Search This Blog

Friday, November 8, 2013

MASHABIKI WA MBEYA CITY WATOA MISAADA HOSPITALI YA AMANA

 Mwenyekiti  wa Mashabiki wa Mbeya City, Wille Mastala akikabidhi Msaada wa Sabuni Sukar na Poda  kwa Muunguzi Mkuu  Agnes Mwanga (kulia) kwa ajili ya akina mama kwenye Hosptali Amana jijini Dar es Salaam jana. Picha na John Dande
Baadhi ya mashabiki wa Timu ya Mbeya City wakiwa wamebeba Baadhi ya Vitu kwa ajili ya  Msaada wa wagonjwa wa kina mama wa Amana Hosptali jijini Dar es Salaa jana

1 comment:

  1. Huu ni mfano mzuri big Mashabiki wa Mbeya City

    ReplyDelete