Katibu mkuu wa
chama cha soka nchini Hispania (RFEF), Jorge Perez , amekiambia kituo cha redio
cha Cadena Cope cha nchini Hispania kuwa
kocha wa timu ya taifa ya nchi hiyo Vicente del Bosque atasaini mkataba mpya wa
kuendelea kuifundisha timu hityo kabla ya kuanza kwa fainali za kombe la dunia
mwakani..
footballespana @footballespana_
‘Del Bosque renewal before Brazil’ football-espana.net.


No comments:
Post a Comment