Search This Blog

Thursday, November 7, 2013

NYOTA WA CHELSEA WALIPOKUTANA NA RAFAEL NADAL.



                                  Rafael Nadal akiwa kwenye picha na  Willian, Oscar na Ramires.


Hapo jana usiku mara tu baada ya mchezo baina ya Chelsea na Schalke mchezaji nyota wa mchezo wa Tenisi toka nchini Hispania Rafael Nadal aliingia ndani ya vyumba vya kubadilishia nguo na kupiga picha na baadhi ya wachezaji wa Chelsea.

No comments:

Post a Comment