Search This Blog

Friday, June 24, 2011

LEO KATIKA BABA NA MWANA

IAN WRIGHT AKIMZINGUA MWANAE SHAUN WRIGHT PHILIPS KATIKA MECHI YA KUMUAGA MARTIN KEOWN


Jordi Cruyff akimbusu baba yake Johan Cruyff baada ya kupokea medali ya ushindi wa pili wa kombe UEFA Cup kutoka kwa UEFA President Lennart Johansson.

Wim Bergkamp akimpigia mpira mwanae Dennis katika mchezo wa kumuaga uliofanyika katika uwanja wa Emirates, mwaka 2006.

SAMUEL ETOO AKIPOKEA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA AFRICA KUTOKA BABA YAKE


Jack Rodwell akisaini mkataba mpya wa Everton akiwa na Baba yake Malcom.

No comments:

Post a Comment