Search This Blog

Wednesday, June 8, 2011

BRYAN ROBSON AACHIA NGAZI UKOCHA THAILAND


Former England captain Bryan Robson ameachia ngazi kama kocha wa timu ya taifa ya Thailand.

The 54-year-old aliambia FA ya Thailand kuwa angependa kuondoka na mabosi wake wakubali kumwachia.

"Bryan aliomba kujiuzulu na mkataba wake umekatishwa lakini siwezi kuzungumzia zaidi ili swala." alisema Raisi wa Thailand FA Worawi Makudi.

Robson ameendelea kuwa balozi rasmi wa timu yake ya zamani ya Manchester United na amesema ataendelea na jukumu hilo.

United leo wamesema katika mtandao wao kuwa maamuzi ya Robson hayahusiani kabisa na tishio la kuugua ugonjwa wa kansa.

The former United captain alifanyiwa upasuaji wa koo kwa ajili ya kansa mwezi 3 mwaka huu na madaktari walimwambia atapona kabisa.

No comments:

Post a Comment