
MATCH REPORT: SIMBA VS VITAL'O - FIRST HALF


MWANASHERIA WA AZAM FC AKISHUHUDIA WINO UKIMWAGWA NA MSHABULIAJI WAHAB YAHAYA
HAPA NI BAADA YA KUFIKA KWENYE KLABU YA AZAM FC
BEKI NAFIU AWUDU AKIMWAGA WINI KWENYE FORM ZA AZAM FC

Baada ya juzi mdogo wa Mcdonald Mariga kuripotiwa kuzivutia klabu za Celtic na Aston Villa, sasa ni zamu mkenya mwingine Eric Odhiambo ametingisha soko la uhamisho nchini Scotland.
Odhiambo ambaye msimu uliopita alimaliza mkataba wake na klabu ya Inverness amekuwa akifuatilia na klabu kadhaa nchini baada ya kumalizika kwa ligi ya nchi hiyo.
Kwa mujibu wa wakala wa mshambuliaji huyo aliyejiunga na Inverness mwezi January 2009, alifunga mabao 4 katika michezo 18 ya msimu uliopita likiwemo goli la kusawazisha alilofunga dhidi ya Glasgow Rangers, anasema mchezaji huyo wa zamani Leicester amezivutiwa klabu kadhaa nchini Scotland zikiwemo timu kubwa.
"Nafahamu kuna klabu nyingi zinamtaka Eric, kuna timu moja tayari wameshatuma ofa lakini Eric anasubiri kuona kama kuna timu nyingine zitaleta ofa halafu ataangalia ipi bora ya kuichukua."-alisema wakala wa mchezaji huyo Clive Hart.
MABINGWA mara sita wa Klabu Bingwa Afrika Mashariki na kati, Simba SC ‘Wekundu wa Msimbazi’, Jumamosi hii wanafungua dimba la michuano hiyo inayojulikana Kombe la Kagame tangu mwaka 2002, kwa kumenyana na Vital’O ya Burundi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Arsenal
Ins:
Carl Jenkinson (from Charlton Athletic for undisclosed)
Aston Villa
Outs:
Brad Friedel (to Tottenham for free)
Blackburn Rovers
Outs:
Phil Jones (to Manchester United for £16.5m), Zurab Khizanishvili (to Kayserispor, TUR for undisclosed), Frank Fielding (to Derby County for undisclosed)
Bolton
Outs:
Johan Elmander (to Galatasaray, TUR for free)
Chelsea
Ins:
Lucas Piazon (from Sao Paulo, BRA for undisclosed)
Outs:
Michael Mancienne (to Hamburg, GER for undisclosed), Jacopo Sala (to Hamburg, GER for undisclosed), Gokhan Tore (to Hamburg, GER for undisclosed)
Everton
Outs:
James Vaughan (to Norwich City for undisclosed), Hope Akpan (to Crawley Town for free)
Fulham
Ins:
Dan Burn (from Darlington for undisclosed)
Liverpool
Ins:
Jordan Henderson (from Sunderland for £16m)
Manchester United
Ins:
Phil Jones (from Blackburn Rovers for £16.5m), Ashley Young from Aston Villa
Outs:
Bebe (to Besiktas, TUR on loan), Ritchie de Laet (to Norwich City on loan)
QPR
Outs:
Mikele Leigertwood (to Reading for undisclosed)
Newcastle United
Ins:
Yohan Cabaye (from Lille, FRA for £4.3m), Demba Ba (from West Ham United for free), Sylvain Marveaux (from Rennes, FRA for free*), Mehdi Abeid (from Lens, FRA for undisclosed)
Outs:
Kevin Nolan (to West Ham United for £4m)
Norwich City
Ins:
James Vaughan (from Everton for undisclosed), Steve Morison (from Millwall for £2.1m), Elliott Bennett (from Brighton for £1.2m), Ritchie de Laet (to Manchester United on loan)
Stoke City
Outs:
Abdoulaye Faye (to West Ham United for free)
Sunderland
Ins:
Ahmed Elmohamady (from ENPPI, EGY for £2m), Sebastian Larsson (from Birmingham Cityfor free*), Keiren Westwood (from Coventry City for free*)
Outs:
Jordan Henderson (to Liverpool for £16m)
Swansea City
Ins:
Danny Graham (from Watford for £3.5m)
Outs:
Dorus de Vries (to Wolves for free)
Tottenham
Ins:
Brad Friedel (from Aston Villa for free)
Outs:
Jamie O’Hara (to Wolves for undisclosed*)
West Bromwich Albion
Ins:
Billy Jones (from Preston North End for undisclosed), Gareth McAuley (from Ipswich Town for free)
Wolves
Ins:
Jamie O’Hara (from Tottenham for £5m*), Dorus de Vries (from Swansea City for free*)
Chelsea wanakaribia kukamilisha usajili wa paundi million 26.5 kwa ajili ya mshambuliaji wa F.C Porto Radamel Falcao, baada ya mkorombia huyo kukubali deal la kuvuna paundi million 5 kwa mwaka na matajiri hao London.
Falcao ambaye alifunga mabao 39 katika msimu uliopita anatarajiwa kutangazwa rasmi kuwa mchezaji wa Chelsea tarehe 1 Julai.
Usajili huu wa Falcao umezua maswali mengi kuwa ni nani kati ya Fernando Torres, Didier Drogba na Nicolas Anelka atafunguliwa milango ya kuondoka Stamford Brdige.
ARSENAL WAKATAA OFA YA PAUNDI MILLION 27 KWA FABREGAS
Klabu ya Arsenal imekataa ofa paundi million 27 kutoka Barcelona kwa ajili ya kiungo Cesc Fabregas.
Barca ambao wamekuwa katika harakati za kumrudisha Catulunya kwa zaidi ya miaka 3 lakini Gunners siku zote wamekuwa wagumu kumuachia Mhospania huyo.
Ripoti zinasema kuwa CEO wa Arsenal Ivan Gazidis aliikataa ofa rasmi ya Barca iliyowasilishwa na makamu wa raisi wa mabingwa hao Ulaya Maria Bartomeu ambaye alikuwa London wiki iliyopita.Hata hivyo taarifa kutoka vyanzo vya habari kutoka Nou Camp zinasema Barca wanajipanga kupeleka tena ofa nyingine kwa Arsenal ndani siku chache zijazo.
Wakati huo huo manager wa klabu ya Barcelona Pop Guardiola amesema kuwa usajili wa Fabregas kipaumbele cha kwanza katika mipango ya kukimarisha kikosi chake.
Akiongea na vyombo vya habari vya Spain Gurdiola alisema: "Kumsajili Cesc ndio kipaumbele cha kwanza katika usajili wa msimu huu kwa sababu ndiye mchezaji ambaye yupo katika mipango ya muda mrefu ya klabu hii."
MAN CITY WAMGEUKIA MATA
Baada ya kutoswa na Alexis Sanchez sasa matajiri wa EPL Manchester City wanajipanga kumsajili winga wa Valencia ya Hispania Juan Mata.
Mabingwa hao FA Cup wanajipanga kukiongezea ubora kikosi cha Roberto Mancin ambacho kimepata nafasi ya kushiriki katika ligi wa mabingwa wa ulaya msimu ujao.
City ambao juzi ripoti kutoka Chile zinasema baada ya klabu hiyo kuizidi mbio Barca za kumsajili Sanchez, walipewa nafasi ya kuongea na mchezaji mwenyewe lakini Sanchez aligoma kuongea na timu hiyo, lakini katika hali nyingine jana mmiliki wa Udinese Gianpaolo Pozzo alisema mchezaji huyo anauzwa kwa paundi million 44, kiasi ambacho kimeongeza ugumu katika suala la mchile huyo hivyo kuwafanya City kumgeukia Juan Mata kama mbadala.
Juan Mata kwa sasa yupo katika kikosi Spain under 21 katika michuano ya EURO under 21.
LIVERPOOL KUTOA OFA YA PAUNDI MILLIONI 10 KWA CHARLIE ADAM
Majogoo wa jiji Liverpool wanategemea kuwasilisha rasmi ofa paundi million 10 kwa ajili ya kupata huduma za kiungo Charlie Adam katika mazungumzo yao na klabu ya Blackpool yaliyopangwa kufanyika weekend hii.
Kiungo mwenye umri wa miaka 25 pia amekuwa katika rada za Sir Alex Ferguson lakini Liverpool wanaonekana kuwa nafasi zaidi ya kupata saini ya kiungo huyo ambaye walitoa ofa ya paundi million 8 mwezi January lakini Blackpool wakachomoa.
Liverpool wanatarajiwa kukutana na mwenyekiti wa Blakcpool Karl Oyston.
6.Larry Bird,1978.BOSTON CELTICS Huyu ni mtu ambaye alichaguliwa kabla ya msimu wa mashindano ya vyuo kumalizika akiwa na chuo chake cha Indiana State . Bird ni mmoja kati ya wachezaji bora wa muda wote kwenye ligi ya NBA .
8.Paul Pierce,BOSTON CELTICS ,1998.Mwanzoni Pierce alitazamwa kama mtu ambaye angewemo kwenye lajawapo kati ya nafasi tatu za juu kwenye orodha ya wachezaji ambao walikuwa wanachaguliwa kwenye draft ya mwaka 98 , lakini laiishia kuchaguliwa katika nafasi ya 10. Almanusura aombe uhamisho lakini ujio wa Ray Allen na Kevin Garnett ulimsaidia kutwaa ubingwa wake wa kwanza wa NBA na sasa akaribia rekodi ya kuwa mfungaji wa pili kwa ubora wa miaka yote kwenye timu ya Boston Celtics .
Kyrie Irving mwenye Mpira amekua Drafted Namba 1 na kunyakuliwa na CLEVELAND CAVALIERS.
Winga hatari wa zamani klabu ya Dar es salaam Young Africans Edibily Jonas Lunyamila, akimtoka beki wa zamani wa Simba Mathias Mulumba, katika mchezo wa fainali ya kombe la Hedex kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza katika miaka ya tisini, na hii ilikuwa ni muda mfupi baada ya Lunyamila kutua nchini toka nchini Ujerumani alikokuwa amekwenda kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa, na siku hii akiwapiga Simba moja kati ya mabao mawili na lingine likifungwa na Bakari Malima kufuatia kona ya Lunyamila.
UNAMFAHAMU ANDREW ALEXANDER COLE,AU KWA KIFUPI ANDY COLE , ANDY COLE NI MFUNGAJI BORA WA PILI WA MUDA WOTE KWENYE LIGI KUU YA ENGLAND AKIFUNGA MABAO 187,
shekhan rashid (kushoto ) akiwa mazoezini nchini Sweden.
Michuano ya Kagame Castle Cup 2011 inaanza keshokutwa (Juni 25 mwaka huu) ambapo