Search This Blog

Saturday, December 1, 2012

MRISHO NGASSA HATARI - AFUNGA GOLI 5 - BOKO APIGA MBILI - STARS WAKIICHAPA SOMALIA 7-0

Wachezaji wa Kilimanjaro Stars wakisalimiana na wachezaji wa Somalia kabla ya mchezo wa michuano ya Cecafa Challenge uliofanyika katika Uwanja wa Lugogo nchini Uganda


Mrisho Ngassa akipongezwa na Athuman Idd baada ya kufunga goli la kwanza

Mrisho Ngasa wa Kilimanjaro Stars mwenye mpira akijaribu kuwatoka mabeki wa timu ya Somalia wakati wa mchezo wa michuano ya Cecafa Challenge uliochezwa katika Uwanja wa Lugogo nchini Uganda

Beki wa Kilimanjaro Stars, Erasto Nyoni akiambaa na mpira wakati wa mchezo wa Cecafa Challenge dhidi ya timu ya Somalia uliochezwa katika Uwanja wa Lugogo nchini Uganda

Kikosi cha Kilimanjaro Stars kilichopambana na timu ay Somalia katika mchezo wa michuano ya Cecafa Challenge uliofanyika katika Uwanja wa Lugogo nchini Uganda

Mshambuliaji wa Kilimanjaro Stars Mrisho Ngassa akiambaa na mpira uliozaa goli la kwanza sekunde ya 48

Mrisho Ngassa akishangilia moja ya goli kati ya matano aliyofunga wakati wa mchezo na Somalia uliochezwa katika Uwanja wa Lugogo nchini Uganda


Mshambuliaji wa Kilimanjaro Stars, John Bocco (kulia) akimtoka beki wa timu ya Somalia, Abdallah Mohamed

Boko akishangilia moja ya goli wakati wa mchezo na Somalia

Mashabiki wa Kilimanjaro Stars waishio nchini Uganda wakati wa mchezo wa Cecafa Challenge dhidi ya timu ya Somalia uliochezwa katika Uwanja wa Lugogo nchini Uganda


2 comments:

  1. Safi sana,mmeshapata sitimu sasa,njooni na kombe hilo.

    ReplyDelete
  2. tafadhali zisiwe ni nguvu za soda hata hivy bado kuna shida ya umakini katika sfu ya ushambuliaji

    ReplyDelete