



Beki wa kimataifa wa Ghana ambaye ni nahodha wa kikosi cha King Faisa, na Nahodha wa timu ya Taifa ya Ghana cha wachezaji wanaocheza ligi ya nyumbani Nafiu Awudu (KUSHOTO ) akiwa na mshambuliaji aliyefunga magoli 10 msimu huu ligi kuu ya Ghana Wahab Yahaya. wote wamemwaga wino kuichezea Azam FC leo hii
No comments:
Post a Comment