Search This Blog

Saturday, July 20, 2013

MKUTANO MKUU WA SIMBA WAFANYIKA KWA AMANI: RAGE AKIZINDUA MKAKATI MPYA WA MAENDELEO WA SIMBA

Mkutano mkuu wa klabu ya Simba umefanyika leo kwenye ukumbi wa Police Officer's Mess Osteybay jijini Dar es Salaam. Mkutano huo ulihudhuriwa na wanachama wapatao mia 700 ulifanyika kwa lisaa limoja kutoka saa nne kamili asubuhi mpaka saa tano. Mkutano ho ulizungumzia mambo mengi ikiwemo taarifa ya matumizi ya fedha ya klabu, suala la ujenzi wa uwanja wa Simba pamoja na kuzinduliwa kwa mkakati mpya wa maendeleo ya Simba.

Rage na Mzee Kinesi

Ibrahim Masoud Maestro na mwenyekiti wa kamati ya usajili Zakaria Hans Pope

Mwenyekiti aliyepita wa Simba Hassan Dalali alikuwa mmoja wa wahudhuriaji

Wanachama


Katibu Mkuu wa Simba Mtawala

Pamoja na mkutano huo kufanyika kwa amani lakini kulikuwepo na mabishano ya hapa na pale miongoni mwa wanachama












1 comment:

  1. kwakweli huu mfumo wa viongozi wetu hapa tz unanishangaza sana ,pale wanapoona wamevurunda na wananchi hawawataki kwanini wanakuwa wagumu kuachia madaraka ? Inaonyesha ni jinsi gani Rage anavyo nufaika na klabu ya simba , Rage waachie timu yao kazi za kufanya zipo nyingi

    ReplyDelete