Search This Blog

Wednesday, September 18, 2013

KAMATI YA MAADILI YAWASAFISHA KINA DAUDA NA WENZAKE!

 Picha ya pamoja ya wagombea mara baada ya kuondolewa mashtaka na kamati ya Maadili ya TFF.

Hapo jana usiku  kamati ya maadili ya TFF chini mwenyekiti Mheshimiwa Jaji Jesse Mguto imewaachia huru wagombea wote waliopekekwa kwenye kamati hiyo kutokana na masuala ya kimaadili isipokuwa mgombea Omary Nkwalulo ambaye hakutokea hapo jana na shauri lake litashughulikiwa wakati mwingine.

Wagombea  waliofika jana kwenye ofisi za TFF kwa ajili ya kuhojiwa na kamati hiyo na kuondolewa mashitaka mbali mbali yaliyokuwa yakiwakabili ni, Richard Lukambura,Shaffih Dauda,Wilfred Kidau,Riziki Majala,Mr Tambwe,Omary Abdulkadir na Mr Kilungeja.

No comments:

Post a Comment