Search This Blog

Monday, May 27, 2013

KALI YA LEO: RIBERY ALALA KITANDA KIMOJA NA KOMBE LA ULAYA PAMOJA NA MKEWE

Winga wa Bayern Munich Franck Ribery amefichua kwamba alilichukua kombe la ubingwa wa ulaya na kwenda kulala kufuatiwa ushindi wa 2-1 dhidi ya Borrusia Dortmund.

Mabingwa wa Bundesliga wamefika kwenye fainali ya Champions League mara tatu katika mika minne lakini wameshinda ubingwa wa ulaya kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2001.


Na Ribery akazungumzia namna alivyosherehekea ubingwa huo mara baada ya mchezo: "Nilikuwa macho mpaka saa 11 au 12 asubuhi,"  Sky Sports News.

"Nilienda kulala kabla ya saa 12 na nikachukua kombe la ulaya nikaenda nalo kulala kwenye kitanda kimoja pamoja na mke wangu."

No comments:

Post a Comment