Search This Blog

Friday, October 4, 2013

UTUMISHI YAIKUNG'UTA MAHAKAMA,KUCHEZA FAINALI NA IKULU SHIMIWI.

 
Timu ya Mpira wa Pete ya Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma .
 Timu ya Mpira wa Pete ya Mahakama kabla ya kuanza mechi kati yake na Timu ya Mpira wa Pete ya Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma katika nusu fainali za mashindano ya SHIMIWI mjini Dodoma leo .
 Timu ya mpira wa pete ya Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma ikiomba dua kabla ya kuanza kwa mpambano dhidi yake na timu ya mpira wa Pete ya Mahakama kwenye nusu fainali za mashindano ya SHIMIWI mjini Dodoma mapema
Mchezaji wa timu ya mpira wa pete ya Utumishi Perice Makau (GS)(wa pili kutoka kushoto) akijaribu kutoa pasi wakati wa nusu fainali za mashindano ya SHIMIWI kati ya timu yake na timu ya Mahakama Mjini Dodoma mapema leo.Mbele yake ni wachezaji wa Mahakama Sharifa (WD),Ruth (GD) na Joyce Mfyuji (GK) wakijaribu kukaba mpira usitoke.

No comments:

Post a Comment