Search This Blog

Monday, April 22, 2013

MESSI AENDELEA KUONGOZA MSIMAMO WA WAFUMANIA NYAVU BARANI ULAYA,


Hakuna mabadiliko kwenye msimamo wa wafumania nyavu wanaowania kiatu cha dhahabu huku Lionel Messi akiendelea kuuguza jeraha lake,mpinzani wake wa karibu Cristiano Ronaldo akimaliza bila kufunga huku timu yake  Real Madrid ikipata ushindi wa mabao  3-1 dhidi ya Real Betis.
Kwingineko barani ulaya juma hili,nchini Ujerumani mshambuliaji wa  Bayer 04 Leverkusen Stefan Kiessling alifunga hat-trick dhidi ya Hoffenheim, mabao yalimpatia nafasi ya kuingia kwenye orodha ya 10 bora  kwa mara ya kwanza msimu huu.
Pia kulikuwa na mabao kutoka kwa Jackson Martinez wa porto , Radamel Falcao, Edinson Cavani,Robert Lewandowski na Luis Suarez.
HII NDIO ORODHA KAMILI PAMOJA NA POINTI
1. Lionel Messi (FC Barcelona) 42 x 2 = 84
2. Cristiano Ronaldo (Real Madrid) 31 x 2 = 62
3. Radamel Falcao (Atlético Madrid) 25 x 2 = 50
Jackson Martinez (FC Porto) 25 x 2 = 50
5. Edinson Cavani (Napoli) 23 x 2 = 46
Robert Lewandowski (Borussia Dortmund) 23 x 2 = 46
Luis Suarez (Liverpool) 23 x 2 = 46
8. Wilfried Bony (Vitesse) 30 x 1.5 = 45
9. Stefan Kiessling (Bayer Leverkusen) 21 x 2 = 42
Robin van Persie (Manchester United) 21 x 2 = 42
11. Philipp Hosiner (Austria Vienna) 27 x 1.5 = 40.5
Zlatan Ibrahimovic (Paris Saint-Germain) 27 x 1.5 = 40.5
13. Jonathan Soriano (Red Bull Salzburg) 25 x 1.5 = 37.5
14. Gareth Bale (Tottenham Hotspur) 18 x 2 = 36
Alfred Finnbogason (Heerenveen) 24 x 1.5 = 36
Michael Higdon (Motherwell) 24 x 1.5 = 36
Antonio Di Natale (Udinese) 18 x 2 = 36
Alvaro Negredo (Sevilla) 18 x 2 = 36
Graziano Pellè (Feyenoord) 24 x 1.5 = 36
20. Arturas Rimkevicius (FK Siauliai) 35 x 1 = 35
21. Miguel Pérez Cuesta ‘Michu’ (Swansea City) 17 x 2 = 34
Roberto Soldado (Valencia) 17 x 2 = 34
23. Eliran Atar (Maccabi Tel Aviv) 22 x 1.5 = 33
Carlos Bacca (Club Brugge) 22 x 1.5 = 33
Henrikh Mkhitaryan (Shakhtar Donetsk) 22 x 1.5 = 33
26. Rubén Castro (Real Betis Sevilla) 16 x 2 = 32
Rodrigo Lima (Benfica) 16 x 2 = 32
Stephan El Shaarawy (Milan) 16 x 2 = 32
29. Jozy Altidore (AZ) 21 x 1.5 = 30.5
30. Demba Ba (Newcastle United/Chelsea) 15 x 2 = 30
Christian Benteke (Aston Villa) 15 x 2 = 30
Oscar Cardozo (Benfica) 15 x 2 = 30
German Gustavo Denis (Atalanta) 15 x 2 = 30
Rafik Djebbour (Olympiakos) 20 x 1.5 = 30
Leigh Griffiths (Hibernian) 20 x 1.5 = 30
Mario Mandzukic (Bayern Munich) 15 x 2 = 30
Billy McKay (Inverness Caledonian Thistle) 20 x 1.5 = 30
38. Liam Boyce (Cliftonville) 29 x 1 = 29
39. Burak Yilmaz (Galatasaray) 19 x 1.5 = 28.5
Kalu Uche (Kasimpasa SK) 19 x 1.5 = 28.5
41. Rickie Lambert (Southampton) 14 x 2 = 28
Erik Lamela (Roma) 14 x 2 = 28
Francisco Medina Luna ‘Piti’ (Rayo Vallecano) 14 x 2 = 28
44. Andreas Cornelius (FC Copenhagen) 18 x 1.5 = 27
Gary Hooper (Celtic) 18 x 1.5 = 27
Niall McGinn (Aberdeen) 18 x 1.5 = 27
Raul Rusescu (Steaua Bucharest) 18 x 1.5 = 27
48. Aritz Aduriz (Athletic Bilbao) 13 x 2 = 26
Dimitar Berbatov (Fulham) 13 x 2 = 26
‘Éder’zito António Macedo Lopes (Sporting Braga) 13 x 2 = 26
Gonzalo Higuaín (Real Madrid) 13 x 2 = 26
Vedad Ibisevic (Stuttgart) 13 x 2 = 26
Romelu Lukaku (West Bromwich Albion) 13 x 2 = 26
Alexander Meier (Eintracht Frankfurt) 13 x 2 = 26
Albert Meyong (Vitoria Setúbal) 13 x 2 = 26
Giampaolo Pazzini (Milan) 13 x 2 = 26
Adám Szalai (Mainz) 13 x 2 = 26
Carlos Vela (Real Sociedad) 13 x 2 = 26

3 comments:

  1. HII NI KWAKO SHAFII DAUDA:
    WAKATI WEWE NA BAADHI YA TIMU MNAKUA MNAENEZA MAJUNGU NA KULETA FITINA KWENYE SUALA LA MPIRA KUONYESHWA LIVE...KENYA WAMESAINI LEO MKATABA NA SUPERSPORTS KUANZA KUONYESHA LIGI DARAJA LA PILI. HII NI BAADA YA LIGI KUU KUONYESHWA KWA MAFANIKIO. NYIE MNAKALIA KUWA VIGEUGEU NA WALALAMISHI WAKATI MIKATABA MNAINGIA WENYEWE. HEBU WEWE KAMA MSOMI WAELIMISHO HAO WANAOKUTUMA KULETA MAJUNGU KWENYE HILI SUALA. NI MANUFAA KWA TAIFA NA WACHEZAJI WETU. HUWEZI KUNIAMBIA LIGI YA KENYA TENA DARAJA LA PILI NI BORA KULIKO YETU. BADILIKENI MNABOAA!!!!

    ReplyDelete
  2. Mdau hapo juu ni kama vile una pointi, tatizo hapo ulipoichomekea!!! Hawa wachezaji wetu wataendelea kuozea humohumo Simba na Yanga halafu baada ya muda mfupi wanaitwa maveterani wakati GIGGS mpaka leo anasukuma!! Tubadilike wacha watu waonekane ulimwenguni.

    ReplyDelete
  3. umemsahau kipre tcheche, 16x2=32

    ReplyDelete