Search This Blog

Thursday, June 9, 2011

Real Madrid inaweza kumsajili Sergio Aguero kwa ada ya uhamisho ya €45m – mkurugenzi wa IMG

SIJUI KUN AGUERO ANAWAAGA MASHABIKI WA ATLETICO
MADRID ?


Bruno Satin, mkurugenzi wa kampuni IMG, kampuni inayomiliki haki za mshambuliaji wa Atletico Madrid ,Sergio Aguero, amedhibitisha upinzani wa jadi hauwezi kumzuia kun aguero kujiunga na Real Madrid.

mshambuliaji huyo nyota wa argentina ametangaza anataka kuhama baada ya kuitumikia klabu ya atletico madrid kwa kipindi cha misimu mitano.

No comments:

Post a Comment