to Top
RESTROOMS
Restrooms are located throughout Qwest Field and Event Center and are all ADA-compliant. Family restrooms with baby-changing tables and chairs for nursing are also available throughout the facility.

Back to Top
SAFE RIDE HOME PROGRAM
Qwest Field, in conjunction with Levy Restaurants, Budweiser and Graytop Taxi, has developed the Safe Ride Home program. Guests who feel they cannot safely drive home due to the effects of alcohol should visit the nearest Guest Services booth where they will be escorted to the pick up near King Street Station and receive a taxi ride to their residence – free of charge.

Back to Top
RE-ENTRY POLICY
Due to security concerns, re-entry is ONLY permitted up until kickoff time. After kickoff there is no re-entry. Once a fan exits Qwest Field after kickoff, they cannot re-enter. In the case of a medical emergency, you can be issued a medical pass by Qwest Field First Aid.

Back to Top
SMOKING
In compliance with state law (RCW 70.160), smoking is prohibited in all areas of Qwest Field and Event Center. Tobacco use of any kind is prohibited inside the stadium seating area.

Back to Top
SOLICITATION / LITERATURE
Any persons without written consent from either First & Goal Inc. or the Seattle Sounders FC are prohibited from soliciting contributions or distributing literature on Qwest Field and Event Center property (inside or outside).

Back to Top
STROLLERS
Strollers are allowed in Qwest Field and Event Center. During stadium events, strollers too large to be stored under a seat may be checked at the nearest Guest Services booth.

Back to Top
TAILGATING AT QWEST FIELD
Tailgating is permitted in the North Lot only. Qwest Field security, Seattle Police and King County Sheriffs will patrol the lots to ensure the safety of all event attendees. Please adhere to the following tailgating policies:

• Park in ONE stall only. Awnings, chairs, BBQ’s, etc. cannot extend into other spaces or traffic lanes.
• Tailgating is permitted on the East side of the North Lot only.
• No alcohol - consuming alcoholic beverages in public is a violation of city and state law
• No charcoal BBQ’s or fires on the ground.
• No Deep Fat Fryers.
• No glass bottles or cans permitted – please pour drinks into plastic cups.
• Fighting and taunting are NOT permitted.
• Throwing, catch and sports activities are NOT permitted.
• Please dispose of all trash in bins provided.

These lots close 2 hours after the conclusion of the match. Be prepared to depart at that time.

Back to Top
UMBRELLAS
Umbrellas are permitted in the stadium provided they do not interfere with other guests’ enjoyment of the event.

Back to Top
VIDEOS BOARDS
The video boards at Qwest Field represent a “one-of-a-kind” approach to sports venue video displays. They were designed, engineered and built to deliver video and graphic images of the highest resolution and clarity to fans. The south video board, measuring approximately 84 feet wide by 24 feet high, will display video in a super landscape format. The North Tower’s board is the first-ever portrait layout, measuring approximately 44 feet wide by nearly 50 feet high.


Fans will have the opportunity to post a Birthday or Anniversary message at each Sounders FC home game. Fans will receive a single screen shot displaying their customized message, and a photo of the message sent to their home within 10 days of the designated game (package cost: $100). Packages are based on availability, and there are only 15 messages available per home game.

We regret that we can’t handle marriage proposal requests. Contact Sounders FC Corporate Partnerships Department at 425-203-8306 for details. Remember that space is limited so please plan ahead.
Back to Top
WILL CALL
Public Will Call windows are located in the northwest corner of the stadium, and will open two hours prior to the event. Press and Player Will Call is located at the southwest corner and will open three hours prior to kickoff of a match.

A picture ID is required for all ticket pick-ups. The credit card used to purchase tickets is also required for Ticketmaster Will Call pick-ups. Will Call locations vary for other Qwest Field and Qwest Field Event Center events. Please call the Qwest Field Box Office at (206) 682-2800 for specific event information

MATCH PREVIEW: MANCHESTER UTD VS SEATTLE SOUNDERS



Wednesday, July 20, 2011

BAADA YA MECHI YA LEO NINGEPENDA NIBADILISHANE JEZI NA LUIS NANI-MRISHO NGASSA



SIKUTAKA KABISA KUMILIKI SIMU HAPA NCHINI MAREKANI ILI NISIWEZE KUPATA STORI ZA NYUMBANI,

TENA NIMEKUWA NIKIWASILIANA KWA NADRA SANA NA FAMILIA YANGU TU .

NAHITAJI MAPUMZIKO NA UMAKINI MKUBWA NA KUWA FOCUSED NA MAANDALIZI YANGU KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU CHA MAJARIBIO...

RAISI JAKAYA MRISHO KIKWETE KUTOA HOTUBA FUPI WAKATI WA MAPUMZIKO KWENYE MCHEZO WA SOUNDERS NA MANCHESTER UTD.






RAISI WA JAMHURI WA MUUNGANO WA TANZANIA MWESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE ATATOA HUTUBA FUPI KELEZEA MAHUSIANO MAZURI YALIYOPO BAINA YA TIMU YA SEATTLE SOUNDERS NA NCHI YA TANZANIA.
PIA KWENYE HOTUBA HIYO YA MWESHIMIWA RAISI ITAKAYORUKA WAKATI WA MAPUMZIKO KWENYE MCHEZO KATI YA SOUNDERS NA MANCHESTER UTD ATAZUNGUMZIA FURSA ZA KIBIASHARA ZILIZOPO NCHINI TANZANIA NA KUWATAKA WAWEKEZAJI KUTOKA SEHEMU MBALI MBALI ULIMWENGUNI HASA JIMBO HILI LA WASHINGTON KUJA KUZISHUHUDUIA FURSA HIZO NA IKWEZEKANA WAJE KUWEKEZA NCHINI.

MWESHIMIWA RAISI PIA AMEUTANGAZA UTALII WA TANZANIA ZIKIWEMO MBUGA ZA WANYAMA ZA SERENGETI,BONDE LA KIHISTORIA LA NGORONGORO PAMOJA NA VISIWA VYA ZANZIBAR.

HOTUBA HIYO YA DAKIKA TATU IATAKAYORUKA KUPITIA KWENYE SCREEN KUBWA PALE UWANJANI,PIA INATARAJI KUONEKANA KATIKA NCHI MBALI MBALI HAPA ULIMWENGUNI ZITAKAZOPATA FURSA YA KUSHUHUDIA MECHI HII.

CORINTHIANS WAJITOA KWENYE USAJILI WA TEVEZ


Jana usiku Corinthians walijitoa katika mbio za kumsajili mshambuliaji wa Kiargentina anayeichezea klabu ya Manchester City Carlos Tevez.
Klabu hiyo ya Brazil ambayo last week walitoa ofa ya £40million na wakaikataa kabla ya juzi kocha wa City Roberto Mancini kusema kuwa wapo tayari kuikubali ofa ya wakatoliki hao, lakini kutokana na dirisha la usajili nchini Brazil kufungwa leo dili hilo limeshindikana.
Taarifa rasmi ya klabu hiyo ilisema: "Bodi ya michezo ya Corinthians imeamua rasmi kutangaza kutokuwezekana kumsaini mshambuliaji Carlos Tevez.Tunatambua juhudi zilizofanywa na Manchester City na watu wote waliohusika na mazungumzo, muda zaidi unahitajika ili kuweza kukamilisha usajili lakini kutokana na dirisha la usajili kutoka nje ya nchi kufungwa Jumatano July 20.
Tunafahamu ndoto walizokuwa nazo mashabiki za kumuona mchezaji huyu akiwa hapa kwa mara nyingine, na sasa tunaangalia mbele huku tukiwa matumaini ya Carlos kuwa nasi katika siku chache mbeleni."



UDINESE WAKUBALIANA NA BARCA JUU YA ADA YA SANCHEZ


Hatimaye klabu ya Udinese imekubaliana Barcelona juu ya ada ya uhamisho wa winga wa kimataifa wa Chile Alexis Sanchez.
Kwa mujibu wa Gino Pozzo, mtoto wa mmiliki wa Udinese ni kwamba Barca ambao wamekuwa wakimfuatilia Sanchez kwa pamoja na Premier league giants Man United, Man City, na Chelsea, lakini Catalan club sasa wamefanikiwa kufunga dili hilo.
Akiongea mara baada ya kuwasili nchini Hispania Gino Pozzo alisema: "Makubaliano na Barcelona juu ya uhamisho wa Sanchez umekamilika.

BREAKING NEWS! SASA NI UHAKIKA MRISHO NGASSA YUPO KWENYE KIKOSI CHA SEATTLE SOUNDERS KITAKACHOCHEZA DHIDI YA MANCHESTER UTD.



MRISHO NGASSA ANATARAJIA KUCHEZA KATI YA DAKIKA 15 NA 30 ZA KIPINDI CHA PILI KWENYE MCHEZO KATI YA TIMU ANAYOFANYA NAYO MAJARIBIO YA SEATTLE SOUNDERS DHIDI YA MAN UTD.
KWENYE KIKOSI CHA SOUNDERS KILICHOTAJWA MUDA SI MREFU ,JINA LA NGASSA LIMO.
KAMUA KAMUA TWENDE NGASSA!

seattle sounders vs man utd



MANCHESTER UTD WAKIJIANDAA KUWAKABILI SEATTLE SOUNDERS HAPO KESHO KWENYE UWANJA WA QWEST FIELDS HAPA SEATTLE.

























































Mrisho Ngassa the only trialist to play vs. Manchester United



There were a handful of new faces at Sounders FC training today, including Federal Way native Kelyn Rowe, who plays collegiately at UCLA.

With Wednesday's friendly looming, I asked coach Sigi Schmid if any non-contract players might get some action against Manchester United.

"The only trialist that we're looking at playing is (Mrisho) Ngassa," he said. "We haven't had a chance to see him yet on a real big field because just of our training schedule and the amount of games that we've had. We haven't done a lot of big-field stuff in between, so it will be good to see him on a big field."

Ngassa is a 22-year-old speedy wing player from Tanzania. He was brought to the Sounders in an effort to strengthen the team's relationship with clubs in East Africa.

"It's a loose affiliation at this point, although we are trying to put something more structured in place," said general manager Adrian Hanauer last week. "It's a relationship that has evolved over the last five years or so. We believe that there is some opportunity in East Africa. We would like to create a link, a pipeline. We are planning to do so with a team called African Lyon in Dar es Salaam. Ngassa happens to come from a different team called Azam, which were willing to work with African Lyon and ourselves in bringing him out for a trial. We are excited about the relationship. We've got work to do to make it more robust, but it's something we think could pay dividends down the line -- two years, three years, five years, 10 years."

Ngassa amtungua Kesey Keller mabao manne.




MRISHO NGASSA AMEMTUNGUA GOLIKIPA KESEY KELLER MABAO MANNE KWENYE MAZOEZI YA KUJIANDAA NA MCHEZO DHIDI YA MAN UTD, KATI YA HAYO MABAO MANNE YA NGASSA ALIYOMFUNGA GOLIKIPA HUYO WA ZAMANI WA TIMU YA TAIFA YA MAREKANI NA VILABU VYA LEICESTER CITY NA TOTENHAM HOTSPURS VYA ENGLAND LILIONYESHWA SANA KWENYE KITUO CHA TELEVISION CHA FOX.

MRISHO NGASSA AKIWA ANAJIANDAA KUIKABILI MANCHESTER UTD HAPO KESHO.