Search This Blog

Wednesday, November 6, 2013

SIMBA YAITANDIKA ASHANTI UTD MABAO 4-2.

Mchezo wa ligi kuu ya Vodacom kati ya Simba na Ashanti UTD umemalizika hivi punde kwa Simba kupata ushindi wa mabao 4-2,mchezo huo ulipigwa kwenye dimba la uwanja wa taifa jijini Dar Es Salaam.
mabao ya Simba yamefungwa na Betram Mwombeki ( 2),Hamis Tambwe na Ramadhan Singano wakati yale ya Ashanti Utd yakiwekwa kimiani na Mkongwe Said Maulid na Hussein Said.

Taarifa zaidi zitafata.......

No comments:

Post a Comment