Search This Blog

Saturday, June 22, 2013

LIVERPOOL WAMSAJILI MSHAMBULIAJI LUIS ALBERTO - ANGALIA VIDEO INAYOONYESHA UJUZI WAKE WA SOKA

Liverpool wametangaza usajili wa mshambuliaji wa Sevilla Luis Alberto kwa ada ya uhamisho wa £6.8million.
Mshambuliaji huyo mwenye miaka 20 amesaini mkataba wa minne wa kuichezea Liverpool. 

Alberto alitumia msimu uliopita kucheza kwa mkopo kwenye timu ya Barcelona B, Alberto alifunga mabao 11 na kutengeneza mabao 17 katika mechi zote 38 alizoichezea Barca B.

ANGALIA MAUJUZI YAKE

No comments:

Post a Comment