Search This Blog

Thursday, June 9, 2011

AZAM FC YAANZA RASMI MAANDALIZI YA MSIMU UJAO

Azam FC itaanza mazoezi Jumatatu tarehe 13 june 2011, wachezaji 16 wanatarajiwa kuanza mazoezi baadaye wachezaji sita waliokuwa na timu ya Taifa na waghana watajiunga na wenzao tarehe 27 kabla ya wachezaji wa timu ya taifa ya vijana U-23 kumalizia kujiunga na wenzao tarehe 29 June 2011.
Source: group page ya azam fc on facebook.

No comments:

Post a Comment