Search This Blog

Saturday, June 4, 2011

TAIFA STARS YAWASILI SALAMA BANGUI



Timu imefika salama hapa Bangui, ambapo imefikia hoteli ya Hotel De Centre mechi inachezwa kesho saa 9 kwa saa za hapa ambapo nyumbani ni saa 11 kamili, kocha Jan Poulsen amesema "Lengo ni kushinda", na atatumia mfumo ule ule wa uchezaji ambao tayari wachezaji wake wameuzoea, leo timu imefanya mazoezi katika uwanja utakaotumika kwa mechi na muda ule ule ambapo mechi itaanza

No comments:

Post a Comment