HII BLOG ITATOA ZAWADI YA TSH 50,000 KWA ATAKAYEFANIKIWA KUJIBU MASWALI YAFUATAYO:A) HIKI KIKOSI CHA TIMU GANI?
B) TAJA MAJINA YA KIKOSI HIKI LEFT TO RIGHT.


Lassana Diarra amezungumza leo na kusema kuwa ataondoka Real Madrid ikiwa atapata timu nzuri ya kuichezea kwenye ligi ya England pekee.
Mchezaji huyo wa zamani wa Arsenal, Chelsea and Portsmouth amekuwa akihusishwa na na kutaka kurudi England lakini kikwazo ni Jose Mourinho ambaye anaonekana kutaka kukimaimarisha kikosi chake.
Diarra ambaye amekuwa akizivutia klabu za Manchester United, Liverpool, na Tottenham anasema anaweza kuondoka Santiago bernebeu ikiwa tu atapata nafasi ya kuichezea timu in EPL.
"Nikitakiwa kuondoka Madrid basi ni sehemu moja itakayonifaa Baclays Premier League," aliiambia Skysports.com
"Nilikuwa na furaha nilipokuwa pale, zaidi mwaka wangu wa mwisho na Portsmouth niliposhinda kombe la FA."

Hiddink's record at Chelsea: P 22 W 16 D 5 L 1
His life as a manager:
1982-84 De Graaschap
1984-87 PSV Eindhoven assistant coach
1987-90 PSV Eindhoven: Dutch League winners 1987, 1988, 1989; Dutch Cup winners 1988, 1989, 1990; Champions League winners 1988
1990-91 Fenerbahce
1991-94 Valencia
1994-98 Holland: quarter-finalists Euro 96; fourth place World Cup 1998
1998-99 Real Madrid: Intercontinental Cup (Champions League winners v Copa Libertadores winners) winners 1998
2000 Real Betis
2002-04 South Korea: fourth place World Cup 2002
2002-06 PSV Eindhoven: Dutch League winners 2003, 2005, 2006; Dutch Cup winners 2005
2005-06 Australia: last 16 World Cup 2006
2006-10 Russia: semi-finalists Euro 2008
2009 Chelsea caretaker manager: FA Cup winners 2009
2010-11 Turkey

Barcelona rose from a very controversial semifinal against Real Madridto a very fine performance in the final against Manchester United. A performance that has quietened the outcry of Mourinho-hopefuls against Barca’s theatrics in the Bernabeu – with a little help from FIFA again.
This is the fourth time Barcelona have won the league and European double. That is more doubles than anyone in Europe.
AC Milan, Real Madrid, Bayern Munich and Ajax have all won three doubles.
Barcelona first won the double in 1992 where they won the last of the European Cup at Wembley defeating Sampdoria in the final and were six points ahead of Madrid.
Then in 2006, Samuel Eto’o lead the scoring charts around Spain and Barcelona to an eight point league win. Eto’o also scored in the final of the 2006 UEFA Champions League final against Arsenal at Stade deFrance in Paris.
In 2008/09, Barcelona completed the mighty sextuple as Pep Guardiola took over the Catalan side and finally in 2011, Barcelona defeated Jose Mourinho over 38 games and won the Champions League final to complete their fourth double.

Mshambuliaji wa Barca na Spain ametaja kikosi chake bora ambacho kinaundwa na wachezaji ambao amewahi kucheza nao timu moja na wale ambao amewahi kucheza dhidi yao, lakini cha ajabu na yeye mwenyewe amejiweka ndani ya kikosi hicho.
Goalkeeper Iker Casillas: Hakuna kusita linapokuja suala la kutaja jina la kwanza katika kikosi cha wachezaji ambao nimecheza nao timu moja au kupambana nao.Kwangu Iker Casillas ni golikipa bora duniani.Nimecheza nae timu moja, nimecheza dhidi yake na nimemshafunga lakini ni vigumu sana kumtungua.
Right-back Daniel Alves: Alves amekuwa na kipindi kizuri sana na nafikiri ndio beki wa kulia muhimu kuliko wote katika ligi ya Hispania, na sio kwamba ni beki tu yupo sehemu zote za uwanja.Watu wengine wanamzungumzia sasa kipindi yupo hapa Barca na wengine wanashangazwa na uwezo wake lakini alikuwa bora tangu kipindi yupo Sevilla.
Centre-back Rio Ferdinand Manchester [United] na Barcelona ndio bora ulaya kwa sasa, na Ferdinand ni kiongozi mzuri na beki bora, namkubali sana.Nimecheza dhidi yake kabla ya fainali ya Champions League, ana nguvu na anazuia vizuri.Nilifunga dhidi ya Manchester lakini haikuwa kazi rahisi na nilip[ofunga dhidi ya England yeye akiwa hacheza na nikagundua tofauti.
Centre-back Pepe: Pepe yupo vizuri mno na ni vigumu sana kucheza dhidi yake, ndio beki wa wakati ambaye nilihangaika mno kucheza dhidi yake.Ni mwepesi na nguvu sana.
Left-back Paolo Maldini Watu wengi huwa wanamchagua Paolo Maldini na mimi nakubaliana nao.Amefanya kila kitu katika kipindi chake cha uchezaji, ni moja ya wachezaji wazuri katika historia ya soka na anawakilisha kila kitu kizuri katika soka.
Midfielder Xavi: Ni raha sana kucheza na mtu ambaye anajua kucheza soka la kiufundi kama Xavi.Alikuwa ndio mchezaji bora wa EURO 2008, tulipochukua kombe hilo, ndio mtu anayeifanya Barcelona kuwa timu bora kwa sasa.Hapotezi mpira ni mfano bora ambao wote tunapaswa kuufuata.
Midfielder Andres Iniesta Kwa pamoja na Xavi, Iniesta ni wauaji.Wanafanya mambo yao vizuri na kwenye timu ukiwa na wale jamaa wawili katikati ya uwanja hakuna kitachoharibika.Huwezi kuwatenganisha Iniesta na Xavi kwasababu mchezo wao unaenda pamoja.Hawa ndio pea ya viungo bora ambao nimewahi kuwaona kwenye soka.
Midfielder Steven Gerrard Namkubali na kumpenda sana Steven Gerrard. Ni mtu ambaye namkubali kiukweli.Ana kila kitu kama kiungo.Napenda jinsi anavyocheza, ni kiongozi mzuri sana uwanjani, anafunga magoli, anapiga pasi nzuri, anakimbia vizuri, anakaba na ana nguvu sana.Kwa kifupi Gerro ni mchezaji aliyekamilika.
Striker Lionel Messi: Kuchagua watu mbele ni rahisi, Leo Messi upande mmoja na Cristiano Ronaldo upande mwingine.Nachagua formation ya 4-3-3 na nafikiri hakuna wa kubisha kuhusu watu hawa wawili kwa sababu ndio wachezaji bora kabisa kwa sasa duniani.Cristiano ni mchezaj mzuri lakini nitamchagua Messi kama mchezaji bora wa dunia kwa sababu vitu anavyofanya sijawahi ushuhudia katika ulimwengu wa soka.
Striker Cristiano Ronaldo Pamoja na Messi wanaweza kusababisha maafa kwa timu pinzani.Cristiano ana nguvu sana na uwezo mkubwa sana wa kucheza mipira ya faulo, anafunga kwa mashuti ya mbali na hata vichwa kwa kifupi anatisha.Vitu alivyovifanya akiwa na Manchester vinampa nafasi ya kuwa bora na sasa akiwa Real Madridi anaonyesha bado hamu ya ushindi.
Striker David Villa: Sasa mshambuliaji wa katikati, nani nimchague? aaaaaaa labda mimi, nimewahi kuwa mfungaji bora wa EURO, nafikiri ni kigezo kizuri.Siwezi kujenga kikosi kizuri kama hiki halafu mimi nisiwemo.Nafikiria nafasi za kufunga nitakazozipata nikicheza mbele ya Xavi, Iniesta, Gerrard, Messi na Ronaldo.
Hassan Shehata aachia ngazi
MLS giants LA Galaxy wanajipanga kumpa majukumu ya ukocha David Beckham wakati mkataba wake wa kuichezea timu hiyo utakapokwisha.
Mkataba wa miaka mitano wa former Manchester United and England captain unaisha mwishoni mwa msimu wa ligi kuu ya Marekani na LA Galaxy wanategemea watampa Becks mkataba mwingine wa mwaka 1 utakaohusisha na na majukumu ya ukocha
Inaaminika pia Beckham atapewa nafasi ya kwenda kwa mkopo na timu ya Europe kati ya January na April mwaka 2012 kama atakubali mkataba huo mpya.

PSV Eindhoven nao wameonyesha nia ya kumtaka mchezaji huyo, lakini wana nafasi nzuri hasa zaidi baada ya kuwa uhusiano wa karibu na Chivas baada ya kumsaini Chicharito kwa paundi million 6 mwezi 4 mwaka jana, Sir Alex Ferguson na Chief Scouter Jim Lawlor tayari wameshavutiwa na uwezo wa Torres.


Guus Hiddink yupo njani kuelekea Stamford Bridge baada ya shirikisho la soka la Uturuki kusema kuwa "amefundisha mechi yake ya mwisho".
The Dutchman amekuwa anatajwa kama ndio mrith sahihi wa Carlo Ancelloti aliyefukuzwa baada ya ligi kuu kuisha, na sasa inaonekana Hiddink mwenye umri wa miaka 64 anataka kurudi darajani kwa mujibu mabosi wa FA ya Uturuki .
A TFF source ameiambia BBC kuwa "Hiddink hawezi kusema hapana kwa Chelsea, na tunaamini anataka kuondoka."
Aliongeza: "Hiddink anasema ana mkataba lakini hizi ahadi hazina maisha, Chelsea wanatoa ofa nzuri vigumu kuikataa na shirikisho linaelewa hili suala.Hiddink anajisikia bado ana kazi ya kufanya pale,anataka kwenda pale na ligi na labda baadae Champions League. FA tunaamini kwamba Guus amefundisha mchezo wake wa mwisho jana ikiwa Chelsea italipa fidia ya kuvunja mkataba wake".
The former Holland and Real Madrid boss alishinda kombe la FA alipokuwa na Chelsea mwaka 2009 akiwa kocha wa muda wa timu hiyo.
RAFAEL NADAL SASA AMEMFUNGA KWENYE FAINALI 4 KATI 6 ALIZOCHEZA
KUSHINDA TAJI LAKE LA 6 LA MASHINDANO YA WAZI YA UFARANSA LILIKUA TUKIO KUBWA SANA KWENYE MAISHA YAKE.
DWAYNE WADE ALIKUA NA MCHEZO MZURI BAADA YA KUFUNGA POINTI 29
mohamed Zinan alibanwa vilivyo na ngome ya Bafana Bafana
TOP 10 YA TIMU ZINAZOLIPA MISHAHARA MIKUBWA
1) Barcelona
League: La Liga
Average annual pay: £4,944,211
Average weekly pay: £95,081
2) Real Madrid
League: La Liga
Average annual pay: £4,597,895
Average weekly pay: £88,421
3) New York Yankees
League: MLB
Average annual pay: £4,222,688
Average weekly pay: £81,206
4) LA Lakers
League: NBA
Average annual pay: £4,087,931
Average weekly pay: £78,614
5) Orlando Magic
League: NBA
Average annual pay: £3,979,446
Average weekly pay: £76,528
6) Chelsea
League: Premier League
Average annual pay: £3,762,963
Average weekly pay: £72,365
7) Inter Milan
League: Serie A
Average annual pay: £3,749,777
Average weekly pay: £72,111
8) Boston Red Sox
League: MLB
Average annual pay: £3,744,502
Average weekly pay: £72,010
9) Denver Nuggets
League: NBA
Average annual pay: £3,743,859
Average weekly pay: £71,997
10) Manchester City
League: Premier League
Average annual pay: £3,664,741
Average weekly pay: £70,476


Shujaa wa Aston Villa Tony Morley amezishangaa hekima za Ashley Young juu ya kutaka kwake kujiunga na Manchester United.
United ndio wanaopewa nafasi kubwa ya kumnyakua winga huyo mbele ya mahasimu wao Liverpool, lakini Morley ambaye aliwezesha Villa kunyakua kombe la European Cup mwaka 1982 ana wasiwasi kama Young atapata nafasi ya kucheza ndani ya kikosi cha Fergie.
"Nafahamu anataka kucheza katika Champions League, lakini ndani ya kikosi cha United atapata nafasi ya kucheza mara kwa mara? Naamini anataka kuwa moja ya wachezaji ndani ndani ya United lakini sidhani kama atatpata nafasi hiyo."
"Mfano mzuri ni James Milner si ameuona? ndio hali halisi atakayokutana nayo Young.Milner anaweza kusema ameshinda FA Cup lakini yeye alikuwa Benchi ndani ya kikosi cha Manchester City.Young ni mzuri sana lakini na uwezo mkubwa lakini hawezi kupata nafasi kubwa ya kucheza Old Trafford, atatakiwa kugombea nafsi dhidi ya Nani na Antonio Valencia hapo unaona ugumu wake". alisema Tony Morley

Scott Parker amethibitisha kuwa atamwambia Sam Allardyce kuwa anataka kuondoka West Ham ili aendelee kupata nafasi katika kikosi cha England baada ya kurudi mapumzikoni.
Parker amesema ataongea kocha huyo mpya wa wagonga nyundo London kuongelea mstakabali wake katika timu hiyo, mazungumzo ambayo anaamini yatakuwa katika muelekeo wa kurudi kwenye ligi kuu kama anataka kuitunza nafasi yake katika cha Three Lions.
"Kwenye EPL ndio kila mchezaji angependa kucheza na sipo tofauti, najua Big Sam atanipigia simu na tutaongea, nataka kuendelea kupigania nafasi yangu katika England lakini siwezi kufanya hivyo kama sitocheza EPL msimu ujao."
Parker ambaye ndiye Footballer of the Year wa England anatakiwa na timu za Tottenham, Liverpool na Arsenal.

Mshambuliaji wa Barca na Spain ametaja kikosi chake bora ambacho kinaundwa na wachezaji ambao amewahi kucheza nao timu moja na wale ambao amewahi kucheza dhidi yao, lakini cha ajabu na yeye mwenyewe amejiweka ndani ya kikosi hicho.
Goalkeeper Iker Casillas: Hakuna kusita linapokuja suala la kutaja jina la kwanza katika kikosi cha wachezaji ambao nimecheza nao timu moja au kupambana nao.Kwangu Iker Casillas ni golikipa bora duniani.Nimecheza nae timu moja, nimecheza dhidi yake na nimemshafunga lakini ni vigumu sana kumtungua.
Right-back Daniel Alves: Alves amekuwa na kipindi kizuri sana na nafikiri ndio beki wa kulia muhimu kuliko wote katika ligi ya Hispania, na sio kwamba ni beki tu yupo sehemu zote za uwanja.Watu wengine wanamzungumzia sasa kipindi yupo hapa Barca na wengine wanashangazwa na uwezo wake lakini alikuwa bora tangu kipindi yupo Sevilla.
Centre-back Rio Ferdinand Manchester [United] na Barcelona ndio bora ulaya kwa sasa, na Ferdinand ni kiongozi mzuri na beki bora, namkubali sana.Nimecheza dhidi yake kabla ya fainali ya Champions League, ana nguvu na anazuia vizuri.Nilifunga dhidi ya Manchester lakini haikuwa kazi rahisi na nilip[ofunga dhidi ya England yeye akiwa hacheza na nikagundua tofauti.
Centre-back Pepe: Pepe yupo vizuri mno na ni vigumu sana kucheza dhidi yake, ndio beki wa wakati ambaye nilihangaika mno kucheza dhidi yake.Ni mwepesi na nguvu sana.
Left-back Paolo Maldini Watu wengi huwa wanamchagua Paolo Maldini na mimi nakubaliana nao.Amefanya kila kitu katika kipindi chake cha uchezaji, ni moja ya wachezaji wazuri katika historia ya soka na anawakilisha kila kitu kizuri katika soka.
Midfielder Xavi: Ni raha sana kucheza na mtu ambaye anajua kucheza soka la kiufundi kama Xavi.Alikuwa ndio mchezaji bora wa EURO 2008, tulipochukua kombe hilo, ndio mtu anayeifanya Barcelona kuwa timu bora kwa sasa.Hapotezi mpira ni mfano bora ambao wote tunapaswa kuufuata.
Midfielder Andres Iniesta Kwa pamoja na Xavi, Iniesta ni wauaji.Wanafanya mambo yao vizuri na kwenye timu ukiwa na wale jamaa wawili katikati ya uwanja hakuna kitachoharibika.Huwezi kuwatenganisha Iniesta na Xavi kwasababu mchezo wao unaenda pamoja.Hawa ndio pea ya viungo bora ambao nimewahi kuwaona kwenye soka.
Midfielder Steven Gerrard Namkubali na kumpenda sana Steven Gerrard. Ni mtu ambaye namkubali kiukweli.Ana kila kitu kama kiungo.Napenda jinsi anavyocheza, ni kiongozi mzuri sana uwanjani, anafunga magoli, anapiga pasi nzuri, anakimbia vizuri, anakaba na ana nguvu sana.Kwa kifupi Gerro ni mchezaji aliyekamilika.
Striker Lionel Messi: Kuchagua watu mbele ni rahisi, Leo Messi upande mmoja na Cristiano Ronaldo upande mwingine.Nachagua formation ya 4-3-3 na nafikiri hakuna wa kubisha kuhusu watu hawa wawili kwa sababu ndio wachezaji bora kabisa kwa sasa duniani.Cristiano ni mchezaj mzuri lakini nitamchagua Messi kama mchezaji bora wa dunia kwa sababu vitu anavyofanya sijawahi ushuhudia katika ulimwengu wa soka.
Striker Cristiano Ronaldo Pamoja na Messi wanaweza kusababisha maafa kwa timu pinzani.Cristiano ana nguvu sana na uwezo mkubwa sana wa kucheza mipira ya faulo, anafunga kwa mashuti ya mbali na hata vichwa kwa kifupi anatisha.Vitu alivyovifanya akiwa na Manchester vinampa nafasi ya kuwa bora na sasa akiwa Real Madridi anaonyesha bado hamu ya ushindi.
Striker David Villa: Sasa mshambuliaji wa katikati, nani nimchague? aaaaaaa labda mimi, nimewahi kuwa mfungaji bora wa EURO, nafikiri ni kigezo kizuri.Siwezi kujenga kikosi kizuri kama hiki halafu mimi nisiwemo.Nafikiria nafasi za kufunga nitakazozipata nikicheza mbele ya Xavi, Iniesta, Gerrard, Messi na Ronaldo.

Timu ya taifa ya England imetoka sare na Uswisi katika michuano ya kugombea kucheza fainali za kombe la mataifa ya ulaya zitakozofanyika mwakani nchini Ukraine huku kiungo Frank Lampard akivunja rekodi kwa kuwa mchezaji aliyefunga magoli mengi kupitia mikwaju ya penalti akiwapita Alan Shearer na Rob Fowler.
Lampard ambaye alianza kuichezea England in October 10, 1999 dhidi ya Belgium akiwa na miaka 21 na siku 111, mpaka sasa ameshaitumikia Three Lions katika mechi 86, kati ya hizo 36 ni za kirafiki, kufuzu World Cup 20, World Cup finals 9, kufuzu EURO 15, EURO finals 4, michuano mingine 2.Amefunga magoli 22, 7 KATI YA HAYO AMETUPIA NYAVUNI KUPITIA MIKWAJU YA PENATI.
Amecheza jumla ya dakika 6385, amepata kadi 3 za njano, hajawahi kupata red card, goli lake la kwanza alifunga dhidi ya Croatia, amewahi kuwa kapteni mara 1 katika mechi dhidi ya Denmark.


