Search This Blog

Saturday, June 30, 2012

YANGA WAFANYA DUA 'HITMA" YA KUOMBEA WALIOTANGULIA AKHERA

Waungwana baada ya kisomo wakisubiri sadaka

Sheikh Mussa kulia, kushoto ni Katibu wake Almasi lailly Mussa na nyuma yao ni mwanachama wa Yanga, Mustafa Mohamed, Katibu wa Tawi la Kurasini

PHOTO CREDITS: Bongostaz.blogspot.com

Madega kulia, akiwa na Sanga kushoto kwake

Waungwana wakisubiri sadaka baada ya dua

Katibu wa Yanga, Celestine Mwesigwa kulia, Madega na Sanga

Sheikh Mussa katikati, kulia Juma Mnonji mwanachama wa Simba, na kushoto Katibu wake, Almasi

Waungwana baada ya dua wakisubiri sadaka 

Akina mama wakichambua mchele


Akina mama wakichambua mchele

Eneo la kusomea ibada ya hitima
Waungwana tayari kwa kisomo cha hitima


Mwanachama maarufu wa Simba, Mzee Juma Mnonji wa tatu kutoka kushoto akiwa kwenye hitima kama mmoja wa wageni waalikwa
Masufuria jikoni


Jamaa anatengeneza viungo
Ng'ombe anaiva

PHOTOC CREDITS: BONGOSTAZ BLOG

1 comment:

  1. hahahaa yanga nimeipenda hii ila sijamuona yule mkeleketwa wenu mzalendo halisi wa yanga,ila hilo sufuria

    ReplyDelete