Search This Blog

Thursday, July 21, 2011

mrisho ngassa almanusura afunge bao,sounders wapewa wiki moja na Man utd ya kufanya maandalizi vyema


seattle Sounders wamekubali kichapo cha mabao 7-0 toka kwa Manchester Utd,
wayne rooney akifunga mabao 3,michael Owen,Biram Mame Diouf,Park Ji Sung,Gabriel Obertan wakifunga bao moja moja,
Mrisho Ngassa aliingia dakika 12 za mwisho na almanusura aifungie Sounders bao la kufutia machozi lakini mpira wake ulitoka juu ya lango.












No comments:

Post a Comment