Search This Blog

Thursday, June 9, 2011

Wesley Sneijder: sina sababu ya kuihama Inter

SNEIJDER AKIWA NA MKEWE


Kiungo wa Inter Wesley Sneijder amesema hana mpango wa kuihama klabu yake ingawa anatafutwa kwa udi na uvumba na vilabu vya Manchester United na Chelsea.

lakini kiungo huyo mwenye umri wa miaka 27 amesema kwenye klabu ya inter kuna kila kitu kizuri anachokihitaji.

No comments:

Post a Comment