Search This Blog

Saturday, June 11, 2011

FERGIE AMPIGIA SIMU SANCHEZ NA KUMWAMBIA JIUNGE NASI


Manchester United boss Sir Alex Ferguson ameingilia kati suala uhamisho wa Udinese superstar Alexis Sanchez.

Gazeti la Uingereza la Daily Mail linasema kuwa United Boss alichukua maamuzi ya kumpigia simu binafsi Alexis Sanchez na kumwambia ajiunge na Manchester United.

The Chile forward anapenda kwenda kucheza Spain lakini Barca wanaonekana kutokuwa na bajeti ya kutosha kumsaini winga huyo ingawa kuna taarifa kuwa miamba hiyo ya soka ya ulaya wanatarajia kutoa kiasi cha pesa pamoja na kumtoa Bojan Krkic ili kuweza kuwalainisha Udinese ambao wanataka paundi millioni 30 kwa ajili ya Sanchez.

Kwa sasa inaaminikia Ferguson yupo karibu sana na agent wa Sanchez kitu ambacho kinaleta matumaini kuwa atafanikiwa kumshawishi Sanchez ahamie Theatre Of Dreams.

No comments:

Post a Comment