Search This Blog

Saturday, June 9, 2012

JE MNAIFAHAMU COASTAL UNION?PATA HISTORIA KAMILI HAPA


Tanga City is the home of Coastal Union Sports Club. Coastal Union has been founded in 1948 after a group of school boys
from different schools along the coastal area especially Tanga Municipality by then, who came from various street
soccer clubs, united and formed one soccer club and named it Coastal Union. Through member’s contribution the club
rented ...a house at street no 11 Ngamiani ward in the then Tanga Municipality and it became the club house. The club was
legally registered in the same year and was officially named Coastal Union Sports Club with its official logo bearing a shield
and fox. As the club progressed it attracted many fans all over Tanga and the first achievement the club got was buying its
own club house situated at the same street no. 11 where it remains the official club house to-date.

Honours: Lifted the NARGIS CUP in 1950 after beating Arab Boys in the final, another Tanga soccer club. Arab
Boys later united with Coastal Union Football Club.

In Tanga there are several soccer clubs but rival to Coastal Union is African Sports Club once a very powerful club but now trades its .
soccer in the lower division. Apart from African Sports, Coastal Union has been challenging major clubs in the country such
as Simba Sports Club, Dar Es Salaam Young Africans Sports Club and Cosmopolitan Football Club.

Coastal Union Sports Club was among one of the top clubs in Tanzania to participate in the first major league in the country in 1961 after the country’s independence. Other top clubs that took part in this first major league are:
1. Dar Es Salam Young Africa (Yanga) of Dar es salaam
2. Sunderland (now Simba Sports Club) of Dar es salaam
3. Cosmopolitan Football Club of Dar es salaam
4. African Sports Football Club of Tanga.

In 1982 Coastal Union Sports Club were runner’s up in the Tanzania Major League but we could not participate in the then Africa Cup Winners Cup due to financial problems on the part of the Football Association of Tanzania.

In 1988 Coastal Union Sports Club was crowned Tanzania Champions and hence got a ticket to participate in two major championships,
1. East and Central Club Championship in Kenya.
Results: We beat Nchanga Rangers of Zambia in the quarter final and went on to beat the Kenya champions, Abaluhya FC in the semifinal 6-5 on penalties but we got beaten by Kenya Breweries in the final.
2. African Club Championship.
Results: We were eliminated in the first round by Costa de Sol of Mozambique.

In 2002 Coastal Union was relegated from the Super League to the lower league. After spending almost 5 seasons in the lower league, Coastal Union Sports Club was promoted to the now Premier League in 2007/08 season. Again it was relegated in the same season. During the 2010/2011 season Coastal Union Sports Club gained promotion again to the premier league where it got a ticket to participate in the 2011/2012 season and managed to finish in fifth position.

The year 1961 saw Coastal Union loosing most of its prominent players to the newly formed soccer team from sugar planting company known Tanzania Planting Company (TPC) of Moshi, Northern Tanzania. This team had a mixture of players from all over East African Region and again US players were the backbone of TPC club and these were:-
1. Mbwana Abushiri (a.k.a Director)
2. Marshed Seif
3. Shariff Salim
4. John Lyimo
5. Khatibu Mtoto
6. Suwed Abdallah
7. Hemed Seif
8. Sembwana Behewa

Despite of losing its top players all being 1st eleven players, Coastal Union was never shaken by this because it still had a cream of players in the likes of:-
1. Habibu Rhemtulah
2. Mohamed Shossi (a.k.a Springet)
3. Mohamed Muslii
4. Awadhi Bafadhil
5. Hassan Mzaramo
who went on to bring more honors to the club by successfully participating in other national competitions and winning the following trophies:-

1. HEALTHO CUP (1957)
2. MWAFRIKA CUP (1958)
3. OFUMA CUP (1976)

We were finalist in the
1 1971 BIMA CUP (a competition organized by The National Insurance Corporation), losing 1-0 to Simba Sports Club.
2 1987 Finalist AICC Cup Arusha (an international competition organized by Arusha International Conference Centre). We lost to Nchanga Rangers of Zambia.

International friendly games.

1979 in Tanga Coastal Union vs Water Corporation FC of Nigeria Results 1-0 (played in Tanga)

Coastal Union was then invited to Nigeria by the Water Corporation Football Club and played 3 friendly games
1. Bendel Insurance vs. Coastal Union Results 4-1 (Bendel were 1979 runner’s up in the Africa Club Championship)
2. Housing Corporation vs Coastal Union 0-1 won
3. Water Corporation 0-0 drew
4. Odo state club 2-1 lost

On our way back we stopped in Ethiopia and played a friendly game against Ethiopia National Team and lost by 2-1.

Invited to Burundi and played one friendly game against
Vitalo FC of Burundi 0-0

For the past 5 decades CUSC has been the core club in providing players to the regional and national team where in competition such as Sunlight Cup (Inter Regional Competition later known as Taifa Cup) Gossage Cup (a competition involving East African countries, later renamed East African Challenge Cup) CUSC players were involved.

Players that were frequently selected to the national team for Sunlight and Gossage cups were:
1. Marshed Seif (Deceased)
2. John Lyhimo ( now team Manager under 20 national team)
3. Sharrif Salim (Deceased)
4. Mbwana Abushiri
5. Sembawana Behewa
6. Hemed Seif

The trend of CUSC providing players to the national team continued with such players
1 Kinanda Zakaria (Deceased)
2 Rashidi Moyo (Deceased)
3 Salim Amiri
4 Zaharan Makame
5 Mbwana Mtoto (Deceased)
6 Jalala Mursal
7 Mohamed Salim
8 Mohamed Makunda (Deceased)
9 Godfrey Nguruko
10 Mohamed Muslii
11 Salim Omar
12 Muhaj Alli
13 Saidi George
14 Ali Maumba
15 Hussein Mwakuluzo
16 Douglas Muhani
17 Mohamed Mwameja
18 Yasini Abuu Napili
19 Razaq Yusuph (a.k.a Careca)
20 Rifatih Saidi (Deceased)
21 Yanga Bwanga
22 Jumbe Makata
23 Mohamed Kampira
24 Juma Mgunda (Current assistant coach of CUSC)
25 Abdallah Saleh (Sabebe)
Other Facts:

1. Founded in 1948
2. Home colours Red and White
3. Nick name: WAGOSI WA KAYA (meaning Home boys)
4. Current club residence: Street no. 11 Ngamiani ward, Tanga City
5. Team’s current coach Juma Mgunda
6. Current captain Said Sued
7. Current Chairman: Hemed Hilal a.k.a Aurora
8. Current league standing 5th position

Passed Chairmen
1 Mzee Mbwana Malau (deseased)
2 Peter Feer (deseased)
3 Hans Leopard (deseased)
4 Mzee Abuu Bakary (deseased)
5 Mzee Mjahidi (deseased)
6 Mzee Abubakar Athuman Chande (deseased)

EURO 2012: UHOLANZI VS DENMARK - SAFU BORA YA USHAMBULIAJI DHIDI YA TIMU ISIYOTABIRIKA.

Netherlands-Denmark

VIKOSI VINAVYOWEZA KUANZA
Uholanzi: 1: Stekelenburg 2: Wiel 3: Bouma 4: Heitinga 5: Vlaar 6: De Jong 7: Robben 8: Van Bommel 9: Van Persie 10: Sneijder 11: Afellay

Denmark: 1: Lindergaard 2: Wass 3: Poulsen 4: Kjear 5: Agger 6: Poulsen 7: Rhommedal 8: Kvist 9: Bendtner 10: Erikssen 11: Kron-Dehli

MAMBO MUHIMU KUHUSU MECHI
  • Kumekuwepo na tetesi kwa wiki kadhaa kuelekea Euro 2012 kuhusu kama meneja wa Uholanzi Bert van Marwijk atawachezesha  washambuliaji  wake wawili Klaas-Jan Huntelaar na Robin van Persie, pamoja kupenda kutumia mfumo wa 4-2-3-1 katika kufuzu, van Persie alikuwa akichezeshwa upande wa kulia lakini amekuwa akicheza pekee yake mbele katika mechi za kirafiki za hivi karibuni ikiwemo mechi waliowafunga Ireland mabao 6-0.
  • Ibrahim Afellay pia alicheza vizuri kwenye mechi hiyo, akifunga bao zuri na akiongeza lingine kwa penati. Anaweza kuanza kwenye mchezo wa leo kama kocha ataamua kutumia mfumo wa kushambulia zaidi, akimuacha Van Marwijk akiwa na machaguo mengi kwenye benchi, huku Huntelaar, van der Vaart na Kuyt pia wakiwa na nafasi ya kuanza.
  • Joris Mathijsen pia ana wasiwasi wa kucheza kwenye mchezo wa ufunguzi kwa majeruhi aliyoyapata wiki iliyopita. 
  • Wilfred Bouma anahangaika kuweza kuimudu nafasi ya beki wa kushoto huku vijana Jetro Willems na Stijn Schaars wakiwa wameonyesha viwango vizuri.
  •   Denmark
  • Denmark hawana majeruhi mpya kwenye kikosi, lakini kuna maswali mengi juu ya nani anapaswa kuanza kwenye kikosi.
  • Chistian Poulsen hakuanza katika mechi dhidi ya Australia wiki iliyopita na Niki Zimling anaweza akaanza tena.
  • Pia kumekuwepo na na wasiwasi kuhusu kiwango cha Christian Eriksen, lakini pia kumekuwepo na waiwasi kidogo juu ya nafasi yake ndani ya kikosi lakini uwezo wake na ubunifu ni kitu ambacho Denmark wanahitaji.
  • Wass na Lars Jacobsen wapo kwenye upinzani wa nafasi ya beki wa kulia.

TAKWIMU
Denmark wameshinda mechi zao 4 za mwisho za Euro Cup.

Uholanzi wamekuwa wakifunga mabao atleast mawili katika mechi 6 kati ya saba za mwisho za kombe la Euro.

Denmark  wamekuwa wakifunga mabao atleast mawili katika mechi 4  za mwisho za kombe la Euro.

EURO PREVIEW: UJERUMANI VS URENO: RONALDO KUWAOKOA URENO DHIDI WAJERUMANI?


VIKOSI VINAVOTARAJIWA KUANZA.
Ujerumani: 1: Neur 2: Boateng 3:Lahm 4: Bedstuber 5: Mertesacker 6: Khedira 7:  8: Schwensteiger            9: Klose 10: Ozil 11: Podolski

Ureno: 1: Patricio 2: Pereira 3: Coentrao 4: Alves 5: Pepe 6: Veloso 7: Moutinho 8: Meireles 9: Postiga 10: Ronaldo 11: Nani




 Germany
  • Per Mertesacker amerudi na yupo fiti baada ya kuumia na kukosa nusu ya msimu akiwa na Arsenal. Anatarajiwa kuanza kwenye mechi ya leo akiunda safu ya ulinzi na Badstuber huku Hummels akisubiri kwenye benchi.
  • Bastian Schweinsteiger hajaichezea Ujerumani katika mechi za kirafiki za hivi karibuni lakini amerudi kwenye kikosi na ataanza kwenye mechi ya leo, ingawa yeye, Kroos na Khedira watakuwa wakipigania nafasi mbili za safu ya kiungo cha kati. 
  • Magoli aliyoyafunga kwenye mechi dhidi Switzerland na Israel yanamuweka Andre Schurrle katika nafasi ya kugombania namba ya kuanza kwenye winga ya kushoto, ingawa Podolski ana nafasi kubwa ya kuanza, huku Klose akitegemea kuanza badala ya Gomez.Goals in the games against Switzerland and Israel have put Andre Schurrle right in contention to start on the left flank, though Podolski is likely to be favoured, with Klose also set to get the nod over Gomez up front
  • Nani ana wasiwasi mkubwa wa kucheza kutokana na majeruhi, amekuwa akifanya mazoezi ya pekee yake tofauti na wenzake
  • Manager Bento atahitaji sana winga huyo wa Manchester United awe fiti kwa kuwa washambuliaji wake wa pembeni ndio silaha yake kubwa baada ya washambuliaji wake wa kati wakiongozwa na Postiga kukosa makali. 
  • Rui itabidi aanze kwenye milingoti mitatu mbele ya Eduardo na kinda Beto, huku akiwa chini ya ulinzi wa mabeki wazoefu Bruno Alves na Pepe.

TAKWIMU
Ujerumani wameshinda mechi 10 za mwisho za Euro Cup

Ujerumani wamefunga atleast magoli matatu katika kila mechi nane za mwisho za Euro Cup.

YANGA WAMEFANYA UHUNI KUMSAJILI KELVIN YONDANI ?

Kanuni za ligi kuu ya Vodacom kama zilivyorekebishwa na kupitishwa tarehe 20 julai 2009  na kusainiwa na Rais wa TFF bwana L.C. Tenga na bwana F. Mwakalebela aliyekuwa Katibu Mkuu zinaeleza kinagaubaga jinsi shuguli za usajili na uhamisho wa wachezaji zinavyobidi kufanywa.

Msimu unapokwisha kanuni ya 49 inaeleza kwamba” klabu itawasilisha TFF kwa maandishi, majina ya wachezaji watakaositisha mikataba yao/ kuwa huru katika usajili wa msimu wa ligi katika muda wa uhamisho utakaotangazwa na TFF na kitalazimika kumpa taarifa ya maandishi/ mchezaji au wachezaji husika”. Kanuni hii inaipa mamlaka klabu kwamba ndiyo yenye kuitaarifu TFF juu ya mchezaji yupi yuko huru na ambaye hayupo huru, Simba Sports Club haijawahi kuiandikia TFF juu ya mchezaji Kelvin Yondani kuwa huru na isingeiambia kwamba yupo huru kwa sababu ana mkataba aliousaini tarehe 23/12/2011 ambao kwa mujibu wa kanuni ya 46 mkataba huo unapashwa kuwasilishwa kwa pamoja na mikataba mingine  kwa ajili ya usajili wa msimu wa 2012/2013 kama kifungu hicho kinavyosema “Kilabu zinatakiwa kukamilisha na kuwasilisha kwa pamoja usajili wa timu zote mbili pamoja na majina na mikataba ya makocha wa timu za wakubwa na vijana katika kipindi cha usajili” Kifungu namba 40 kinaeleza kwamba maombi ya usajili wa mchezaji wa kulipwa lazima yawasilishwe pamoja na nakala ya mkataba wa mchezaji, hivyo wakati wa usajili mkataba wa kuendeleza mkataba uliopita kati ya Simba na Kelvin Yondani ndipo unapopashwa kuwasilishwa ingawa Simba imeuwasilisha mapema ili kulionyesha shirikisho hali halisi inayoendelea.

Pamoja na Simba kutoiandikia TFF kwamba Yondani ni mchezaji huru kwani muda haujafika pia kanuni za TFF na zile za FIFA za Regulation on the Status and Transfer of Players katika article 18 na kanuni za TFF katika kanuni ya 44 ambazo zipo “mutatis mutandis” kwa maana kwamba zimenakiliwa herufi kwa herufi lakini zimetofautiana lugha kwani moja ni kiingereza na nyingine ni Kiswahili inaeleza kwamba “kilabu inayotarajia kuingia mkataba na mchezaji wa kulipwa haina budi kuiarifu klabu yake ya sasa kwa maandishi kabla ya kufanya makubaliano na mchezaji wa kulipwa. Mchezaji wa kulipwa atakuwa huru tu kujingia mkataba na klabu nyingine iwapo mkataba wake na kilabu yake ya sasa umekwisha  au utakwisha baada ya miezi sita. Uvunjaji wowote wa sharti hili utastahili vikwazo vinavyofaa.
Hili pia limeelezewa katika kanuni ya 57 (1) kwamba “Kilabu kinachotaka kumsajili mchezaji aliyesajiliwa na kilabu kingine au mwenye mkataba na kilabu kingine, kitalazimika kuafikiana na kilabu chake kabla ya kumsajili mchezaji huyo”. Sababu kubwa ya kuhimiza mawasiliano baina ya klabu mbili ni kwanza kujua kama mchezaji huyo ana mkataba wa nyongeza na timu husika lakini zaidi ya hayo ni kuhakikisha kwamba mchezaji huyo haathiriwi na mazungumzo ya timu nyingine wakati anatekeleza mkataba uliobaki. Yanga walichofanya ni kumrubuni mchezaji kwa kuongea nae bila kibali cha Simba Sc lakini pia wangeomba kibali Simba Sc ingewaeleza kwamba mchezaji huyu ana mkataba mwingine alioisha usaini. Kwa mujibu wa kanuni za TFF na FIFA kitendo cha Yanga kuongea na mchezaji wa Simba SC bila kuiandikia simba chochote ni kosa kubwa sana ambalo Simba inaishitaki Yanga iadhibiwe kwa kufungiwa usajili wake wote wa mwaka huu na mwaka ujao.
Pamoja na hayo timu haiwezi kumsajili mchezaji ata kama amekuwa huru bila kuwasiliana na klabu yake ya zamani kwani idhinisho la usajili lazima litolewe na klabu yake ya zamani  kama kanuni namba 57 (2) inavyoelekeza hivyo hakuna namna yoyote ambayo Yanga inaweza kumsajili Kelvin Yondani bila Simba kupewa taarifa kwanza. Hili limesisitizwa zaidi katika kanuni ya 45 (6) kwamba “mchezaji ambaye ameingia mkataba wa zaidi ya msimu mmoja hatoruhusiwa kujisajili na klabu kingine kabla ya klabu yake mpya kuafikiana na klabu yake ya zamani” mkataba ulioisha wa Kelvin Yondani ulikuwa ni wa miaka miwili na ulioongezwa ni wa miaka miwili pia.

Mabezo haya yanaitia yanga hatiani kwa pande zote kwani maamuzi ya kama Kelvin ni mchezaji huru yanatolewa na Simba SC kama ikiwasilisha barua TFF juu ya wachezaji ambao wanamaliza mikataba au wanasitisha mikataba. Simba SC haijafanya hivyo kwa sababu muda wake bado, kwa mantiki hiyo yoyote anayetaka kujua mustakabari wa Kelvin inabidi awasiliane na Simba SC na jibu atakalopata ni kwamba Kelvin sio mchezaji huru, ana mkataba na Simba ambao kausaini na kuutia dole gumba (dole gumba lina alama za kipekee za mhusika ambazo hawezi kuzikana kama ilivyo kwa DNA).

Yanga wamefanya uhuni wa kumsajili Kelvin Yondani usiku wa tarehe 6/6/2012 kwa ushahidi uliopo, lakini wanasema mkataba umesainiwa ama October  2011 au February 2012, Simba SC itamshitaki wakili yoyote katika Tanganyika Law Society ambaye atashuhudia mkataba huo kwa kuurudisha tarehe za nyuma na kuomba chama hicho cha mawakili kimsimamishe mhusika  uwakili.

ARSHAVIN AWAONGOZA URUSI KUWAGONGA 4-1 CZECH


Russia 4-1 Czech Republic (Euro 2012 - Group A) by fasthighlights-2012

WENYEJI POLAND WAANZA KWA SULUHU - KIPA WA ARSENAL APIGWA KADI NYEKUNDU


Poland 1-0 Greece (Euro 2012 - Group A) - All... by fasthighlights-2012

Friday, June 8, 2012

goli la siku

Q&A with John Bocco

John Bocco @ SS com



Taifa Stars Striker John Bocco is the hottest property in Tanzanian football.
The 23 year old has been Azam's top scorer since, joining the club in 2007. He managed to score nine goals in his first season (2009/10) in the Tanzania Vodacom Premier League and scored 13 goals in the following term.
Last season he emerged top scorer in the Vodacom Premier League netting 18 times. He is a prolific striker and a top asset for both club and country.

SuperSport.com caught up with the Taifa Stars striker ahead of their world cup qualifier against The Gambia.

SuperSport.com: What was the feeling after finishing the top scorer in the Tanzania Vodacom Premier League?

Bocco: It was the best moment of my career, to become the top scorer in the league. Its a great achievement for a young player like me, who still has a lot of years to play. And I'm aiming to maintain my performances and try to achievement in the future.”

SuperSport.com: How was your trip to Abidjan and the game against Ivory Coast?

Bocco: Our trip was good. The climate in Abidjan is like here in Dar es Salaam. We trained well, we played the game and we lost the game at the end. It was painful to us players, but that's how football is and you have to accept the results as a player.”

SuperSport.com: How was it like to play against World class players like Didier Drogba, Yaya Toure and many others?

Bocco: Its very fortunate for us players who play in local leagues to meet such high rated names face to face. And it gives us courage and comfort, for players like us who want to be like them in the future. It was tough playing against them.

SuperSport.com: How are the training sessions getting through?

Bocco: We have had several training sessions previously, and some in the future - and the players are doing well and responding positively to the coach. And we players have a close relations and united, and really working hard in training focusing on the next game.

SuperSport.com: How do you find your partnership with TP Mazembe striker Mbwana Samatta in the frontline?

Bocco: He is a great player, good lad too. And his contribution in the team is great, its good to have a top performer like him in the team. We are good friends.

SuperSport.com: How do you find Kim Poulsen as the National Team coach?

Bocco: He is a good man, wise too. He has been doing pretty well with us, he teaches well and we players understand him well. I have seen changes in the team since the game against Malawi in terms of what he has been teaching us. There is an improvement in the team. And we keep on working harder and harder.

SuperSport.com: What are your expectations towards the game against Gambia?

Bocco: We expect the game to be tough, but we as players and after losing our first game, we will go out there with full spirit to win the game and turn this round for us.

SuperSport.com: What will be the feeling, when the National team qualifies to the World Cup?

Bocco: It will be a historical moment, it will be unbelievable moment for the players and the country. Because I believe it has never happened for Tanzania. We will work hard, to play in world cup one day.

SuperSport.com: What do you say to the home supporters towards the game against Gambia this weekend?

Bocco: I call on for full support from all Tanzanians, and come cheer us as Supporters not as fans, because when we are out there we represent the whole country, and we do it for the country. Their support will be vital to us, and they will make us fight till the end to get the best results, because football is a game of 90 minutes.


Interviewed by Ricardo Macivic

TETESI HAI: YANGA YAFANYA BALAA LINGINE SIMBA - OKWI KUTUA BONGO KUMALIZANA NAO.

Sekeseke la usajili limeendelea kupamba moto.

Katika kuhakikisha wanaibomoa kabisa safu ya ushambuliaji wa watani wao iliyowafunga kipigo cha aibu cha mabao 5-0 katika mechi ya kufunga msimu uliopita. Klabu ya bingwa ya afrika mashariki na kati, Dar Young Africans inakaribia kumnasa mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda na tegemeo la klabu ya Simba, Emmanuel Okwi.

Taarifa za udaku nilizozipata kutoka ndani ya Yanga ni kwamba timu yao ipo tayari kulipa fedha wanazozitaka Simba ili kuweza kupata huduma za Okwi msimu ujao. Taarifa zinasema kwamba Okwi ambaye kwa sasa yupo nchini Uganda anatarajiwa kutua Tanzania ndani ya kipindi cha masaa 72 kuja kumaliza suala la usajili wake kwenda Yanga ambao inasemekana wamemuhaidi fedha nyngi sana.

EXCLUSIVE: MAXIMO KUTUA JUMANNE KUMALIZANA NA YANGA

Baada ya kufanya vibaya katika msimu uliopita, Yanga wameendelea kuunda timu upya, baada ya juzi kumsainisha Kelvin Yondan, leo hii timu hiyo imehamia kwenye benchi la ufundi.

Taarifa za kuaminika kutoka ndani ya zinasema klabu hiyo imemtumia tiketi ya ndege kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Tanzania, Marcio Maximo kwa ajili ya kuja kufanya mazungumzo ya kujiunga na klabu hiyo kwa ajili ya kuliongoza benchi la ufundi la wanajangwani kuanzia msimu ujao.

"Mpaka sasa tumefanya mazungumzo ya awali na Maximo na tumefikia makubaliano ya kimsingi, ambayo tunaweza kuja kuyakamilisha hapa nchini atakapotua siku ya jumanne wiki ijayo." - kilisema chanzo hicho cha kuaminika.

EXCLUSIVE: NSAJIGWA YUPO KENYA ANAFANYA MAZUNGUMZO NA GOR MAHIA

Siku chache baada ya kutemwa na klabu yake ya Yanga, nahodha wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania Shedrack Nsajigwa sasa yupo nchini Kenya akifanya mazungumzo ya kujiunga na klabu kongwe ya nchi hiyo Gor Mahia.


Taarifa rasmi nilizozipata kutoka nchini Kenya zinasema kwamba Nsajigwa ametua Kenya jana na leo amekutana na viongozi wa klabu ya Gor Mahia na so far mazungumzo yanaenda vizuri na muda wowote wanaweza kufikia makubaliano na Nsajigwa akajiunga na mtanzania mwenzie ambaye walikuwa wakicheza wote Yanga na timu ya Taifa, Ivo Mapunda.

PREVIEW: URUSI VS CZECH - VITA YA WASHIKA BUNDUKI WA LONDON ROSICKY NA ARSHAVIN


VIKOSI VITAKAVYOANZA
RUSSIA: 1: Akinfeev 2: Anyukov 3: Zhirkov 4: Berezoutski 5: Ignashevitch 6: Denisov 7:Zyryanov     8: Dzagoev 9: Kerzhakov 10 Arshavin 11: Shirokov


CZECH REPUBLIC - 1: Cech 2: Selassie 3: Kadiec 4:Sivok 5: Hubnik 6: Piasil 7: Petrzela 8: Hubschman 9: Baros 10: Rosicky 11: Rezek

MAMBO MUHIMU KUHUSU TIMU
  • Mchezaji wa Sporting Lisbon Marat Izmailov ndio mchezaji pekee aliyekuwa akihofiwa juu ya ufiti wake kuelekea kwenye michuano hii lakini sasa amerudi kwenye hali yake ya kawaida kwenye mazoezi pamoja na Alan Dzagoev, nchini ya nahodha Arshavin.
  • Safu pekee ambayo itakuwa na upinzani ni kwenye goli, Akinfeev atakuwa akipambana na Malafeev.
  • Czech watakuwa na nafuu kwamba mchezeshaji wao Tomas Rosicky amepona kutoka kwenye majeruhi na huku akiwekwa kwenye kikosi kitakachoshiriki kwenye michuano hii na anaweza kucheza nyuma ya mshambuliaji wa kati akama ambavyo katika nusu ya msimu alipokuwa Arsenal.
  • Striker Milan Baros, ambaye japokuwa ana tatizo la misuli na alifanyiwa vipimo juzi jumatano ili kupata uhakika wa ufiti wake, na kama hatokuwa fiti basi Necid na Pekhart watakuwa wanaisubiri nafasi yake.
  • Wachezaji wengine muhimu watawahusisha wachezaji wazoefu kama vile Peter Cech, Kadlec na Plasil.
 TAKWIMU
Russia hawajaruhusu wavu wao kuguswa mara sita kwenye mechi 7 za Euro zilizopita.

Czech Republic wameshinda mechi zao 3 za mwisho kwenye Euro.

Russia hawajafungwa katika mechi zao za mwisho za Euro.


UTABIRI
Russia wataenda kwenye mechi za group ambalo linatajwa kama dhaifu kabisa kwenye michuano kama timu inayopewa nafasi ya zaidi kwenye kundi hilo, ingawa kila mchezo wa kundi hili utakuwa mgumu.

Timu mbili zote zina uzoefu kwenye hatua hii, na makocha wote watakuwa wakiwategemea viungo wao wachezeshaji kusogeza mashambulizi mbele kwenye mechi hii.

UTABIRI:  RUSSIA 2-1 CZECH REPUBLIC

PREVIEW: POLAND VS UGIRIKI - SAFU BORA YA USHAMBULIAJI DHIDI YA UKUTA WA CHUMA


 VIKOSI AMBAVYO VINAWEZA KUANZA LEO
Poland - 1: Szczesny, 2: Boesnisch, 3: Wasilewski/, 4: Perquis,                    5: Murawski/ , 6: Polanski, 7: Piszcek 8:Perquis                       9: Lewandowski 10:Blaszczykowski 11: Rybus
Ugiriki - 1: Chalkias 2: Torosidis 3: Holebas 4: Pepadopoulos                   5: Papastathopoulos 6:Katsourania 7: Maniatis                    8: Karagounis 9: Salpingidis 10:Ninis 11: Samaras


 MAMBO MUHIMU KUHUSU POLAND VS UGIRIKI

  Poland
  • Poland hawana majeruhi kuelekea mchezo huu wa leo wa ufunguzi na wanategemewa kufanya vizuri katika michuano hii mbele ya mashabiki wao.
  • Mshambuliaji wao tegemeo Robert Lewandowski ataongoza mashambulizi, huku akitoa tishio la kufunga magoli baada ya kuwa na msimu mzuri kwenye ligi ya Bundesiliga na Dortmund akisadiana na mshambuliaji mwingine aliyetisha kwenye ligi ya Ufaransa Ludovic Obraniak.
  • Lukasz Piszczek alikuwa ndio beki wa kulia aliyekuwa na takwimu nzuri kwenye ligi kubwa 5 barani ulaya, akifunga mabao 4 na kutoa assists 7 kwenye Bundesliga.
  • Kutakuwa na upinzani mkubwa katika nafasi ya beki wa kati Kyriakos na Avraam. Kyriakos na advantage ya umri mdogo na amekuwa na msimu mzuri na Schalke mwaka huu. Pia alifunga goli la ushindi katika mechi ya kirafiki dhidi ya Armenia.
  • Tatizo kubwa kwa Ugiriki katika wiki kadhaa za nyuma ni kuwa na safu mbovu ya ushambuliaji, katika mechi za kirafiki hivi karibuni walifunga magoli mawili tu, huku magoli yote yakifungwa na mabeki, Hiki ni kitu ambacho inabidi wakirekebishe ikiwa wanataka kuvuka kwenye hatua ya makundi na kuendelea mbele.
  • Pamoja na kuwa na safu mbovu ya ushambuliaji, safu yao ya ulinzi hairuhusu magoli mengi na kwa hakika wapinzani watapata shida kugusa nyavu zao. Wakati waliposhinda kombe hili mwaka 2004, timu yao ilikuwa na ukuta mgumu kuliko na naamini mambo yatakuwa vilievile msimu huu.
  •  
  • FACTS KUHUSU HII MECHI
  • Ugiriki wameshinda mechi 7 kati ya 8 zilizopita kwenye Euro Cup.

    Poland wamepata clean sheet safi kwenye mechi 3 zilizopita dhidi ya Ugiriki  katika mashindano yote.

    Kumekuwepo na wastani wa magoli chini ya 2.5 katika mechi zilizozikutanisha timu hizi.

     

KULWA NA DOTO MAMA YAO NI MMOJA!





Kikubwa zaidi ninachojaribu kukiangalia ni jinsi ambavyo viongozi wa vilabu vya SIMBA na YANGA wasivyopenda kufuata taratibu na kanuni zilizowekwa, mwenyekiti wa SIMBA ameongelea kwa jazba kubwa sakata la beki wa timu yake Kelvin Yondani kusajiliwa na Yanga, si ajabu kesho tu tukasikia viongozi wa YANGA nao wakilijibu hili kwa mbwembwe.

 

Lakini mwisho wa siku ni lazima tukubali kuwa viongozi wote hawa wa simba na yanga wana mapungufu makubwa sana katika utendaji wao wa Kazi, na namna wanavyoendesha vilabu vyao na mpira wa Tanzania kwa ujumla.

Viongozi hawa wa SIMBA na YANGA Wamekuwa wakifanya mambo mengi sana ya ajabu ajabu. SIMBA na YANGA ni vilabu ambavyo vinatakiwa kuwa mfano wa kuigwa na vilabu vingine vidogo hapa nchini.
Lakini kwa mambo ambayo yamekuwa yakifanyika ndani ya vilabu hivi vikubwa ni ya ajabu sana na ya kusikitisha mno.

Kwa sakata hili la KELVIN YONDANI kumekuwepo na watu ambao wamekuwa wakijaribu kumshutumu mchezaji huyo, lakini mimi binafsi siwezi kumshutumu hata kidogo kwanza, hatujui wakati anasainishwa mkataba na Yanga alikuwa katika mazingira gani labda alitekwa na kulazimishwa,

Pili, labda aliamua tu kusajili huku akisema liwalo na liwe hao Simba wenyewe wamenisainisha mkataba kwa 'mkopo' wakati Yanga wamekuja mezani na mipesa yote hii.
Tatu, kusukumwa na hisia za kukumbuka manyanyaso yasiyoisha ya kushutumiwa kufungisha, mara ugomvi na baadhi ya viongozi Simba.Nne, kutokutambua umuhimu na kuuheshimu mkataba wake na Simba.
Kwa nchi za wenzetu zilizoendelea kitendo cha mchezaji kusaini mkataba ni kitu muhimu mno, lakini huku kwetu umuhimu na thamani ya mkataba hujulikana wakati wa matatizo hasa pale tu mchezaji anapotaka kuondoka na kwenda kujiunga na klabu nyingine.

Mimi nina uhakika wa zaidi ya asilimia mia moja kwamba hakuna mchezaji anayechukua mkataba na kuusoma, kuuelewa vipengele vilivyomo kabla ya kuusaini.


Ninachojua ni kwamba mchezaji huwa anaangalia napata kiasi gani…nazungumza hili kwasababu nina uhakika nalo na lilishawahi kunitokea wakati nacheza mpira, wakishakubaliana anaonyeshwa pakuweka saini na dole gumba kisha anachukua mzigo wake na kusepa.

Ndio maana wenzetu huwa wanawatanguliza wawakilishi, mchezaji anapokwenda kusaini mkataba ni lazima kuwa na meneja/wakala ama mwanasheria wake, lakini hapa kwetu Tanzania ni kinyume kabisa,wachezaji wenyewe hata darasa la saba hawajamaliza halafu anaenda kusaini mkataba tena wa kisheria tena ulioandikwa kwa lugha ya kiingereza, je ana uwezo wa kuelewa? au tunadanganyana tu na kupotezeana muda.

Professionalism inatakiwa kuanzia kwa viongozi wa vilabu kabla ya wachezaji, kwa maana viongozi wanatakiwa kusimamia sheria kama zilivyo, lakini cha kustaajabisha viongozi hao hao wa vilabu ndio wanakuwa vinara kwa kupindisha sheria hizo na kushindwa kwenda nazo sambamba.

Hivyo inapotokea ishu kama hii ya leo pasipo kufuata uweledi ndipo mmoja anaonekana kuonewa au kwenda against na mwenzake lakini kumbe wote wana makosa makubwa.


Ina maana hawa viongozi wanaowasainisha hiyo mikataba ya kisheria hao wachezaji hawajui kama hawana elimu ya kutosha ya kuisoma na kuielewa hiyo mikataba jamani hii lugha ya kiingereza inayotumika kwenye hii mikataba (mimi mwenyewe inaniacha ) ni mchezaji gani wa kitanzania mwenye uwezo wa kuisoma na kuielewa kabla ya kusaini na kuweka dole gumba? kama kweli hawa viongozi wanawatakia mema hawa wachezaji kwanini hiyo mikataba isiwekwe kwenye lugha ya Kiswahili angalau wanaweza kuambulia kitu. ( au kisheria ni lazima mkataba uwe kwenye lugha ya kiingereza ?)
Ishu kama hii ya YONDANI bila kuhangaika sana ebu tuangalie KANUNI ZA USAJILI zinasemaje


Kanuni ya 57
Uhamisho wa mchezaji

(1) Kilabu inaweza kumhamisha mchezaji kutoka kilabu kimoja hadi kingine, kwa madhumuni ya kumsajili, baada ya ligi kumalizika, au katika kipindi cha usajili wa katikati ya msimu. Kilabu inayotaka kumsajili mchezaji aliyesajiliwa na kilabu kingine au mwenye mkataba na kilabu kingine, italazimika kuafikiana na kilabu yake kabla ya kumsajili mchezaji huyo. Hata hivyo kilabu ambayo itaruhusiwa kusajili mchezaji katikati ya msimu ni ile ambayo haijatimiza wachezaji thelathini (30) au ile ambayo imempa mchezaji wake ITC ya kwenda kucheza soka nje ya nchi, au ile ambayo mchezaji wake amehamia kilabu kingine cha ndani kwa mujibu wa kanuni hii.

Kanuni ya 45
Usajili na uhamisho wa wachezaji

(4) Mchezaji ana uhuru wa kujisajili na kilabu kingine katika msimu mmoja iwapo kutakuwa na maelewano kati ya kilabu yake na ile inayotaka kumsajili.
(5) Kilabu inawajibika kuingia mkataba na mchezaji wa kuichezea lakini mkataba huo ni lazima uthibitishwe na TFF. Ada ya kuthibitisha mkataba ni shilingi elfu hamsini (50,000/=).

(6) Mchezaji ambaye ameingia mkataba wa zaidi ya msimu mmoja hatoruhusiwa kujisajili na kilabu kingine kabla ya kilabu yake mpya kuafikiana na kilabu yake ya zamani.

Kanuni ya 56
Katazo

Haitaruhusiwa kwa mchezaji yeyote kutia saini kwenye mikataba wa vilabu viwili tofauti kwa wakati mmoja na inayohusu kipindi kimoja. Mchezaji atakayesaini mikataba ya timu mbili tofauti kwa wakati mmoja, ataadhibiwa kwa mujibu wa kanuni ya 44 (4) ya kanuni hizi.
Kutokana na vipengele hivyo hapo juu hakuna mchezaji ambaye anaweza kuhama timu moja kwenda timu nyingine kihuni huni tu pasipo kufuata kanuni na taratibu.

Sakata la Simba na Azam juu ya usajili wa Ibrahim Jeba.
Lazima tusiwe wanafiki, waswalihi wanasema mkuki kwa nguruwe ila kwa binadamu mchungu, wakati tukiwa tunalijadili sakata hili la Yondani si vibaya pia tukaliwe mezani sakata linalomuhusu mchezaji Ibrahim Jeba aliyesajiliwa na Simba Kutoka Azam pasipo taratibu kufuatwa.


Kanuni ya 44
Masharti ya mikataba kati ya wachezaji na kilabu
(1) Muda wa chini wa mkataba utakuwa kuanzia tarehe ya kuanza kutumika hadi mwisho wa msimu. Muda wa juu wa mkataba utakuwa ni kipindi cha miaka mitano (5). Mikataba ya muda mwingine wowote itakubaliwa kama inafuata Sheria ya Mikataba inavyosema. Mchezaji chini ya umri wa miaka 18 haruhusiwi kuingia kwenye mkataba wa mchezaji wa kulipwa kwa kipindi kinachozidi miaka mitatu (3), sharti lolote linalotaja kipindi kirefu zaidi halitatambuliwa.

(2) Kilabu inayotarajia kuingia mkataba na mchezaji wa kulipwa haina budi kuiarifu kilabu yake ya sasa kwa maandishi kabla ya kufanya makubaliano na mchezaji huyo wa kulipwa. Mchezaji wa kulipwa atakuwa huru tu kuingia mkataba na kilabu nyingine iwapo mkataba wake na kilabu yake ya sasa umekwisha au utakwisha baada ya miezi sita (6). Uvunjaji wowote wa sharti hili utastahili vikwazo vinavyofaa.

Niliposema viongozi wote hasa wa vilabu vya SIMBA na YANGA ndo wenye matatizo makubwa nilikua namaanisha vitendo kama hivi.
Kufanya mazungumzo ya siri na mchezaji pasipo kupata ruhusa ya klabu yake ni kosa kubwa ambalo hata FIFA wanalipiga vita. 

Ina maana Kulwa na Doto hawazijui hizi taratibu na kanuni za kusajili mchezaji ?


Thursday, June 7, 2012

Euro 2012: UBAO WA TAKWIMU ZA WACHEZAJI!

Euro 2012 Focus: Player Stats Leaderboards
Euro 2012 Focus: Player Stats Leaderboards
Euro 2012 Focus: Player Stats Leaderboards
Euro 2012 Focus: Player Stats Leaderboards
Euro 2012 Focus: Player Stats Leaderboards

TETESI : JUMA NYOSO HUYOO YANGA

TAARIFA NILIZOZIPATA HIVI PUNDE BEKI WA SIMBA JUMA NYOSSO MUDA WOWOTE KUANZIA HIVI SASA HUENDA NAYE AKASINI KWA AJILI YA KUJIUNGA NA YANGA.
TAARIFA NILIZOZIPATA KUTOKA KWENYE CHANZO CHA KUAMINIKA KIKOSI KAZI CHA YANGA TAYARI KIPO KWENYE KAMBI YA TIMU YA TAIFA KWA AJILI YA KUMALIZANA NA BEKI HUYO .

EURO 2012: ITALIA NA SAFU YA USHAMBULIAJI YA WENDAWAZIMU CASSANO NA BALOTELLI.

Maneno ya Cesare Prandelli alipomrithi Marcello Lippi kama kocha wa timu ya taifa baada ya kombe la dunia mwaka 2010 ni kwamba ataifanya Azzuri ivutiwa kwa kucheza soka zuri la kushambulia. Kwa hakika amejitahidi sana huku akitambulisha utaratibu wa 'ethical code' (wachezaji wanaokuwa wamesimamishwa kwa makosa ya kinidhamu hawatoitwa timu ya taifa) na kusisitiza katika kuwapa nafasi zaidi viungo wenye ufundi zaidi katika timu yake. Wazo ni kuifanya Italia kucheza kwa staili yake ya mfumo wa tiki-taka, staili inayopendelewa zaidi na Wahispania.

Akiuacha mfumo wa siku nyingi wa kujenga ukuta wa chuma na kucheza kwa mashambulizi ya kushtukiza kwa ajili ya mfumo ambao unatumia na Spain, ambao mpaka sasa umeleta matokeo ya mchanganyiko. italy haikufungwa hata mechi moja kwenye hatua ya kufuzu, lakini wamekuwa wakifungwa kwenye mechi za kirafiki. Skendo ya upangaji wa matokeo ambayo inaliandama soka la nchi hiyo kwa miaka mingi sasa, haitegemewi kuwa na madhara makubwa sasa hivi kuliko ilivyokuwa katika miaka 1982 na 2006, sababu kubwa ni kwa kuwa ni wachezaji wachache wa kikosi cha sasa wameguswa na kashfa hiyo, lakini suala hilo bado linabakia kuwa sio zuri kwa wachezaji.

Droo ya group C haikuwa nzuri kwa Italy, lakini atleast mechi yao dhidi ya Spain itakuwa ya kwanza. Na kupata pointi kutoka kwenye mechi hiyo ni jambo ambalo linawezekana, kwa kuangalia Spain huwa na kawaida ya kuanza vibaya michuano mikubwa, ukiangalia kombe la dunia lilopita walipofungwa na Uswis katika mechi ya kwanza makundi. Baada ya mechi hiyo atleast kidogo mambo yanaweza kuwa mazuri dhidi ya Croatia na Ireland.

WACHEZAJI MUHIMU

Gianluigi Buffon
Nahodha amerudi kwenye kiwango chake baada ya majeruhi yaliyomkumba msimu wa  2010-11. Ukifikiria namna safu ya ulinzi ilivyokuwa dhaifu, Azzuri wanahitaji kuwa na Buffon mwenye kiwango cha juu ili kuepeuka balaa. Ni uchizi sasa kufikiri kwamba safu ya ulinzi ambayo siku zote imekuwa ndio nguzo ya timu ya taifa ya Italia, sasa hivi ndio ulipo udhaifu wao, lakini hapa ndipo tulipo, na sasa tumaini lote lipo kwa Buffon na mikono pamoja na miguu yake kutatua hilo tatizo.


Mario Balotelli
Mario Balotelli alisema hatoshangilia goli mpaka atakapofunga goli la ushindi kwenye world cup au Euro, hivyo hii ndio nafasi pekee kumuona Super Mario akicheza kwa furaha baada ya kutupia kambani. Tuache utani, huu ni muda wake kuweza kuonyesha kwanini makocha wamuamini na kumpa nafasi. Balotelli ana nguvu, ujuzi na kimo kizuri, Anachohitaji ni kutulia na kutumia vizuri nafasi atakazopata huku akijiepusha na suala la nidhamu mbovu. Akifanikiwa kwenye hayo atatisha.


Daniele De Rossi
Katika kiungo ambacho kimejaa wapiga pasi mafundi zaidi, De Rossi ndio kiumbe anayetegemewa kusambaza minguvu yake. Shujaa huyu wa Roma ndio sasa anaelekea kwenye kilele chake, akiwa ameshaji-commit kwenye klabu yake, sasa yupo huru kufikiria timu ya taifa tu. Atakuwa na shughuli ngumu katika kupambana na kuizuia safu ya ulizni wa timu ambayo ni dhaifu kutoguswa

 JE SAFU YA USHAMBULIAJI YA MACHIZI ITAFANYA VIZURI?
Mara tu Giueseppe Rossi alipoumia, mikono ya Prandelli ilikuwa imefungwa. Akawa hana chaguo lingine zaidi ya kuwatumia Balotelli na Antonio Cassano. Hii haihusu suala la uwezo  - -wachezaji wote wawili wana vipaji vikubwa tataizo ni nidhamu: wote wawili wana matukio mengi ambayo yanahusu ukosefu wa nidhamu na tabia nyingine tofauti,ndani na nje ya uwanja. Hivyo hilo ni tatizo ambalo Prandelli inabidi alitafutie suluhisho.

HUU NDO MKATABA WA KELVIN YONDANI NA SIMBA SC.


COPA COCA-COLA TAIFA KUANZA KUTIMUA VUMBI JUNI 24

Michuano ya Copa Coca-Cola ngazi ya Taifa inaanza kutimua vumbi Juni 24 mwaka huu kwenye mikoa ya Dar es Salaam na Pwani huku pambano la ufunguzi likiwa kati ya Kigoma na Lindi litakalofanyika kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, Dar es Salaam.

Upangaji ratiba (draw) umefanyika leo (Juni 7 mwaka huu) kwenye ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na kushuhudiwa na waandishi wa habari, makocha wa timu za mikoa za Copa Coca-Cola na wadhamini kampuni ya vinywaji baridi ya Coca-Cola.

Makocha 35 wa timu za Copa Coca-Cola kutoka mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani wako kwenye kozi ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) inayoendeshwa na wakufunzi Ulric Mathiot wa FIFA kutoka Seychelles na wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Sunday Kayuni wa Tanzania.

Mikoa 28 ya kimpira ya Tanzania itashiriki katika mashindano hayo na imegawanywa katika makundi manne ya timu saba saba. Baadaye timu zitapambana katika hatua ya robo fainali, nusu fainali na fainali itakayofanyika Julai 15 mwaka huu.

Kundi A lina timu za Arusha, Ilala, Kigoma, Kusini Pemba, Lindi, Rukwa na Ruvuma. Kundi B ni Iringa, Kaskazini Pemba, Manyara, Mjini Magharibi, Morogoro, Mwanza na Tanga. Dodoma, Kaskazini Unguja, Kinondoni, Mara, Mbeya, Mtwara na Temeke ziko kundi C wakati kundi D ni Kagera, Kilimanjaro, Kusini Unguja, Pwani, Shinyanga, Singida na Tabora.

Viwanja vitakavyotumika katika mashindano hayo ambapo mechi zitakuwa zikichezwa asubuhi (saa 2.30) na jioni (saa 10.00) ni Uwanja wa Karume na Tanganyika Packers (Kawe) kwa Dar es Salaam. Viwanja vya Mkoa wa Pwani ni Tamco na Nyumbu. Timu zote katika mashindano hayo zitacheza katika viwanja hivyo.

Mbali ya Kigoma na Lindi, mechi nyingine za ufunguzi Juni 24 mwaka huu ni kundi B Morogoro na Manyara (saa 2.30 asubuhi Uwanja wa Kawe), kundi C ni Temeke na Kinondoni (saa 2.30 asubuhi Uwanja wa Nyumbu) na kundi D ni Kilimanjaro na Kusini Unguja (saa 2.30 asubuhi Uwanja wa Tamco).

Wachezaji wanaotakiwa kushiriki kwenye michuano hiyo ya umri chini ya miaka 17 ni wale waliozaliwa kuanzia Januari 1, 1996.

SAKATA HILI LA YONDANI KWA UPANDE MWINGINE LIMECHANGIWA NA SERA MBOVU YA USAJILI YA SIMBA!

Sakata la usajili wa Kelvin Yondani limetokea kuteka hisia za wengi katika kipindi cha masaa 48. Taarifa ambazo zimetapakaa kwenye vyombo ya habari zinasema kuwa Dar es salaam Young Africans imekamilisha usajili wa Yondani huku nakala ya mkataba wake alioingia na klabu hiyo ukionyesha kuwa amesaini kuichezea Yanga kwa miaka miwili huku akitia kibindoni kiasi cha Milioni 30 huku mshahara wake ukiwa laki nane kwa mwezi.
Upande wa pili wa sinema hii ambao ni klabu anayodaiwa kutoka Yondani ya Simba Sports unadai kuwa Yondani aliongeza mkataba wake wa awali na klabu hiyo kabla hata ya mwisho wa msimu huu uliopita.
Kikubwa kinachonitatiza ni sera ya usajili ya klabu ya Simba ambayo ndio hasa mjadala mkuu kwenye makala haya.
Tukirudi nyuma msimu uliopita Simba ilitangaza kumuacha beki wake wa kati Meshack Abel . Ukiangalia takwimu za michezo ya Simba kwa kipindi cha miaka miwili iliopita utagundua kuwa moja ya matatizo sugu imekuwa safu ya ulinzi, hata hivyo Meshack Abel ni mmoja ya mabeki wa kati shupavu ambao hata kwenye timu ya taifa wamekuwepo kwa kipindi kirefu. Baada ya kumuacha Abel simba iliwasajili Obadia Mungusa na Victor Costa. Hiki ni kipindi ambacho Kevin Yondani alikuwa froze out of the team (inasemekana alikuwa na beef na mmoja wa viongozi).  Smba pia kwa sababu zisizojulikana iliamua pia kumuacha beki wa pembeni kulia Haruna Shamte wakati ambapo alikuwa anachipukia na tayari alikuwa ameanza kuitwa kwenye timu ya taifa  pamoja na kuwa mdogo kiumri.
Mbdala wa Shamte alikuwa beki wa zamani Nasor Masoud Cholo aliyerudishwa toka JKT Oljoro na Shomari Kapombe ambaye awali alisajiliwa kama kiungo ilia ni uwezo wake au versatility yake ambayo imeshuhudia akirudishwa nyuma kucheza wakati mwingine kama beki wa kati na pembeni.
Tetesi ambazo tunazisikia sasa ni kwamba ,Juma Jabu,Obadia Mungusa na Victor Costa wameachwa huku Juma Nyoso naye akiwa mbioni kuachwa na sababu tunayoambiwa ni kwamba amekuwa akiigharimu timu mara kwa mara. Tubaki hapa kwa Nyoso kwanza , huyu ni mmoja wa wachezaji waliotokea kuwa kipenzi cha mashabiki wa Simba kutokana na umahiri kwenye eneo lake na hata ukiangalia kwenye timu ya taifa Nyoso amekuwa akiitwa mara kwa mara hali inayoonyesha kuthaminiwa kwa mchango wake , nyoso pia ni mmoja wa wachezaji ambao wameiwakilisha  Simba kwenye michezo karibu yote kwenye ligi na kimataifa . Nyoso pia ni nahodha wa tatu Simba baada ya Kaseja na Boban. Swali la kijiuliza ni je mchezaji huyu ambaye ametokea kuwa senior player Simba anastahili kutupiwa virago kweli? Eti wanasema kuwa anaigharimu timu kwa kadi nyekundu. ntakurudisha nyuma unakumbuka wakati Fernando Torres anacheza Liverpool,kuna wakati kwenye michezo mitano mfululizo ya United na Liverpool Torres alikuwa anafunga kwa kumpita Nemanja Vidic na zaidi ya hapo Vidic amewahi kuonyeshwa kadi nyekundu katika michezo mitatu mfululizo dhidi ya Liverpool,United ilimfukuza? Jibu ni hapana , kwa hali ya kawaida mwanadamu huwa anapima mema na mabaya au faida na hasara yaani profit vs losses kwa kufanya uwiano , Simba imetwaa ubingwa msimu huu hivyo kwa uwiano halisi tu kadi nyekundu kwa nyoso hata zingekuwa kumi bado sio sababu kwa kuwa Simba imemaliza kwa kutwaa taji.
Turudi kwa mtazamo wa jumla ,kuanzia kwa Meshack Abel,Costa,Jabu,Obadiah,Nyoso ,Haruna na Shamte labda na hili la Yondani,. Kuachwa kwa wote hawa kunamaanisha kuwa Simba inapoteza zaidi ya asilimia 70 ya backline yake baada ya kuwa imetwaa ubingwa na kumaliza nafasi ya pili msimu uliopita tena huku ikiwa sawa na timu iliyotwaa ubingwa ,je hii ni sera nzuri ya usajili ambayo inafanya kazi hapa ???
Tukiachana na hayo huku na kule kuna tetesi kuwa Salum Machaku anapelekwa timu nyingine kwa mkopo. Machaku amesajiliwa msimu uliopita toka Mtibwa. Amecheza Simba msimu mmoja ambao Simba imetwaa ubingwa huku ikifika hatua ya mbali kwenye michuano ya kimataifa . Of course tatizo la machaku limekuwa kushuka na kupanda kwa kiwango pasipo kuwa na muendelezo yaani consistency,lakini tusisahau kuwa huu ni msimu wake wa kwanza , ni vigumu kwa mchezaji ku-settle kwenye msimu wa kwanza ,kwanini amehukumiwa na kuonekana hapaswi kupewa nafasi ya pili ya kujidhatiti kwenye Timu.
Majibu ya maswali yote haya ni rahisi sana, Simba haina sera nzuri ya usajili,maamuzi ya kusajili na kuacha wachezaji yanafanyika kiholela holela sana , hata hili la Yondani ukichunguza kwa ukaribu chanzo ni Simba wenyewe , Yondani alikuwa nje ya timu kwa muda mrefu , taarifa zinasema kuwa klabu ilikuwa haimlipi mshahara , Yanga walionyesha interest ya kumsajili siku nyingi , kilichokuwa kinambana ni mkataba lakini alikuwa frustrated sana na ndio maana akasaini yanga baada ya kuonyeshwa fedha ambazo hakuwa amepewa na Simba . Ukiritimba kama huu ndio unaendelea kulihikumu soka la Tanzania na kwa mtaji huu maendeleo tutayasikia kwa wenzetu kina Mariga, Oliech na Obua.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

   SIMBA SPORTS CLUB           
P.O.BOX 15318 | TEL+255 222183330 |FAX +255 222183330 |MSIMBAZI/MCHIKICHI STREET | DAR ES SALAAM | TANZANIA | EMAIL   simbasportsclub@yahoo.com|WEBSITE www.simba.co.tz| AFFILIATED TO TFF, DRFA and IDFA

                                
Simba Sports club imesikitishwa na kitendo cha Young Africans kuvunja taratibu za usajili kwa kumrubuni mchezaji wake Kelvin Patrick Yondani  kwa kuzungumza naye na baadae kwa ushahidi wa picha kuonekana wakimuandikisha makaratasi ambayo baadae imeripotiwa na vyombo vya Habari kwamba alikuwa akisaini mkataba wa kuichezea timu hiyo ya Young Africans.

Kwamba katika picha hiyo ameonekana mjumbe wa Young aliyejiuzuru bwana Seif Ahmed na hilo lilitoa shaka kama utaratibu huo umefanywa na klabu ya Young, lakini shaka hiyo imeondolewa pale ambapo tovuti ya Young imetangaza kumsajili mchezaji huyo wa Simba SC, lakini zaidi ya hilo picha inaonyesha fedha zikiwa zimewekwa mbele ya mchezaji jambo linaloonyesha mazingira ya kurubuniwa kwani kwa utaratibu wa kifedha, pesa nyingi kiasi hicho malipo yake yanashauriwa/yanapashwa kupitia benki.

Mbali ya hayo picha hiyo inamuonyesha Kelvin akiwa katika jezi ya mazoezi ya timu ya Taifa na yenye logo ya Kilimanjaro na kumbukumbu zinaonyesha mkataba kati ya TBL na TFF tarehe 9/5/2012, kwa haraka haraka tukio hilo limefanyika katika kipindi chini ya mwezi mmoja ingawa taarifa za ushahidi zinaonyesha tukio hilo limetokea jana tarehe 6/6/2012.
Simba Sports Club ilipenda kuamini kwamba tukio hilo haliihusu klabu ya Young kwani bwana Seif Ahmed alishajiuzuru kutoka kwenye kamati ya Young Africans, kwani Young ni klabu kongwe na inayojua taratibu zote za usajili.
Kwamba Simba Sports Club imeshawasiliana na jopo lake la mawakili na inajiandaa kuishtaki klabu ya Young katika chombo husika cha mpira na kudai adhabu ya kutopitisha majina yote ya usajili ya Young kwa mwaka 2012/2013 na miaka mingine miwili ijayo na Simba SC ipo tiyari kufuatilia suala hili hadi katika mahakama ya mpira ya FIFA.
Kelvin Yondani ni mchezaji halali wa Simba Sc aliye na mkataba hadi 31 mei 2014 mkataba ulioongezwa tarehe 23/12/2011 kuundeleza mkataba wa awali uliokuwa unaisha tarehe 31/5/2012. Sheria za FIFA za hadhi na uhamisho wa wachezaji ziko wazi  katika kipengele cha 5 kifungu kidogo cha 2 kinasema kwamba mchezaji atasajiliwa kuichezea timu moja tu kwa wakati mmoja.

Imetolewa leo tarehe 7/6/2012.

MH. ISMAIL ADEN RAGE (MB)
MWENYEKITI
SIMBA SPORTS CLUB

TAARIFA KUTOKA TFF!

WAZIMBABWE KUCHEZESHA TAIFA STARS, GAMBIA
Waamuzi kutoka Zimbabwe ndiyo watakaochezesha mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia hatua ya makundi Kanda ya Afrika kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Gambia itakayochezwa Juni 10 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) mwamuzi wa kati atakuwa Ruzive Ruzive. Waamuzi wasaidizi ni Salani Ncube na Edgar Rumeck wakati mwamuzi wa akiba ni Norman Matemera.

Kamishna wa mechi hiyo itakayoanza saa 10 kamili jioni ni Fanie Wallace Mabuza kutoka Swaziland wakati mtathmini wa waamuzi (referee assessor) ni Ali Baligeya Waiswa.

Waamuzi hao watawasili nchini kesho (Juni 8 mwaka huu) saa 1.20 usiku kwa ndege ya Kenya Airways wakati Kamishna wa mechi hiyo atawasili siku hiyo hiyo saa 12.50 jioni kwa ndege ya South African Airways. Mtathmini wa waamuzi atatua pia Juni 8 mwaka huu saa 7.55 mchana kwa ndege ya Kenya Airways.

Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager inaendelea na mazoezi leo saa 10 jioni kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam chini ya Kocha Mkuu Kim Poulsen.

GAMBIA KUWASILI LEO USIKU
Timu ya Taifa ya Gambia (The Scorpions) ambayo awali ilikuwa iwasili nchini leo (Juni 7 mwaka huu) saa 1.40 asubuhi sasa itawasili leo saa 9.20 usiku kwa ndege ya Kenya Airways tayari kwa ajili ya mechi dhidi ya Taifa Stars.

The Scorpions ilipaswa kubadili ndege Dakar, Senegal jana usiku lakini kukawa na ucheleweshaji (delay), hivyo ikashindwa kuwahi Nairobi, Kenya ambapo ingeunganisha kwa ndege ya alfajiri kuja Dar es Salaam.

Kikosi cha timu hiyo chenye wachezaji 22 wakiwemo tisa wanaocheza mpira wa kulipwa nje ya nchi hiyo kitafikia kwenye hoteli Sapphire iliyopo Mtaa wa Lindi na Sikukuu eneo la Kariakoo.

Wachezaji walioko katika msafara huo ni Musa Camara, Abdou Jammeh, Momodou Futty Danso, Lamin Basmen Samateh, Ousman Koli, Pa Saikou Kujabi, Mustapha Kebba Jarju, Yankuba Mal Ceesay na Demba Savage.

Wengine ni Saihou Gassama, Alieu Darboe, Momodou Ceesay, Pa Modou Jagne, Tijan Jaiteh, Bubacarr Sanyang, Christopher Allen, Musa Yaffa, Sulayman Marr, Mamut Saine, Hamsa Barry, Ali Sowe, Omar Colley na Saloum Faal.

PROGRAMU YA MAZOEZI YA GAMBIA

IJUMAA JUNI 8
01.00 asubuhi Mazoezi- Uwanja wa Karume
10.00 jioni   Mazoezi- Uwanja wa Taifa

JUMAMOSI JUNI 9
04.00 asubuhi  Mkutano na Waandishi wa Habari- Ukumbi wa TFF
10.00 jioni  Mazoezi- Uwanja wa Taifa

Boniface Wambura
Ofisa Habari
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)

NINGEKUA YONDANI PIA NINGECHUKUA MZIGO !



Well done Kevin Yondani...hata mimi ningefanya hivyo hivyo...unachukua huku m20 kule m30....watapiga kelele weweeeee lakini mwishowe watapatana. watu wenyewe hawako serious tumewazoea. ingekuwa umesaini katika makampuni mawili serious kama Barrick na Vodacom labda...lakini hizi timu za Kariakoo...wala usihofu. wataelewana tu....hakuna jela hapo. kwanza ebu ona noti zenyewe zinatolewa kwa cash badala ya hundi au transactions zinazoeleweka!!! we live just once....

Yanga kiboko
hii jezi ya Kilimanjaro Lager na taifa Stars imetoka May this year, kwa hiyo ule mkataba wa miaka 17 na majina ya kinyumenyume ni zuga tuu.... Mohamed Shaban tuletee picha kama hii ili tujue kuwa mmemsajili kweli vinginevyo imekula kwenu.... Manji kaanza kazi Jangwani

Nina urafiki na wachezaji wengi wa yanga. Siba,azam na klabu nyingne za bongo hata wachezaji wa ndondo,kitu ambacho huwa nasema siku zote ni kwamba wachezaji wa kitanzania wana matatizo makubwa,of course its like the whole soccer family in bongo is fucked up,Yondani amesaini Yanga wakati akiwa na mkataba na Simba ambako alishasaini tunaambiwa sijui 6 months ago,in my opinion a contract has to be r...espected,sheria za mkataba kimataifa ziko hivi,mkataba ukibaki muda mfupi kuisha lazima mazungumzo yafanyike either kurenew au kuuzwa kwa timu nyingine,in between mchezaji hatakiwi hata kuzungumza na timu nyingine bila ridhaa ya timu ambayo tayari ana mkataba nayo ambayo kwa hali ya kawaida lazima itoe ruhusa mazungmzo yaendelee,in this saga Kelvin Yondani is in hot water for signng for two clubs kama ninachokisikia ni sahihi,pia viongozi wa yanga wana kosa kubwa ambalo ni kufanya mazungumzo kinyume cha taratibu na mtu ambaye tayari ana mkataba,viongozi wa simba kwa upande wao wana kosa la kutengeneza situation ya kumfreeze out yondani kwenye timu hali iliomfrustarte na kumfanya asaini timu nyingine,WHY ALWAYS TANZANIA vitu vya kipuuzi kama hivi vinatokea.


kwa uelewa wangu mdogo na hela hizo ni mil. 18



Pesa ya Manji hiyooooooooo
Kweli Manji agombee Yanga..Na Pesa yote hiyo aliyonayo?
Anatafuta nini? Kuna kitu......Ukiona mtu mzima kayavulia nguo ujue kuna jambo....kazi kwenu yanga.......