Search This Blog

Thursday, August 1, 2013

MASHINDANO YA SUPER 8 MWAKA HUU VIPI?



 Mkurugenzi Mkuu wa BancABC, Boni Nyoni (kushoto) na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania(TFF), Angetile Hoseah wakibadilishana mkataba wa miaka mitatu ya udhamini wa mashindano ya mpira wa miguu utakaotambulika kama BancABC SUP8R katika Ukumbi wa TFF Dar es Salaam
 Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania(TFF), Angetile Hoseah (kulia) akisaini mkataba wa miaka mitatu wa udhamini wa BancABC wa mashindano ya SUP8R yanayotarajiwa kuanza rasmi 4Julay2012.Mkataba huo ulifanyika TFF Dar es Salaam leo.Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa BancABC, Boni Nyoni
 Mkurugenzi Mkuu wa BancABC, Boni Nyoni (kushoto) akisaini mkataba wa miaka mitatu wa udhamini wa BancABC wa mashindano ya SUP8R yanayotarajiwa kuanza rasmi 4Julay2012.Mkataba huo ulifanyika TFF Dar es Salaam leo.Kulia ni Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania(TFF), Angetile Hoseah.
 Katibu Mkuu wa TFF akizungumza na waandishi wa habari

No comments:

Post a Comment