ronaldo atashinda kwa vile yeye kama yeye amefanya makubwa kuliko rebery ambaye amefanya vizuri kwa sababu timu ilikuwa kwenye kiwango cha hatari...messi hawezi kupata kwani hakuna jipya alilofanya..mfanom mzuri ronaldo akikosa realmadri au timu ya taifa utaona pengo kubwa kuliko ribery..ronaldo kaivusha ureno mpaka leo mtaan wanamuimba kama shujaaa wao
ronaldo atashinda kwa vile yeye kama yeye amefanya makubwa kuliko rebery ambaye amefanya vizuri kwa sababu timu ilikuwa kwenye kiwango cha hatari...messi hawezi kupata kwani hakuna jipya alilofanya..mfanom mzuri ronaldo akikosa realmadri au timu ya taifa utaona pengo kubwa kuliko ribery..ronaldo kaivusha ureno mpaka leo mtaan wanamuimba kama shujaaa wao
ReplyDeleteRonaldo, ronaldo, nadhan ndiye anastahili kwakuwa ana vigezo vyote! Asibweteke lakin!
ReplyDelete