Search This Blog

Sunday, May 26, 2013

TAIFA STARS NDANI YA SUTI MPYA ZILIZOANDALIWA KWA AJILI YAO NA MBUNIFU SHERIA NGOWI

Wachezaji wa Taifa Stars na benchi la ufundi katika picha ya pamoja wakionesha suti zao.

Wachezaji wa Taifa Stars, benchi la ufundi na maofisa wakuu wa TBL katika picha ya pamoja wakati wa kuonesha suti mpya

Wachezaji wakifurahia huku wakishangiliwa baada ya kuonesha suti zao mpya.

John Bocco na Erasto Nyoni

Wageni waalikwa wakifuatilia matukio wakati wa hafla ya Kilimanjaro Premium Lager kukabidhi suti mpya kwa Taifa Stars.

5 comments:

  1. Kwakweli inapendeza sana Hongera Kilimanjaro Premier Lager.

    ReplyDelete
  2. MATHIAS KABYEMERAMay 26, 2013 at 3:06 PM

    Ni jambo zuru, tuwaunge mkono kwani soka letu sasa linakuwa la kisasa zaidi

    ReplyDelete
  3. wametokelezeaje!

    ReplyDelete
  4. kweli kabisa,kila la kheri taifa stars

    ReplyDelete
  5. Nimewapenda bure?!!!!wamependezaje sasa

    ReplyDelete