Search This Blog

Thursday, January 2, 2014

SOLSKJAER RASMI KOCHA MPYA WA CARDIFF CITY.

 Klabu ya Cardiff City imemtangaza rasmi mshambuliaji wa zamani wa Manchester Utd Ole Gunnar Solskjaer kuwa meneja wao mpya.
Solskjaer ambaye ni raia wa Norway hapo awali alikuwa kocha wa timu ya Molde aliyoiongoza kutwaa mataji mawili ya ligi kuu ya Norway.

No comments:

Post a Comment