Search This Blog

Friday, June 21, 2013

UWANJA WA OLD TRAFFORD ULIVYO SASA BAADA YA KUANZA KUFANYIWA MAREKEBISHO


Wiki kadhaa zilizozipita wakati nikiwa England nilitembelea jijini Manchester ambapo nilipata nafasi ya kwenda kutembelea uwanja wa Old Trafford wa Manchester United - Katika vitu kadhaa ambavyo nilipata kujua nikiwa OT, ni kwamba sehemu ya kuchezea ya uwanja huo ilikuwa inakaribia kufanyiwa marekebisho makubwa. Kwa mujibu wa msimamizi wa uwanja huo United walikuwa kwenye maandalizi ya kuondoa nyasi za zamani na kuweka mpya ambazo zingegharimu kiasi kinachozidi paundi 250,000.

Uwanja huo kwasa umeshaanza matengenezo na hivi ndivyo ulivyo sasa.

No comments:

Post a Comment