Search This Blog

Friday, October 4, 2013

KAMPENI YA NANI MTANI JEMBE SIMBA NA YANGA YAZINDULIWA JIJINI ARUSHA.

 Mfanyakazi wa TBL Arusha, Christopher Kimonge ambaye ni shabiki wa Simba akishiriki kupiga vuvuzela katika hafla ndogo ya kutambulisha kampeni ya Nani Mtani Jembe kwa wafanyakazi hao kabla ya uzinduzi mkubwa utakaofanyika jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki. Kampeni hiyo itawashindanisha mashabiki wa Simba na Yanga nchi nzima kwa muda wa miezi miwili kupitia matukio mbalimbali (Picha: Mpiga Picha Wetu, Arusha)

 Mfanyakazi wa Kampuni ya  Bia Tanzania (TBL) kiwanda cha Arusha, Idrisa Athumani akishiriki katika shindano la kupiga danadana katika hafla ndogo ya kutambulisha kampeni ya Nani Mtani Jembe kwa wafanyakazi hao kabla ya uzinduzi mkubwa utakaofanyika jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki. Kampeni hiyo itawashindanisha mashabiki wa Simba na Yanga nchi nzima kwa muda wa miezi miwili kupitia matukio mbalimbali. (Picha: Mpiga Picha Wetu, Arusha)

No comments:

Post a Comment