Search This Blog

Wednesday, December 11, 2013

RONALDO AWEKA REKODI YA MABAO UEFA CHAMPIONS LEAGUE!



MshambuliajiCristiano Ronaldo usiku wa jana alifunga bao moja wakati timu yake ya Real Madrid ilipopata ushindi wa mabao 2-0 ugenini dhidi ya FC Copenhagen.Bao hilo alilofunga Ronaldo lilikuwa la 9 na lilimwezesha kuweka rekodi mpya ya mabao kwenye michuano hiyo ya Uefa Champions League kwenye hatua ya makundi.
Ronaldo pia kwenye mchezo huo alikosa mkwaju wa penati.

No comments:

Post a Comment