Search This Blog

Thursday, June 9, 2011

Arsenal yajiandaa kumpoteza Fabregas

nasikitika sana kuondoka ila sina jinsi.....


Imelipotiwa kuwa Arsenal imeshindwa kumshawishi nahodha Cesc Fabregas kubaki,na badala yake anaonekana siku zake zimewadia kurudi klabu yake ya zamani Fc Barcelona.
Meneja wa washika bunduki Arsene Wenger amemruhusu kuondoka lakini haruhusiwi kujiunga na vilabu vya England.

No comments:

Post a Comment