
Akikanusha taarifa hizo katibu mkuu wa TFF Angetile Osiah amesema kwamba TFF walifanya makubaliano na Uongozi wa klabu ya Yanga juu ya namna ya kupewa fedha hizo na hadi sasa tayari wameshamaliza kulipa kiasi cha fedha walizokuwa wanadaiwa na club ya Yanga. Pia amekiri kutokulipwa kwa muamuzi bora ,na cheki ya mchezaji bora amesaini hivi karibuni .
No comments:
Post a Comment