Search This Blog

Monday, March 31, 2014

BUKOBA VETERAN WAFANYA TUKIO LA KIHISTORIA BUKOBA LEO, WAZINDUA KATIBA YAO NA KUPOKEA ZAWADI YA JEZI KUTOKA NCHINI UJERUMANI. CHINI YA UDHAMINI WA KINYWAJI MARIDADI CLIMAX.

Mgeni Rasmi Bi. Sakina Sinda wakili wa Serikali Mfawidhi Mkoa wa Kagera akipokea Katiba Meza kuu

Katiba...Ambayo itawaongoza  Katiba hii hapa........Makofi!!!Wana Veteran wakisikiliza neno kwa makini leo mchana kwenye Ukumbi wa Lina's Nigh Club.
Wana Bukoba Veteran wakiwa kwenye Ukumbi wa Lina's Night Club leo
kulia ni Bw. Jamco, a.k.a Jamal Karumuna akikamatilia Climax..
Super Mkude!! na Leo leo wote ndani wakikandamiza Kinywaji kisichokuwa na kirevi ClimaxChini ya Uzamini wa Kinywaji maridadi kisicho na kilevi cha Climax. Kinywaji cha wanaojipenda na kuthamini Maisha. Kutoka Kampuni ya Mabibo beer wines and spirits.
(Kushoto) ni Fr. Vitus Mrosso, Afisa Utamaduni Bw. Rugeiyamu, Fr. Gerard Rugumila, na Mgeni Rasmi Bi. Sakina Sinda wakili wa Serikali Mfawidhi Mkoa wa Kagera wakiwa meza kuu.
Wanachama wa Bukoba Veteran kwa furaha wakisikiliza neno kutoka meza kuuKiongozi wa Soka Tanzania Ngazi ya TFF Jumanne Chama Umande nae alikuwepo na hapa alikuwa akitoa neno kiujumla kuhusu mpira na Katiba hiyo ya Klabu ya Bukoba Veteran.
Afisa Utamaduni Manispaa Bukoba Bw. Rugeiyamu akitoa neno.Fr.Vitus Mrosso akisifia kinywaji cha Climax na akiwashauri wana Veteran kukitumia kwa wingi kwani hakina kilevi  na yeye ndicho anachotumia kwa sasa, kwani ni Herbal Energy drinkBw. Ernest Nyambo Mwanachama wa Bukoba Veteran (kulia) akitoa neno
Mh. Matete Mwana Bukoba Veteran akitoa neno, Ambapo wao ndio waliofanikisha kwa asilimia kubwa kwa Katiba hiyo kupatikana.Dada mpambanaji wa Bukoba Veteran Bi. Redempta Mwebesa nae akitoa neno 
Timu ya Mainz 05 ya Ujeruman sasa ni Marafiki zao Bukoba Veteran, Hapa ni Fr. Gerard Rugumila (kushoto) akitoa jezi hizo kutoka Nchini Ujerumani, Zikiwa ni kutoka kwa Timu ya Mainz 05 ilianza mwaka 1905 huko Ujerumani na iko Ligi kuu kwa Muda mrefu sasa, Kupitia kwa rafiki yake Willy Kiroyera Fr. Gerard Rugumila amewapatia Bukuoba Veterans Jezi 22 leo kwenye kwenye sherehe hiyo ambayo iliambatana na kupata KATIBA mpya ya Klabu hiyo ambayo ilidhaminiwa na Kampuni ya Mabibo beer wines and spirits kupitia kinywaji chake maridadi kisicho na kilevi cha Climax. Kinywaji cha wanaojipenda na kuthamini Maisha.
Kiongozi Bw. Mkude akipokea jezi
Ndg. Mwinyi akipokea jezi kwa niaba ya Bukoba Veteran

 Fr. Gerard Rugumila akitoa neno baada ya kukabidhi jezi hizoBw. Sunday (kulia) akipitia kwa makini kuuona huo Uzi kutoka UjerumaniMkurugenzi na katibu wake.Fr. Vitus Mrosso (kulia) na Bw. Willy O. Ruta wakisikiliza neno kuhusu Katiba hiyo

1 comment: