Search This Blog

Saturday, June 22, 2013

RAFA BENITEZ ATAMBULISHWA RASMI NAPOLI LEO - ASEMA ASINGEPENDA CAVANI AONDOKE KWENDA CHELSEA, CITY WALA MADRID

Italian job: Napoli's President Aurelio De Laurentiis unviels new head coach Rafa Benitez
Raisi wa Napoli Aurelio De Laurentiis akimtambulisha kocha mpya wa timu hiyo Rafa Benitez

On the ball: Benitez shows off his skills at Napoli's training camp
Rafael Benitez ametambulishwa na kusema kwamba angependa kuendelea kubaki na mshambuliaji Edinson Cavani anyewaniwa na vilabu vya Chelsea, Man City na Real Madrid ambao Raisi wa klabu hiyo Aurelio amesema kwamba ndio klabu pekee iliyoonyesha utayari wa kulipa fedha inayotakiwa kumnunua Cavani

1 comment: