Search This Blog

Thursday, August 1, 2013

BREAKING NEWS: JOSEPH OWINO AKISAINI MKATABA WA KUICHEZEA SIMBA SC


8 comments:

  1. Huyo joseh ni nani hasa mbona haija fafanuliwa, jina kamili ni lipi na anatoka wapi?

    ReplyDelete
  2. KARIBU JEMBE JOSEPH OWINO UPIGE KAZI MSIMBAZI KWANI NAAMINI UWEZO BADO UNAO NA UTAFIKIA NDOTO ZAKO. BY MKINGA C .J wa Kimara DSM

    ReplyDelete
    Replies
    1. WE MZEE MKINGA ACHA KOMEDY ZAKO...WACHA ACHEE MPIRA LAKINI SIYO ETI NDOTO ZAKE ZIFIKIWE!!!

      Delete
  3. Duuuuuuh! Ctoshangaa Walulya Derick akisainishwa kesho. Aaaaaaaaaaah! SIMBAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

    ReplyDelete
  4. Gago kwani wewe ni mpenzi wa Soka, Clicket au drafti!! Embu funguka kwanza kabla hatujajibu maswali!! Maana kama humjui Joseph Owino!!!!mnnnh.

    ReplyDelete
  5. Ngoja ataumia mapeeema then atasusiwa hata kupelekwa matibabu huyu.Timu za bongo hazijifunzi kupima wachezaji kabla ya kusajili.Mkishindwa kupma basi muwapime hata malaria basi maana mnasajili wachezaji wanakuja kuumia umia hovyo then wanawagharimu na mnawatelekeza.

    ReplyDelete
  6. Safi sana kwa kukubali kurejea nyumbani Owinogera,utasaidia kuimarisha ukuta pale nyuma,simba imara itajengwa na Mashabiki wenye mapenzi ya kweli wa Msimbazi,tuungane pamoja kuupongeza Uongozi wa Klabu kwa kuamini ktk wazawa,hope hili litaleta mabadiliko makubwa sana ktk timu yetu,imani waliyoionesha kwa vijana am sure tutaonja matunda yake,misimamo na mipango mizuri ya kiuchumi ni dira nzuri ya maendeleo ya Klabu yetu kwa siku za usoni.Ni matumaini yangu kuwa Simba ina kikosi imara msimu huu kwa mchanganyiko wa wachezaji walioufanya coz timu haijavurugwa sana.Golini,ulinzi,kiungo,ushambuliaji, mmmh ni hatari tupu. MARIKA

    ReplyDelete