Search This Blog

Wednesday, December 11, 2013

JUVENTUS YAAGA LIGI YA MABINGWA BARANI ULAYA



Juventus ya Italia imetolewa kwenye michuano ya ligi ya mabingwa katika ngazi ya vilabu barani ulaya baada ya kufungwa bao 1-0,bao hilo pekee limewekwa kambani na kiungo raia wa Uholanzi Wesley Sneijder.

Mchezo huo ilibidi ufanyike tena hii leo baada ya jana kusimamishwa kutokana na hali ya hewa.

No comments:

Post a Comment