Search This Blog

Friday, June 24, 2011

MAJEMBE MAPYA YA AZAM TOKA NCHINI GHANA YAWASILI

MWANASHERIA WA AZAM FC AKISHUHUDIA WINO UKIMWAGWA NA MSHABULIAJI WAHAB YAHAYA

HAPA NI BAADA YA KUFIKA KWENYE KLABU YA AZAM FC

BEKI NAFIU AWUDU AKIMWAGA WINI KWENYE FORM ZA AZAM FC


Beki wa kimataifa wa Ghana ambaye ni nahodha wa kikosi cha King Faisa, na Nahodha wa timu ya Taifa ya Ghana cha wachezaji wanaocheza ligi ya nyumbani Nafiu Awudu (KUSHOTO ) akiwa na mshambuliaji aliyefunga magoli 10 msimu huu ligi kuu ya Ghana Wahab Yahaya. wote wamemwaga wino kuichezea Azam FC leo hii

No comments:

Post a Comment