Search This Blog

Saturday, June 25, 2011

BOXING: FRANCIS CHEKA VS DANIEL WANYONYI

Bondia Francis Cheka amefanikiwa kumshinda Daniel Wanyonyi kwa pointi katika pambano ambalo lilikuwa zuri na la kusisimua.



21: 10- Matokeo ni Cheka ameshinda kwa pointi kutoka kwa majaji wawili
21:06 - Raundi ya 10 imeisha na mkenya alianguka tena, tunasubiri matokeo
21: 02 - Raundi ya mambo sio mazuri kwa mkenya, Cheka anashambulia vilivyo
20:59 - Raundi ya 8, wanashambuliana zamu kwa zamu na Cheka amefanikiwa kumwangusha mkenya , lakini anainyka na kuendela na mchezo
20:55 - Raundi ya 7 mkenya anaendeleza mashambulizi lakini cheka anajitahidi
20:50 - Raundi ya 6 mkenya amezinduka Cheka ameelemewa
20:44 - Raundi ya 5 imeisha Cheka ameendelea kufanya vizuri na mkenya anazidi kuvimba jicho
20:40 - Raundi ya 4 imeisha Cheka anaendelea kupafomu vizuri, mkenya amechanika anatokwa na damu.
20:35 - Raundi ya 3 Cheka anendelea na mashambul
20:32 - Raundi pili mkenya anajaribu kurudisha mashambulizi.
20:20 - Raundi kwanza imeisha Cheka amecheza vizuri sana
20:15 - Pambano linaanza
20:13 - Nyimbo za taifa zinapigwa na unaanza wimbo wa Tz.
20:12 - Mabondia wote wanaingia ulingoni, Cheka anashangiliwa sana.

No comments:

Post a Comment