Search This Blog

Tuesday, June 7, 2011

HIKI NI KIKOSI CHA TIMU GANI ?

HII BLOG ITATOA ZAWADI YA TSH 50,000 KWA ATAKAYEFANIKIWA KUJIBU MASWALI YAFUATAYO:

A) HIKI KIKOSI CHA TIMU GANI?
B) TAJA MAJINA YA KIKOSI HIKI LEFT TO RIGHT.

JACK RODWEL JINSI YA KUCHEZA 'BOX TO BOX'


Jack Rodwel ni vipaji vipya katika ligi kuu ya Uingereza, anacheza katika timu ya taifa ya England under 21 na anaichezea klabu ya Everton katika nafasi ya kiungo.Katika siku za hivi karibuni Sir Alex Ferguson kwa pamoja na Arsenal Wenger wamekuwa wakipigana vikumbo kutaka saini ya mchezaji huyu. Everton's midfielder amekuwa kwenye kiwango bora msimu huu na hapa anaelezea hatua sita za namna ya kucheza na kutawala uwanja mzima (Box to Box midfielder - Kiungo anayecheza mchezo wa kushambulia na kukaba). 1:HIFADHI NGUVU "Kama unataka kucheza kwa kutawala kwa kucheza box to box inabidi uifadhi nguvu zako wakati wa kukimbia, ili kufanya hivyo unatakiwa kuji-position vizuri mapema ili uweze kuepuka kupoteza nguvu kwa kuahangaika uwanja mzima haswa haswa katika mechi kubwa, hivyo ni vizuri kukaa kwaenye nafasi nzuri ili uweze kuifadhi nguvu."

2:USITABIRIKE

“Kama unacheza dhidi ya kiungo/viungo wanaocheza kwa mtindo wa Box to box, jaribu kuwazuia wao wasicheze kwanza halafu usitabirike.Kipindi cha kwanza zuia kwenda sana mbele ili adui wako afikiri kuwa upo pale kumkaba yeye na kucheza mchezo wa kuzuia zaidi, halafu kipindi cha pili, ukizingatia na mchezo unavyokwenda, anza kufanya mashambulizi na kumfanya adui yako achanganyikiwe asijue nini utafanya baadae."

3:CHUKUA TAHADHARI

“Kama unakuwa ndio unaongoza ukabaji inabidi udhibiti mbio zako za kushambulia, lakini kuna muda muda inabidi ucheze kamari.Msimu uliopita dhidi ya Manchester United tukiwa nyuma kwa 2-1 niliingia na jukumu langu lilikuwa ni kusaidia kupata goli ndani ya dakika 5 zilizokuwa zimebaki, lakini nilipopata mpira nikiwa katikati nilitafuta nafasi na nikafunga goli lililomaliza mchezo."

4:LINDA UKUTA WAKO

“Zingatia katika kuvunja mashambulizi na kuwazuia washambuliaji kupata mipira kwenye miguu yao.Kiungo mpinzani atataka kumpa mshambuliaji wake mpira hivyo unachotakiwa kufanya ni kugeuka kwa haraka kuipata pasi yake ya pili.Ikiwa mtu Wayne Rooney akiingia ndani , tulia, kaa kwenye nafasi yako na jua kwamba hauwezi kupata kupata mpira.Unachotakiwa kufanya ni kulinda mabeki wako wa nne kwa nyuma kwahiyo kama Rooney atataka kurudi nyuma acha mabeki wako wacheze nae, akiingia ndani inakuwa kazi yako."

5:CHELEWA KUINGIA NDANI YA BOKSI

“Kama unajua wapi mawinga wako watapeleka mpira, mara 9 kati ya 10 utaipata krosi.Ikiwa mabeki wanakuangalia unatakiwa kuwahi kupiga kichwa mpira hivyo atakuwa anarudi kinyumenyume kuelekea kwenye penalty box hivyo nawe ingia kwa nguvu, shusha bega lako halafu kaa kwenye nafasi yako kabla ya adui wako hajafika pale halafu unaweza ukafunga."

6:UNDA USHIRIKIANO

“Jenga uelewano wa na kiungo mwenzio, chezeni kwa kwa nguvu.Nikiwa nacheza na Tim Cahil mpira ukiwa unaenda pembeni najua natakiwa kurudi nyuma na kulinda nafasi yangu katika kiungo cha chini ili ku-balance team.Nikiwa nacheza na Marouane Fellaini yeye huwa analinda mimi nakwenda kushambulia halafu nakuwa namwachia mipira ya mwisho Mikel Arteta na mimi nabaki kuwalinda washambuliaji."

LASSANA DIARA - NITAONDOKA MADRID KWA AJILI YA PREMIER LEAGUE PEKEE


Lassana Diarra amezungumza leo na kusema kuwa ataondoka Real Madrid ikiwa atapata timu nzuri ya kuichezea kwenye ligi ya England pekee.

Mchezaji huyo wa zamani wa Arsenal, Chelsea and Portsmouth amekuwa akihusishwa na na kutaka kurudi England lakini kikwazo ni Jose Mourinho ambaye anaonekana kutaka kukimaimarisha kikosi chake.

Diarra ambaye amekuwa akizivutia klabu za Manchester United, Liverpool, na Tottenham anasema anaweza kuondoka Santiago bernebeu ikiwa tu atapata nafasi ya kuichezea timu in EPL.

"Nikitakiwa kuondoka Madrid basi ni sehemu moja itakayonifaa Baclays Premier League," aliiambia Skysports.com

"Nilikuwa na furaha nilipokuwa pale, zaidi mwaka wangu wa mwisho na Portsmouth niliposhinda kombe la FA."


REKODI ZA GUUS HIDDINK KAMA KOCHA


Hiddink's record at Chelsea: P 22 W 16 D 5 L 1

His life as a manager:

1982-84 De Graaschap

1984-87 PSV Eindhoven assistant coach

1987-90 PSV Eindhoven: Dutch League winners 1987, 1988, 1989; Dutch Cup winners 1988, 1989, 1990; Champions League winners 1988

1990-91 Fenerbahce

1991-94 Valencia

1994-98 Holland: quarter-finalists Euro 96; fourth place World Cup 1998

1998-99 Real Madrid: Intercontinental Cup (Champions League winners v Copa Libertadores winners) winners 1998

2000 Real Betis

2002-04 South Korea: fourth place World Cup 2002

2002-06 PSV Eindhoven: Dutch League winners 2003, 2005, 2006; Dutch Cup winners 2005

2005-06 Australia: last 16 World Cup 2006

2006-10 Russia: semi-finalists Euro 2008

2009 Chelsea caretaker manager: FA Cup winners 2009

2010-11 Turkey


DEMU WA KIBONGO AKIONYESHA UWEZO WA SOKA

vijana stars (Tanzania U-23) vs Nigeria U-23 (Dream Team V)

MAHOJIANO NA KIPA WA ZAMANI WA NIGERIA,PETER RUFAI

hapa cameraman wa SPORTS BAR ya CLOUDS TV mr Juma Kutunda akiwa
mzigoni.....fuatilia sports bar kila jumatatu umsikie Peter Rufai alivyofunguka.





Peter Rufai akiwa na mmoja wa waandaaji wa SPORTS BAR, Geofrey Lea




hapa nikiwa na Peter Rufai pia EXCLUSIVE INTERVIEW hii utaipata



kwenye jarida la NUMBER 10 toleo lijalo.





Aiseee hili jarida ni zuri sana...linapatikana kwenye lugha ya kiswahili tu?




nashukuru sana na karibu sana kwetu nigeria,


Kipa wa zamani wa kimataifa wa Super Eagles ambayo ni timu ya taifa ya Nigeria Peter Rufai alifanya mahojiano na kituo cha televisheni cha Clouds pamoja na jarida la Number 10 ambako alifunguka na kutueleza mambo mbalimbali kuhusu maisha yake ya soka pamoja na maisha binafsi . Ebwana eeh jamaa alitupa stori heavy kupita maelezo na kupitia interview hii tuligundua kuwa DODO MASTER kama anavyofahamika huko kwao Nigeria ni mmoja kati ya wanasoka wasomi barani Afrika ...








Monday, June 6, 2011

BARCA WANAONGOZA KWA KUSHINDA DOUBLES


Barcelona rose from a very controversial semifinal against Real Madridto a very fine performance in the final against Manchester United. A performance that has quietened the outcry of Mourinho-hopefuls against Barca’s theatrics in the Bernabeu – with a little help from FIFA again.

This is the fourth time Barcelona have won the league and European double. That is more doubles than anyone in Europe.

AC Milan, Real Madrid, Bayern Munich and Ajax have all won three doubles.

Barcelona first won the double in 1992 where they won the last of the European Cup at Wembley defeating Sampdoria in the final and were six points ahead of Madrid.

Then in 2006, Samuel Eto’o lead the scoring charts around Spain and Barcelona to an eight point league win. Eto’o also scored in the final of the 2006 UEFA Champions League final against Arsenal at Stade deFrance in Paris.

In 2008/09, Barcelona completed the mighty sextuple as Pep Guardiola took over the Catalan side and finally in 2011, Barcelona defeated Jose Mourinho over 38 games and won the Champions League final to complete their fourth double.

DAVID VILLA ATAJA KIKOSI CHAKE BORA


Mshambuliaji wa Barca na Spain ametaja kikosi chake bora ambacho kinaundwa na wachezaji ambao amewahi kucheza nao timu moja na wale ambao amewahi kucheza dhidi yao, lakini cha ajabu na yeye mwenyewe amejiweka ndani ya kikosi hicho.

Goalkeeper Iker Casillas: Hakuna kusita linapokuja suala la kutaja jina la kwanza katika kikosi cha wachezaji ambao nimecheza nao timu moja au kupambana nao.Kwangu Iker Casillas ni golikipa bora duniani.Nimecheza nae timu moja, nimecheza dhidi yake na nimemshafunga lakini ni vigumu sana kumtungua.

Right-back Daniel Alves: Alves amekuwa na kipindi kizuri sana na nafikiri ndio beki wa kulia muhimu kuliko wote katika ligi ya Hispania, na sio kwamba ni beki tu yupo sehemu zote za uwanja.Watu wengine wanamzungumzia sasa kipindi yupo hapa Barca na wengine wanashangazwa na uwezo wake lakini alikuwa bora tangu kipindi yupo Sevilla.

Centre-back Rio Ferdinand Manchester [United] na Barcelona ndio bora ulaya kwa sasa, na Ferdinand ni kiongozi mzuri na beki bora, namkubali sana.Nimecheza dhidi yake kabla ya fainali ya Champions League, ana nguvu na anazuia vizuri.Nilifunga dhidi ya Manchester lakini haikuwa kazi rahisi na nilip[ofunga dhidi ya England yeye akiwa hacheza na nikagundua tofauti.

Centre-back Pepe: Pepe yupo vizuri mno na ni vigumu sana kucheza dhidi yake, ndio beki wa wakati ambaye nilihangaika mno kucheza dhidi yake.Ni mwepesi na nguvu sana.

Left-back Paolo Maldini Watu wengi huwa wanamchagua Paolo Maldini na mimi nakubaliana nao.Amefanya kila kitu katika kipindi chake cha uchezaji, ni moja ya wachezaji wazuri katika historia ya soka na anawakilisha kila kitu kizuri katika soka.

Midfielder Xavi: Ni raha sana kucheza na mtu ambaye anajua kucheza soka la kiufundi kama Xavi.Alikuwa ndio mchezaji bora wa EURO 2008, tulipochukua kombe hilo, ndio mtu anayeifanya Barcelona kuwa timu bora kwa sasa.Hapotezi mpira ni mfano bora ambao wote tunapaswa kuufuata.

Midfielder Andres Iniesta Kwa pamoja na Xavi, Iniesta ni wauaji.Wanafanya mambo yao vizuri na kwenye timu ukiwa na wale jamaa wawili katikati ya uwanja hakuna kitachoharibika.Huwezi kuwatenganisha Iniesta na Xavi kwasababu mchezo wao unaenda pamoja.Hawa ndio pea ya viungo bora ambao nimewahi kuwaona kwenye soka.

Midfielder Steven Gerrard Namkubali na kumpenda sana Steven Gerrard. Ni mtu ambaye namkubali kiukweli.Ana kila kitu kama kiungo.Napenda jinsi anavyocheza, ni kiongozi mzuri sana uwanjani, anafunga magoli, anapiga pasi nzuri, anakimbia vizuri, anakaba na ana nguvu sana.Kwa kifupi Gerro ni mchezaji aliyekamilika.

Striker Lionel Messi: Kuchagua watu mbele ni rahisi, Leo Messi upande mmoja na Cristiano Ronaldo upande mwingine.Nachagua formation ya 4-3-3 na nafikiri hakuna wa kubisha kuhusu watu hawa wawili kwa sababu ndio wachezaji bora kabisa kwa sasa duniani.Cristiano ni mchezaj mzuri lakini nitamchagua Messi kama mchezaji bora wa dunia kwa sababu vitu anavyofanya sijawahi ushuhudia katika ulimwengu wa soka.

Striker Cristiano Ronaldo Pamoja na Messi wanaweza kusababisha maafa kwa timu pinzani.Cristiano ana nguvu sana na uwezo mkubwa sana wa kucheza mipira ya faulo, anafunga kwa mashuti ya mbali na hata vichwa kwa kifupi anatisha.Vitu alivyovifanya akiwa na Manchester vinampa nafasi ya kuwa bora na sasa akiwa Real Madridi anaonyesha bado hamu ya ushindi.

Striker David Villa: Sasa mshambuliaji wa katikati, nani nimchague? aaaaaaa labda mimi, nimewahi kuwa mfungaji bora wa EURO, nafikiri ni kigezo kizuri.Siwezi kujenga kikosi kizuri kama hiki halafu mimi nisiwemo.Nafikiria nafasi za kufunga nitakazozipata nikicheza mbele ya Xavi, Iniesta, Gerrard, Messi na Ronaldo.

Hassan Shehata aachia ngazi

Hassan Shehata aachia ngazi



Chama cha soka cha Misri Kimekubali barua ya kocha Hassan Shehata kujihuzulu wadhifa wa kocha wa timu ya taifa baada ya kulazimishwa sare na bafana bafana mwishoni mwa juma.


Mafanikio ya HASSAN SHEHATA
2001-2003: alikiongoza kikosi cha umri chini ya miaka 20 kufuzu kombe la dunia mnamo mwaka 2003
• 2004: Alichaguliwa kuwa kocha wa timu ya wakubwa ya taifa
• 2006: alikiongoza kikosi cha misri kutwaa ubingwa wa Africa kwenye ardhi ya nyumbani kwa kuifunga ivory Coast kwa mikwaju ya penalti
• 2008: aliiongoza timu kuchukua ndoo ya pili mfululizo ya kombe la mataifa ya bara la afrika
• 2009: alipoteza nafasi ya kufuzu fainali za fifa za kombe la dunia mbele ya mahasimu Algeria
• 2010: aliiongoza Misri kuweka rekodi ya kuchukua mara tatu mfululizo kombe la mataifa ya Afrika kwa kuifunga Ghana kwenye fainali.
• 2011: anajihuzulu wadhifa wa kuifundisha timu ya Taifa baada ya kuanza vibaya kufuzu fainali za kombe la afrika mwaka wa 2012.

LA GALAXY KUMPA MAJUKUMU YA UKOCHA BECKHAM


MLS giants LA Galaxy wanajipanga kumpa majukumu ya ukocha David Beckham wakati mkataba wake wa kuichezea timu hiyo utakapokwisha.

Mkataba wa miaka mitano wa former Manchester United and England captain unaisha mwishoni mwa msimu wa ligi kuu ya Marekani na LA Galaxy wanategemea watampa Becks mkataba mwingine wa mwaka 1 utakaohusisha na na majukumu ya ukocha

Inaaminika pia Beckham atapewa nafasi ya kwenda kwa mkopo na timu ya Europe kati ya January na April mwaka 2012 kama atakubali mkataba huo mpya.


BAADA YA CHICHARITO SASA ERICK TORRES


Maaskauti wa kutafuta vipaji wa klabu ya Manchester United leo wapo jijini Toulon-France kumfuatilia mchezaji wa timu ya Chivas Erick Torres. Torres ambaye pia nae ni raia wa Mexico leo atakuwa uwanjani wakati timu yake ya Mexico itakapokuwa ikicheza na China. Man United wameonekana kuvutia na Torres ambaye amefunga magoli sita katika michezo 19 tangu aanza kuichezea Chivas in November kama mrithi wa Javier Hernandez Chicharito. Erick Torres kwa sasa yupo kwenye kikosi cha Mexico under 20 kwa ajili ya mashindano Toulon yanayofanyika Ufaransa.

PSV Eindhoven nao wameonyesha nia ya kumtaka mchezaji huyo, lakini wana nafasi nzuri hasa zaidi baada ya kuwa uhusiano wa karibu na Chivas baada ya kumsaini Chicharito kwa paundi million 6 mwezi 4 mwaka jana, Sir Alex Ferguson na Chief Scouter Jim Lawlor tayari wameshavutiwa na uwezo wa Torres.

CARLOS AKIHAMA MJINI MANCHESTER


Huku habari za kutaka kuhama Manchester City zikizidi kushamiri na kutawala katika vyombo vya habari, leo asubuhi magari ya kuhamisha vyombo yameonekana nje ya nyumba ya mshambuliaji wa Man City na Argentina yakihamisha vyombo, hali ambayo imewatia hofu mashabiki wa Eastlands.
Tevez jana alikaririwa akisema kuwa amezungumza na mmiliki wa Man City na Sheikh Mansour amemwachia mamlaka yote ya kuamua kubaki au kuondoka.

TURKISH FA - HIDDINK AMEFUNDISHA MECHI YAKE YA MWISHO JANA


Guus Hiddink yupo njani kuelekea Stamford Bridge baada ya shirikisho la soka la Uturuki kusema kuwa "amefundisha mechi yake ya mwisho".

The Dutchman amekuwa anatajwa kama ndio mrith sahihi wa Carlo Ancelloti aliyefukuzwa baada ya ligi kuu kuisha, na sasa inaonekana Hiddink mwenye umri wa miaka 64 anataka kurudi darajani kwa mujibu mabosi wa FA ya Uturuki .

A TFF source ameiambia BBC kuwa "Hiddink hawezi kusema hapana kwa Chelsea, na tunaamini anataka kuondoka."

Aliongeza: "Hiddink anasema ana mkataba lakini hizi ahadi hazina maisha, Chelsea wanatoa ofa nzuri vigumu kuikataa na shirikisho linaelewa hili suala.Hiddink anajisikia bado ana kazi ya kufanya pale,anataka kwenda pale na ligi na labda baadae Champions League. FA tunaamini kwamba Guus amefundisha mchezo wake wa mwisho jana ikiwa Chelsea italipa fidia ya kuvunja mkataba wake".

The former Holland and Real Madrid boss alishinda kombe la FA alipokuwa na Chelsea mwaka 2009 akiwa kocha wa muda wa timu hiyo.


With another win over Federer, Nadal builds own case as greatest

RAFAEL NADAL SASA AMEMFUNGA KWENYE FAINALI 4 KATI 6 ALIZOCHEZA
FEDERER,IKWA NI PAMOJA NA USHINDI WA FAINALI ZOTE 4 KWENYE
MASHINDANO YA WAZI YA UFARANSA.



KUSHINDA TAJI LAKE LA 6 LA MASHINDANO YA WAZI YA UFARANSA LILIKUA TUKIO KUBWA SANA KWENYE MAISHA YAKE.


A dozen thoughts on Rafael Nadal's 7-5, 7-6, 5-7, 6-1 victory over Roger Federer in Sunday's French Open final:
1. More than any shot, I'll remember the look on Nadal's face during the Spanish anthem, the tears on his father's face, and the sight of Nadal still on court a half-hour after the match's conclusion, draped in a Spanish flag and celebrating with a small but passionate group of countrymen. In any language, Nadal struggles to express the nature of his dominance; he's much better at revealing self-doubt. In triumph, the visuals say it best.
2. It was a match rich in historical significance, and John McEnroe captured the essence beforehand when he called it "the most important match of Roger's career." With a victory, he would own at least two championships in each of the four majors, and it would be difficult to stake a claim for any other player as the greatest player of all time.
3. Instead, Nadal stays in that conversation with his 10th major title and more evidence than ever before. As Mary Carillo said during the NBC telecast, "Nadal's going for his 17th win against Federer (against just eight losses). The greatest player of all time can't beat the greatest player of his own time?"

Bosh delivers to help Heat reclaim lead in drama-filled Finals

DWAYNE WADE ALIKUA NA MCHEZO MZURI BAADA YA KUFUNGA POINTI 29

CHRIS BOSH ALIFUNGA MTUPO MUHIMU ZIKIWA ZIMEBAKI SEC 39.

DALLAS -- The Mavs will take this matchup every time. A one-eyed Chris Bosh gets a single shot to win Game 3, after which Dirk Nowitzki is given two chances to reply. That Miami won 88-86 to take a 2-1 series lead is why this series has a chance to become one of the best in modern times. Little is predictable, and nothing is without drama.
Bosh had made 15 of 52 field goals in these Finals, and all of them meant less than the 16-footer that came in the final minute Sunday. Never mind that the winner of Game 3 in these situations had gone on to win all 11 NBA Finals under the current 2-3-2 format. Neither Bosh nor James was thinking about any of the back-story numbers as the shot went up from the left elbow as if Bosh had made a career of enthusiastically mimicking Kobe Bryant.

Ivory Coast qualify, Egypt hopes dashed

mohamed Zinan alibanwa vilivyo na ngome ya Bafana Bafana

Ivory Coast booked their place at next year's African Nations Cup with a 6-2 thrashing of Benin, their fourth win in four games
The Elephants cruised into a 3-0 lead inside half an hour with goals from Didier Ya Konan, Didier Drogba and Gervinho, but they were rocked as Stephane Sessegnon replied with two of his own, including one from the spot.
Drogba then netted a spot-kick of his own, Gervinho also grabbed a second and by the time the Ivorians added a late sixth, their place in Gabon and Equitorial Guinea was assured.
Burundi went second in the group with their first win of the campaign, 3-1 over Rwanda. Seremani Ndikumana opened the scoring for the hosts and, though Bokota Labama levelled, the points were made safe by further strikes from Saido Ntibazonkiza and Papy Saty.
Reigning African Nations Cup champions Egypt's qualification chances were virtually extinguished as they were held to a goalless draw by South Africa.
The draw left Egypt with just two points from four Group G matches and four points off second place with two matches remaining - and, with only two best runners-up spots available, a mountian to climb.
Sierra Leone claimed their first victory in Group G, edging out Niger 1-0. Ibrahim Bangura scored the only goal five minutes into the second half to move the hosts within three points of pool leaders South Africa.
Guinea extended their lead at the top of Group B to three points as they hammered Madagascar 4-1. Omar Kalabane and Djibril Bangoura but the hosts into a two goal lead and, though Arsene Faed pulled one back, Mamadou Diallo and Bobo Balde made the points safe.
Second-placed Nigeria could only draw 2-2 at Ethiopia, despite taking the lead through Ikechukwu Uche. Saladin Seid levelled just before the break, then struck again five minutes into the second period, meaning Nigeria needed a late leveller from captain Joseph Yobo to rescue a point.
Issam Jemaa scored a hat-trick as Tunisia went second in Group K with a 5-0 win over Chad. Tunisia also had goals from Ousemma Darragi and Aymen Abdelnour, while Chad had Didier Mbayi dismissed in the first half, allowing the hosts to leapfrog Malawi in the table.
Malawi played out a goalless draw at group leaders Botswana, who had already qualified, while Francis Doe scored the only goal as Group A leaders Cape Verde Islands slipped to a 1-0 defeat at bottom side Liberia.
There was also a surprise in the group's other game as two goals from Knowledge Musona, including a last-minute penalty, lifted Zimbabwe to a 2-1 win over second-placed Mali.
Angola leapfrogged Kenya into second in Group J with a 1-0 win, Alberto Manucho scoring the winner five minutes before the end.
Congo DR had to come from behind to beat Group E whipping boys Mauritius 2-1, Herita Ilunga and Kabangu Mulota scoring to cancel out Jonathan Bru's early penalty.
Alaa Eldin Yousif scored the winner five minutes from time as Sudan claimed a 2-1 victory in Swaziland which took them back level on points with Ghana at the top of Group I.
In Group D, Morocco gave their qualifying hopes a welcome boost with a 4-0 rout of Algeria. Having lost 1-0 to the Algerians in March, Morocco turned the tables on their rivals with Mehdi Benatia, Marouane Chamakh, Youssouf Hadji and Oussama Assaidi all on the scoresheet.
Central African Republic beat Tanzania 2-1 to move back level on points with Morocco at the top of Group D.
Libya, knocked off top spot in Group C by Zambia on Saturday, could have returned to the summit with a win in Comoros, but they were held to a 1-1 draw.

Sunday, June 5, 2011

SOKA YAIPITA NBA KWA UTAJIRI


Ilikuwa haiwezekani kwa kipindi kirefu lakini sasa rasmi mchezo wa soka umekuwa ndio mchezo tajiri kuliko yote duniani kwa mujibu wa Global Sports Salaries Survey, na shukrani ziende kwa Barcelona and Real Madrid.
Vidume hao wa Hispania ndio vilabu vinavyolipa mishahara mikubwa katika ulimwengu wa michezo duniani na kuzipita ligi za NBA, Basktball na Baseball za Marekani.
Barca wanalipa kwa wastani wa paundi million 4.94 kwa mwaka na paundi 95,081 kwa wiki, hivyo kuwa ndio ndio timu inayolipa mishahara mikubwa kuliko zote duniani ikifuatia na Real Madrid na New York Yank Yankees.
Ligi ya Uingereza imeendelea kuwa Ligi tajiri kuliko zote za mpira wa miguu duniani huku Chelsea na Manchester City zikiwaongoza Man U, Liverpool na Arsenal.

TOP 10 YA TIMU ZINAZOLIPA MISHAHARA MIKUBWA

1) Barcelona
League: La Liga
Average annual pay: £4,944,211
Average weekly pay: £95,081

2) Real Madrid
League: La Liga
Average annual pay: £4,597,895
Average weekly pay: £88,421

3) New York Yankees
League: MLB
Average annual pay: £4,222,688
Average weekly pay: £81,206

4) LA Lakers
League: NBA
Average annual pay: £4,087,931
Average weekly pay: £78,614

5) Orlando Magic
League: NBA
Average annual pay: £3,979,446
Average weekly pay: £76,528

6) Chelsea
League: Premier League
Average annual pay: £3,762,963
Average weekly pay: £72,365

7) Inter Milan
League: Serie A
Average annual pay: £3,749,777
Average weekly pay: £72,111

8) Boston Red Sox
League: MLB
Average annual pay: £3,744,502
Average weekly pay: £72,010

9) Denver Nuggets
League: NBA
Average annual pay: £3,743,859
Average weekly pay: £71,997

10) Manchester City
League: Premier League
Average annual pay: £3,664,741
Average weekly pay: £70,476

ARSHAVIN - FABREGAS AMETUAGA


Andrey Arshavin anahofu kuwa Cesc Fabregas anaondoka Arsenal baada ya kiungo wa Hispania kuwapa zawadi za kuagana na wachezaji wenzake wa Gunners.
Fabregas ambaye mwaka jana aliomba kuuzwa Barcelona lakini ikashindikana amekuwa ni hot cake katika soko la uhamisho msimu huu huku timu kama Real Madrid, Inter Milan na Barcelona zikionyesha nia ya kutaka huduma zake.
Arshavin last week aliweka wazi kuwa anataka kubaki Emirates anasema kuwa ni vigumu kwa Fabregas kubaki Arsenal msimu ujao, "Fabregas mwishoni mwa msimu alitupa zawadi ambazo nilimuuliza ni kwa ajili ya kuagana lakini alishindwa ni kunijibu, na nafikiri kuna kitu nyuma ya ukimya ule".- Arshavin

Wakati taarifa kutoka Stamford Bridge zinasema kuwa mmiliki na tajiri wa Chelsea Roman Abromavich yupo tayari kulipa pesa ambayo Arsenal wanataka ili aweze kumleta Fabregas na kuwapiku Real Madrid, Barcelona na Inter ambao nao wanasaka saini wa kiungo huyo zao la academy ya Barca inayojulikana kama La Masia.

UTAPATA NAFASI YA KUCHEZA MAN U? - TONY MORLEY AMUULIZA YOUNG


Shujaa wa Aston Villa Tony Morley amezishangaa hekima za Ashley Young juu ya kutaka kwake kujiunga na Manchester United.

United ndio wanaopewa nafasi kubwa ya kumnyakua winga huyo mbele ya mahasimu wao Liverpool, lakini Morley ambaye aliwezesha Villa kunyakua kombe la European Cup mwaka 1982 ana wasiwasi kama Young atapata nafasi ya kucheza ndani ya kikosi cha Fergie.

"Nafahamu anataka kucheza katika Champions League, lakini ndani ya kikosi cha United atapata nafasi ya kucheza mara kwa mara? Naamini anataka kuwa moja ya wachezaji ndani ndani ya United lakini sidhani kama atatpata nafasi hiyo."

"Mfano mzuri ni James Milner si ameuona? ndio hali halisi atakayokutana nayo Young.Milner anaweza kusema ameshinda FA Cup lakini yeye alikuwa Benchi ndani ya kikosi cha Manchester City.Young ni mzuri sana lakini na uwezo mkubwa lakini hawezi kupata nafasi kubwa ya kucheza Old Trafford, atatakiwa kugombea nafsi dhidi ya Nani na Antonio Valencia hapo unaona ugumu wake". alisema Tony Morley


Tevez: KAMWE SITAREJEA MAN CITY


Carlos Tevez AMEDAI AMEAMBIWA YUPO HURU KUIHAMA KLABU YA MANCHESTER CITY,NA AKASEMA KAMWE HATAJIUNGA TENA NA KIKOSI HICHO CHA MATAJILI WA JIJI LA MANCHESTER.

NAONDOKA WEST HAM - SCOT PARKER


Scott Parker amethibitisha kuwa atamwambia Sam Allardyce kuwa anataka kuondoka West Ham ili aendelee kupata nafasi katika kikosi cha England baada ya kurudi mapumzikoni.

Parker amesema ataongea kocha huyo mpya wa wagonga nyundo London kuongelea mstakabali wake katika timu hiyo, mazungumzo ambayo anaamini yatakuwa katika muelekeo wa kurudi kwenye ligi kuu kama anataka kuitunza nafasi yake katika cha Three Lions.

"Kwenye EPL ndio kila mchezaji angependa kucheza na sipo tofauti, najua Big Sam atanipigia simu na tutaongea, nataka kuendelea kupigania nafasi yangu katika England lakini siwezi kufanya hivyo kama sitocheza EPL msimu ujao."

Parker ambaye ndiye Footballer of the Year wa England anatakiwa na timu za Tottenham, Liverpool na Arsenal.



JEZI MPYA ZA TIMU KUBWA ULAYA 2011/12

MANCHESTER UNITED AWAY KIT
CHELSEA AWAY KIT
CHELSEA HOME KIT
BAYERN MUNCHEN HOME KIT
BARCELONA AWAY KIT

ARSENAL HOME KIT
ARSENAL AWAY KIT

AC MILAN HOME KIT

INTER MILAN HOME KIT

DAVID VILLA ATAJA KIKOSI CHAKE BORA


Mshambuliaji wa Barca na Spain ametaja kikosi chake bora ambacho kinaundwa na wachezaji ambao amewahi kucheza nao timu moja na wale ambao amewahi kucheza dhidi yao, lakini cha ajabu na yeye mwenyewe amejiweka ndani ya kikosi hicho.

Goalkeeper Iker Casillas: Hakuna kusita linapokuja suala la kutaja jina la kwanza katika kikosi cha wachezaji ambao nimecheza nao timu moja au kupambana nao.Kwangu Iker Casillas ni golikipa bora duniani.Nimecheza nae timu moja, nimecheza dhidi yake na nimemshafunga lakini ni vigumu sana kumtungua.

Right-back Daniel Alves: Alves amekuwa na kipindi kizuri sana na nafikiri ndio beki wa kulia muhimu kuliko wote katika ligi ya Hispania, na sio kwamba ni beki tu yupo sehemu zote za uwanja.Watu wengine wanamzungumzia sasa kipindi yupo hapa Barca na wengine wanashangazwa na uwezo wake lakini alikuwa bora tangu kipindi yupo Sevilla.

Centre-back Rio Ferdinand Manchester [United] na Barcelona ndio bora ulaya kwa sasa, na Ferdinand ni kiongozi mzuri na beki bora, namkubali sana.Nimecheza dhidi yake kabla ya fainali ya Champions League, ana nguvu na anazuia vizuri.Nilifunga dhidi ya Manchester lakini haikuwa kazi rahisi na nilip[ofunga dhidi ya England yeye akiwa hacheza na nikagundua tofauti.

Centre-back Pepe: Pepe yupo vizuri mno na ni vigumu sana kucheza dhidi yake, ndio beki wa wakati ambaye nilihangaika mno kucheza dhidi yake.Ni mwepesi na nguvu sana.

Left-back Paolo Maldini Watu wengi huwa wanamchagua Paolo Maldini na mimi nakubaliana nao.Amefanya kila kitu katika kipindi chake cha uchezaji, ni moja ya wachezaji wazuri katika historia ya soka na anawakilisha kila kitu kizuri katika soka.

Midfielder Xavi: Ni raha sana kucheza na mtu ambaye anajua kucheza soka la kiufundi kama Xavi.Alikuwa ndio mchezaji bora wa EURO 2008, tulipochukua kombe hilo, ndio mtu anayeifanya Barcelona kuwa timu bora kwa sasa.Hapotezi mpira ni mfano bora ambao wote tunapaswa kuufuata.

Midfielder Andres Iniesta Kwa pamoja na Xavi, Iniesta ni wauaji.Wanafanya mambo yao vizuri na kwenye timu ukiwa na wale jamaa wawili katikati ya uwanja hakuna kitachoharibika.Huwezi kuwatenganisha Iniesta na Xavi kwasababu mchezo wao unaenda pamoja.Hawa ndio pea ya viungo bora ambao nimewahi kuwaona kwenye soka.

Midfielder Steven Gerrard Namkubali na kumpenda sana Steven Gerrard. Ni mtu ambaye namkubali kiukweli.Ana kila kitu kama kiungo.Napenda jinsi anavyocheza, ni kiongozi mzuri sana uwanjani, anafunga magoli, anapiga pasi nzuri, anakimbia vizuri, anakaba na ana nguvu sana.Kwa kifupi Gerro ni mchezaji aliyekamilika.

Striker Lionel Messi: Kuchagua watu mbele ni rahisi, Leo Messi upande mmoja na Cristiano Ronaldo upande mwingine.Nachagua formation ya 4-3-3 na nafikiri hakuna wa kubisha kuhusu watu hawa wawili kwa sababu ndio wachezaji bora kabisa kwa sasa duniani.Cristiano ni mchezaj mzuri lakini nitamchagua Messi kama mchezaji bora wa dunia kwa sababu vitu anavyofanya sijawahi ushuhudia katika ulimwengu wa soka.

Striker Cristiano Ronaldo Pamoja na Messi wanaweza kusababisha maafa kwa timu pinzani.Cristiano ana nguvu sana na uwezo mkubwa sana wa kucheza mipira ya faulo, anafunga kwa mashuti ya mbali na hata vichwa kwa kifupi anatisha.Vitu alivyovifanya akiwa na Manchester vinampa nafasi ya kuwa bora na sasa akiwa Real Madridi anaonyesha bado hamu ya ushindi.

Striker David Villa: Sasa mshambuliaji wa katikati, nani nimchague? aaaaaaa labda mimi, nimewahi kuwa mfungaji bora wa EURO, nafikiri ni kigezo kizuri.Siwezi kujenga kikosi kizuri kama hiki halafu mimi nisiwemo.Nafikiria nafasi za kufunga nitakazozipata nikicheza mbele ya Xavi, Iniesta, Gerrard, Messi na Ronaldo.

Saturday, June 4, 2011

ENGLAND YATOKA SARE NA USWISI NA LAMPARD AVUNJA REKODI


Timu ya taifa ya England imetoka sare na Uswisi katika michuano ya kugombea kucheza fainali za kombe la mataifa ya ulaya zitakozofanyika mwakani nchini Ukraine huku kiungo Frank Lampard akivunja rekodi kwa kuwa mchezaji aliyefunga magoli mengi kupitia mikwaju ya penalti akiwapita Alan Shearer na Rob Fowler.

Lampard ambaye alianza kuichezea England in October 10, 1999 dhidi ya Belgium akiwa na miaka 21 na siku 111, mpaka sasa ameshaitumikia Three Lions katika mechi 86, kati ya hizo 36 ni za kirafiki, kufuzu World Cup 20, World Cup finals 9, kufuzu EURO 15, EURO finals 4, michuano mingine 2.Amefunga magoli 22, 7 KATI YA HAYO AMETUPIA NYAVUNI KUPITIA MIKWAJU YA PENATI.

Amecheza jumla ya dakika 6385, amepata kadi 3 za njano, hajawahi kupata red card, goli lake la kwanza alifunga dhidi ya Croatia, amewahi kuwa kapteni mara 1 katika mechi dhidi ya Denmark.


TAIFA STARS YAWASILI SALAMA BANGUI



Timu imefika salama hapa Bangui, ambapo imefikia hoteli ya Hotel De Centre mechi inachezwa kesho saa 9 kwa saa za hapa ambapo nyumbani ni saa 11 kamili, kocha Jan Poulsen amesema "Lengo ni kushinda", na atatumia mfumo ule ule wa uchezaji ambao tayari wachezaji wake wameuzoea, leo timu imefanya mazoezi katika uwanja utakaotumika kwa mechi na muda ule ule ambapo mechi itaanza

NAIPENDA klabu ya Simba kiasili-MWANA FA











NAIPENDA klabu ya Simba kiasili, sitoweza kueleza ilikuaje nikaanza kuwa na mapenzi na timu hii”



Ndivyo anavyoanza kusema msanii Hamees Mwinjuma ‘MwanaFA’ kuhusiana na mapenzi yake kwa klabu ya Simba inayofahamika pia kama Wekundu wa Msimbazi.



Anasema anapendezwa na Simba kutokana uwezo mkubwa wa kucheza soka walionao wachezaji wengi wa timu hiyo, ambao baadhi yao ni marafiki zake.



Licha ya kuwa ni shabiki mkubwa wa Simba na msanii nyota wa Bongo Fleva, MwanaFA ni rafiki mkubwa wa wachezaji Juma Kaseja, Credo Mwaipopo na Athuman Idd ‘Chuji'. Pamoja na yote hayo, msanii huyu anavutiwa zaidi na uchezaji wa Kaseja.



“Kaseja, Credo na Chuji ni marafiki zangu wa ukweli na ndo maana mara kwa mara huwa nawatembelea nyumbani na hata wanapokua kambini,



“Nilianza kuingia uwanjani katika kila mechi ya Taifa Stars Kaseja aliporudishwa langoni, namuamini sana kipa huyu pindi anapowekwa katika nafasi yake,”