Search This Blog

Thursday, June 23, 2011

TFF WANANIZINGUA SANA KUHUSU ITC YANGU-SHEKHAN RASHID

shekhan rashid (kushoto ) akiwa mazoezini nchini Sweden.




Muda mchache uliopita nifanya mahojiano na kiungo Shekhan Rashid ambaye kwasasa anacheza soka la kulipwa nchini Sweden.

Shaffih K Dauda

mambo vipi kaka,unaendeleaje huko?

Shekhan Rashid
nipo kaka tff wananizingua sana kuhusu itc yangu,maombi yametumwa wiki ya 4 sasa kimya kujibu hawataki..
Shaffih K Dauda
duu ebu nipe details za kutosha nilifanyie kazi­ ­..
Shekhan Rashid
walitumiwa maombi na SFF (Swedish Football Federation ) wiki nne zilizopita, juzi wakatumiwa reminder na tukapiga simu kwa Angetile ambaye alikubali kuwa ameipata hiyo Email akasema ameijibu kwa fax na email, lakini chama cha mpira huku wakasema hawajapata jana tukampigia simu tena Angetile akasema ana-sign na kuituma wakati kasahau kua aliniambia kaituma. leo asubuhi tukampigia tena simu akasema nimetuma tumeenda chama cha mpira hapa kumbe bado hawajatuma. sielewi ugumu uko wapi wakati mimi sina mkataba na timu yoyote toka mwaka 2009 sioni ugumu uko wapi kutuma hiyo ITC. unaona viongozi wanavyoua soka huko tz ? sisi tunao malizia soka inakuwa hivyo jee vipi Vijana wanaochipukia itakuwaje?..
Shekhan Rashid
SFF imenionyesha mpaka fax na delivery report kuwa imefika..ila TFF hawataki kunitumia ITC
,

Shaffih K Dauda

pole sana kaka,ngoja niifuatilie ishu yako.








No comments:

Post a Comment