Search This Blog

Friday, November 8, 2013

NUKUU YA LEO!



“Nilikuwa namdai fedha zangu Chang’walu na wala sikumkimbiza kwa ajili ya kumpiga”
-Kauli ya kiungo wa Yanga, Athuman Idd ‘Chuji’ alipohojiwa kwa madai ya kutaka kuwapiga waamuzi katika pambano la Yanga dhidi ya African Lyon.

No comments:

Post a Comment