Search This Blog

Wednesday, June 19, 2013

HUYU NDIO MCHEZAJI MWENYE UMRI MKUBWA ZAIDI KUWAHI KUCHEZA KWENYE KOMBE LA MABARA - ANATOKA AFRIKA

Siku kama ya leo 2005
Golikipa wa Tunisia Ali Boumnijel alicheza kwenye mechi dhidi ya Ujerumani kwenye mashindano ya kombe la mabara akiwa na miaka 39 na miezi miwili, na akaweka rekodi ya mchezaji mwenye umri mkubwa kabisa kushiriki kwenye michuano hiyo.

No comments:

Post a Comment