Search This Blog

Saturday, June 11, 2011

TUNAMUUZA LUKAKU - ANDERLECHT


Anderlecht wamekiri kuwa watamuuza Romelu Lukaku kipindi hiki cha kiangazi.

Anderlecht’s general manager Herman van Holsbeeck anaamini kuwa Lukaku atauzwa.

"Hakika ataondoka na kuondoka kwake ni muhimu sana kwetu hasa kwenye uhamisho," Van Holsbeeck aliliambia Gazet van Antwerpen.

“Sijui kama atananuliwa na Chelsea, kuna timu kubwa nyingi wanavutiwa nae na tunaongea nao, ila kitu kimoja ambacho najua ni kwamba hatakuwepo hapa msimu ujao."

No comments:

Post a Comment