Search This Blog

Saturday, June 9, 2012

EURO PREVIEW: UJERUMANI VS URENO: RONALDO KUWAOKOA URENO DHIDI WAJERUMANI?


VIKOSI VINAVOTARAJIWA KUANZA.
Ujerumani: 1: Neur 2: Boateng 3:Lahm 4: Bedstuber 5: Mertesacker 6: Khedira 7:  8: Schwensteiger            9: Klose 10: Ozil 11: Podolski

Ureno: 1: Patricio 2: Pereira 3: Coentrao 4: Alves 5: Pepe 6: Veloso 7: Moutinho 8: Meireles 9: Postiga 10: Ronaldo 11: Nani




 Germany
  • Per Mertesacker amerudi na yupo fiti baada ya kuumia na kukosa nusu ya msimu akiwa na Arsenal. Anatarajiwa kuanza kwenye mechi ya leo akiunda safu ya ulinzi na Badstuber huku Hummels akisubiri kwenye benchi.
  • Bastian Schweinsteiger hajaichezea Ujerumani katika mechi za kirafiki za hivi karibuni lakini amerudi kwenye kikosi na ataanza kwenye mechi ya leo, ingawa yeye, Kroos na Khedira watakuwa wakipigania nafasi mbili za safu ya kiungo cha kati. 
  • Magoli aliyoyafunga kwenye mechi dhidi Switzerland na Israel yanamuweka Andre Schurrle katika nafasi ya kugombania namba ya kuanza kwenye winga ya kushoto, ingawa Podolski ana nafasi kubwa ya kuanza, huku Klose akitegemea kuanza badala ya Gomez.Goals in the games against Switzerland and Israel have put Andre Schurrle right in contention to start on the left flank, though Podolski is likely to be favoured, with Klose also set to get the nod over Gomez up front
  • Nani ana wasiwasi mkubwa wa kucheza kutokana na majeruhi, amekuwa akifanya mazoezi ya pekee yake tofauti na wenzake
  • Manager Bento atahitaji sana winga huyo wa Manchester United awe fiti kwa kuwa washambuliaji wake wa pembeni ndio silaha yake kubwa baada ya washambuliaji wake wa kati wakiongozwa na Postiga kukosa makali. 
  • Rui itabidi aanze kwenye milingoti mitatu mbele ya Eduardo na kinda Beto, huku akiwa chini ya ulinzi wa mabeki wazoefu Bruno Alves na Pepe.

TAKWIMU
Ujerumani wameshinda mechi 10 za mwisho za Euro Cup

Ujerumani wamefunga atleast magoli matatu katika kila mechi nane za mwisho za Euro Cup.

1 comment:

  1. Kaka tuwekee na muda magemu yanaanza wengine kwa muda wa kiingereza tunatoka patupu

    ReplyDelete