Search This Blog

Friday, September 20, 2013

FURSA KWA VIJANA YAPOKELEWA KWA SHANGWA BUKOBA LEO HII




Mdau wa michezo na mwanamichezo wa sports extra wa Clouds Fm (kushoto) Bw. Shaffih Dauda akiteta jambo na Mrisho Mpoto na (katikati) ni Ruge Mtahaba Mkurugenzi wa Vipindi,Uzalishaji na Mipango wa Clouds Group mapema na kabla ya semina kuanza kwenye ukumbi wa Lina's Club Bukoba mjini.
Mghani mahiri wa mashairi hapa nchini Mrisho Mpoto akizungumza kwa msisitizo,masuala ya fursa mbalimbali zinazopatikana katika suala la Ujasiliamali mapema mchana wa leo kwenye Ukumbi wa Lina's Night Club Bukoba Mjini.Semina hiyo iliyoandaliwa na Clouds Media Group,imefadhiriwa na shirika la NSSF;Zantel,MaxMalipo, Lake Oil.
Ruge Mtahaba Mkurugenzi wa Vipindi,Uzalishaji na Mipango wa Clouds Group akizungumza na Vijana waliojitokeza kwa wingi kwenye Ukumbi wa Lina's Club kuhusu swala zima la Fursa mbalimbali.Semina hiyo iliyoandaliwa na Clouds Media Group,imefadhiriwa na shirika la NSSF;Zantel,MaxMalipo, Lake Oil.
Bw. Willy O.Ruta wa Kiroyera Tours kushoto alikuwa mmoja wa wageni maalum waliokuwa kwenye meza kuu.
Baadhi ya wakazi wa Bukoba wakiwa kwenye semina ya Fursa ndani ya ukumbi Lina's  mapema leo, ambapo mada mbalimbali zimezungumzwa, ikiwemo mambo ya ujasiliamali kwa vijana, mikopo, akiba sambamba na namna ya kujiongezea thamani ya fursa unayoipata.Semina hiyo iliyoandaliwa na Clouds Media Group,imefadhiriwa na shirika la NSSF;Zantel,MaxMalipo, Lake Oil.
Baadhi ya wakazi wa Bukoba wakiwa kwenye semina ya Fursa ndani ya ukumbi Lina's  mapema leo, ambapo mada mbalimbali zimezungumzwa, ikiwemo mambo ya ujasiliamali kwa vijana, mikopo, akiba sambamba na namna ya kujiongezea thamani ya fursa unayoipata.
Baadhi ya wakazi wa Bukoba wakiwa kwenye semina ya Fursa ndani ya ukumbi Lina's  mapema leo, ambapo mada mbalimbali zimezungumzwa, ikiwemo mambo ya ujasiliamali kwa vijana, mikopo, akiba sambamba na namna ya kujiongezea thamani ya fursa unayoipata.
Baadhi ya wakazi wa Bukoba wakiwa kwenye semina ya Fursa ndani ya ukumbi Lina's  mapema leo, ambapo mada mbalimbali zimezungumzwa, ikiwemo mambo ya ujasiliamali kwa vijana, mikopo, akiba sambamba na namna ya kujiongezea thamani ya fursa unayoipata.kulia ni Bw. Mbonde nae alikuwepo mjini hapa Bukoba akizungumza kwa msisitizo,masuala ya fursa mbalimbali zinazopatikana katika suala la Ujasiliamali mapema mchana wa leo kwenye Ukumbi wa Lina's Night Club Bukoba Mjini.
Ruge Mtahaba Mkurugenzi wa Vipindi,Uzalishaji na Mipango wa Clouds Group kwenye meza kuu akisikiliza kwa makini hoja za mchangiaji
Bw. Mbonde kushoto akimpa mic mmoja wa vijana kuuliza swali kwa viongozi kuhusu swala zima la Semina ya Fursa kwa Vijana kwenye ukumbi wa Lina's mjini Bukoba.
Maswali yakiendelea kuulizwa
Shaffih Dauda ,akizungumza mbele ya washiriki wa Semina ya Fursa ndani ya ukumbi
Wadau mbalimbali walijitokeza kwa wingi kwenye Ukumbi wa lina's Night Club leo hii.
Baadhi ya wakazi wa Bukoba wakiwa kwenye semina ya Fursa ndani ya ukumbi Lina's  mapema leo, ambapo mada mbalimbali zimezungumzwa, ikiwemo mambo ya ujasiliamali kwa vijana, mikopo, akiba sambamba na namna ya kujiongezea thamani ya fursa unayoipata.
Mrisho Mpoto alikubalika zaidi baada ya kutoa hoja zake kuhusu swala zima la Fursa kwa vijana.
Mghani mahiri wa mashairi hapa nchini Mrisho Mpoto akipongezwa na Ruge Mtahaba Mkurugenzi wa Vipindi,Uzalishaji na Mipango wa Clouds Group baada ya kumaliza ngwe yake swala zima la Fursa kwa vijana.
Mghani mahiri wa mashairi hapa nchini Mrisho Mpoto na kulia ni Bw.Faustine Ruta  mwandishi wa mtandao wa www.bukobasports.com kwenye picha ya pamoja
Kushoto ni Mghani mahiri wa mashairi hapa nchini Mrisho Mpoto katikati ni Bw. Jamco Jamal Kalumuna wa blog ya Jamcobk na kulia ni Bw.Faustine Ruta  mwandishi wa mtandao wa www.bukobasports.com kwenye picha ya pamoja
Mdau wa michezo na mwanamichezo wa sports extra wa Clouds Fm (kushoto) Bw. Shaffih Dauda na kulia ni Bw.Faustine Ruta mwandishi wa mtandao wa www.bukobasports.com

No comments:

Post a Comment