Search This Blog

Wednesday, September 18, 2013

LIVE MATCH CENTRE: YANGA VS PRISONS - SIMBA VS MGAMBO - AZAM FC VSASHANTI




FULLTIME: Yanga 1-1 Prisons - Simba 6-0 Mgambo

DK 89 Yanga 1-1 Prisons

DK 90 Simba 6-0 Mgambo

 SIMBA DK 76 Hamis Tambwe anaipatia Simb bao la 6 kwa mkwaju wa penati.

Dakika ya 77 Prisons Fc wanapata bao la kusawazisha kupitia kwa Peter Michael

 Dakika ya 75, Prisons FC 0 - 1 Young Africans

Dk 64' Chanongo anaipatia Simba bao la 5. 
Coastal Union Coastal Union 1-1 Rhino Rangers.

FT: Ruvu Shooting 1-0 JKT Ruvu. JKT wanaiachia Simba nafasi ta kwanza kwenye ligi.

FT: Azam 1-1 Ashanti United (Kipre Tchetche, Anthony Matangalu)

 87' Azam 1-1 Ashanti United...Dk 50 Simba 4-0 Mgambo
DK 78' Anthony Matangalu anaisawazishia Ashanti United. Azam 1-1 Ashanti Utd 

 Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza, Prisons FC 0 - 1 Young Africans

 Azam 1-0 Ashanti dk 65. Agrey Moris katolewa kwa Kadi nyekundu

Hafl time - Simba 4-0 Mgambo - Yanga 1-0 Prisons

Jerryson Tegete anaipatia Yanga bal la kuongoza.

Tambwe anafunga bao lake la 3 kwenye mchezo huu na lanne kwa Simba

Kagera Sugar 1-1 JKT Oljoro 

 Tambwe anaipatia Simba goli 3-0 Mgambo JKT.

Haroun Chanongo anaipatia Simba bao la pili. Simba 2-0 Mgambo 

Coastal Union ipo nyuma kwa bao 1-0 dhidi Rhino Rangers. Ruvu Shoting 0-1 JKT Ruvu

DK 21' Tanzania Prisons 0-0 Yanga

DK 21' Mtibwa Sugar 0-0 Mbeya City.

 Half Time: Azam 1-0 Ashanti United

DK 17' Simba 1-0 Mgambo JKT 

DK 10' Simba 1-0 Mgambo JKT,

DK 41' Azam 1-0 Ashanti United 

Dakika ya 15, Prisons FC 0 - 0 Young Africans

Mpira ndio umeanza hapa uwanja wa Sokoine jijini Mbeya kati ya wenyeji Prisons FC Vs Young Africans

Simba 1-0 Mambo JKT. Hamisi Tambwe Dk4.

Mchezo wa Simba vs Mgambo umeanza.

Dk 20 Kipre Tetche anafunga bao la kuongoza kwa Azam .

Dakika ya 9 Azam 0-0 Ashanti 

Simba XI Vs Mgambo JKT: A Dhaira,Miraji,I Rashid,K Gilbert,J Owino,J Mkude,Chanongo,H Shindika,A Tambwe,Mombeki,A kiemba 

Mchezo wa Azam vs Ashanti umeanza.

No comments:

Post a Comment