Search This Blog

Saturday, June 25, 2011

KAGAME CASTLE CUP: LIVE MATCH CENTER


MATCH UPDATE: SIMBA VS VITAL' O
dakika 45 za kwanza zimemalizika matokeo 0:0 huku simba wakionekana kuelemewa kwenye sehemu ya kiungo na kupelekea mpaka wakati huu wa mapumziko wachezaji wake wanaocheza sehemu ya kiungo kucheza jumla ya faulo 14 huku musa mgosi peke yake akiwa amecheza jumla ya faulo 5, Vital'o wamefanikiwa kuingia kwenye eneo la hatari la simba mara 6 huku golikipa juma kaseja akiokoa magoli mawili,
salum machaku wa simba kapewa kadi ya njano.
dakika 45: subs Vital'o, stanley Minzi-out,mbakiye bebi -in
dakika 60: SImba, salum machaku -out,shija mkina-in
dakika 64: nzigamasabosteve-yellow card
dakika 67: simba-subs ,mohamed banka-out,patrick mafisango-in
dakika 69: golikipa wa Vital'o ameumia baada ya kugongana na Ulimboka mwakingwe lakini ananendelea na mchezo
wakati huo huo simba wanaishambulia sana Vital'o
dakika 72: simba ,musa mgosi-out,rajabu ishiaka -in
dakika 74: bado matokeo ni 0:0,ulimboka mwakingwe amecheza vizuri sana kwa upande wa simba mpaka sasa.
huku mshambuliaji aliyeingia kipindi cha pili wa Vital'o ,mbakiye beby akiwasumbua sana mabeki wa simba.
dakika 81: saidi nassor amepiga shuti lake la 3 katika mchezo wa leo lakini linatoka nje
dakika 82: aruna moshi amepiga shuti limetoka juu ya goli.
dakika 86: vital'o wamekosa bao,
dakika 90: dakika mbili zimeongezwa

fulltime: simba 0:0 Vital'o

No comments:

Post a Comment