Search This Blog

Saturday, June 11, 2011

HILLARY ECHESSA AONDOKA SIMBA


Kiungo wa Simba raia wa Kenya Hillary Echessa ameondoka kwenye kambi ya klabu hiyo leo asubuhi na kurudi kwao Nairobi.
Chanzo cha kuondoka kwa kiungo huyo ni kwamba alitoa masharti ya kuongezewa mkataba wake unaoishia mwezi wa saba kabla ya mechi ya DC Motema kitu ambacho uongozi wa Simba umeshindwa kukifanikisha hivyo kupelekea kiungo huyo kuondoka Msimbazi huku timu hiyo ikiwa inakabiriwa na mechi kubwa hapo kesho.

No comments:

Post a Comment