Search This Blog

Thursday, October 17, 2013

TOP 5 YA WACHEZAJI WANAOONGOZA KUJIANGUSHA KWENYE EPL


Kujiangusha au kudanganya mwamuzi ili mchezaji apate nafasi ya kupiga free kick au penalty ni kitu ambacho kinaonekana sana kwenye mchezo wa soka kwa miaka ya sasa . Kila mtu amekipa kitendo hiki jina la “kujifanyisha au hata kuongopa” lakini ukwel ni kwamba kwenye mchezo wa soka hii leo wachezaji wengi kwa makusudi yao hujiangusha  na ifuatayo ni orodha ya wachezaji wanaongoza katika hili.

No comments:

Post a Comment